Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Wakuu wapenda movies ningependa kushare nanyi njia rahisi sahihi na pekee ya kupata movie/series yoyote uitakayo yenye rank ya IMDB ambazo zinakimbiza duniani toka dunia iumbwe hadi leo tar 19Ag...
4 Reactions
2 Replies
5K Views
Leo naomba tushee kitu kimoja tuone kama tutapata movie maniac mate humu. mimi napenda series za drug dealer zaidi na zile ambush ambush zao haswa zikichezewa amerika ya kusini kuhusisha na...
4 Reactions
82 Replies
9K Views
Habari za muda huu wakubwa. I hope mko fresh, Eeh bhana Jana ya tarehe 20 mwezi wa4 2020 ambayo ilikua ni siku ya kuvuta bangi duniani, Good weeda smoke Dadiyeeh in da world. Iyo siku ya Jana...
4 Reactions
27 Replies
4K Views
Tanzania kuna ladha mbalimbali za mziki kama vile A. Bongo flava B. Bongo hip hop C. Bongo Boringo au mziki wa dansi D. Bongo Crank E. Mchiriku F. Singeli n.k n.k Sasa huwa najiuliza ila sipati...
2 Reactions
36 Replies
5K Views
Salam. Hawa jamaa ni Bora sana kwa sauti zao maridadi. Hebu nisaidieni nani Yuko juu zaidi kati yao
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Niaje wakuu hii tv show aise iko poa sana kwangu kuanzia stor hadi cast wake.hasa MASTER ndio ananifuraisha sana na ANGELA ABRAHAM maana dada anakinukisha balaa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nautafuta ule wimbo maana nilitokea kuupenda mda ule
0 Reactions
11 Replies
2K Views
"BABA KAMA PUNDA JAMANI" "KISA CHA KWELI, CHENYE KUSISIMUA" Umri__ Naitwa Koga nimezaliwa mkoani Shinyanga vijiji Mimi ni binti wa kisukuma, maisha yangu ukubwani nikiwa binti mkubwa niliyaishi...
3 Reactions
51 Replies
180K Views
...Taarifa ya kuwa baba yake kabakiza muda mfupi wa kuishi duniani ilimkuta akiwa nyuma ya nondo.. ..Wakati hajajua aipokee vipi habari hiyo ni siku mbili mbele..akafungwa pingu akahudhurie...
9 Reactions
3 Replies
1K Views
Twende kwenye mada ndugu zangu tatizo gharama za king'amuzi zimepanda sana hivi kwa wenye welewa tatizo ni nini hasa. Kupanda kwa gharama namna hii hasa kipindi hiki.
0 Reactions
3 Replies
642 Views
bomba la mbele-01 Nlikuwa nimetoka kwenye harakati zangu za kutafuta riziki na muda huo ilikuwa Ni majira ya SAA 2 usiku nikirudi getto kwangu maeneo ya kigogo, siku hiyo ilikuwa Ni ya bahati...
2 Reactions
7 Replies
6K Views
Huwa ninapenda kuangalia movie za kibongo. Ingawaje tunajitahidi kwenda na wakati, lakini naona kuna makosa kibao ya wazi tunayafanya ambayo yangeweza kuepukika. Editing Kosa kubwa la kwanza...
2 Reactions
97 Replies
39K Views
sijui nani kaimba lakini nakumbuka maneno machache sana! "ni safari ndefu inachukua miezi tisa, navuka milima na mabonde naelekea sayarini..na joto kali limetawala mwilini...". mwenye kuufahamu...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
..Ni John cale..capitol police officer..baba wa mtoto mmoja wa kike.. ..Alimuahidi binti yake kuwa angepata kazi kwenye ikulu ya marekani..kama special agent..mtu anaeangalia maisha ya raisi kwa...
10 Reactions
7 Replies
2K Views
Burudikeni na hii nyimbo. Isikilize hadi mwisho kuna kitu cha kujifunza hapo.
3 Reactions
6 Replies
1K Views
..Alikuwa shahidi wa horrors of a brutal regime kwenye taifa la Turgistan..aliona asichopaswa kukiamini... ..Hakupenda mauaji ya kikatili waliyofanyiwa wasio na hatia kwenye nchi hiyo...ila...
4 Reactions
6 Replies
961 Views
Meli iliyobeba cesium..kemikali zenye sumu zinazoweza kutengeneza silaha za hatari na kuua mamia ya raia wasio na hatia.. ..Ilikuwa inahitajika kuwasili..na ilihitajika kuzuiwa isiwasili...
15 Reactions
15 Replies
3K Views
..Mkutano mkuu unaowahusisha wanasayansi wakubwa duniani..Dr. Martin Harris alipokea mwaliko..akafunga safari mpaka ujerumani..mkewe akiwa pembeni.. ..Ni ndani ya mji wa berlin kwa ajili ya...
12 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, nimekua nikikutana sana habari za hawa watu, lakini sijuwi nikina nani, chakushangaza leo wakati nasoma lyrics za luck dube kwenye nyimbo ya freedom fighter nikakutana tena na...
0 Reactions
15 Replies
7K Views
Back
Top Bottom