Mapenzi si mabaya.. hebu acheni kuzua..
Hivi hamuoni haya..eti mapenzi yanaua..
Nipo chini ya himaya.. polepole naugua..
Wazuri niwengi ila kwako nimetua.
Nimekuwa mfuatiliaji wa muziki wa REGGAE kwa muda mrefu sana. Nikiri wazi kuwa muziki wa Reggae ni mziki bora zaidi duniani kwa mtazamo wangu.
Hata uandaaji wake nahisi ndio mziki pekee hutumia...
Tanzania nimetafuta movie ya Bongo ambayo Starring ameigiza Kama Raisi wa Nchi isitoshe hata Waziri sidhani kama ipo. Na nyie mnisaidie Kama ilishawahi tokea Hiyo hapa Tanzania.
Hata mtu akisema...
Ahlan wasahlan wanajukwaa,
Huyu kijana wa kuitwa Mbosso "Khan Mushedede" kutoka viunga vya WCB kiundashi, melody na hata jinsi anavyoimba yuko njema.
Shida yake ni moja tu: habadiliki, kila siku...
MAISHA NA SIMULIZI ZA MAFUNDISHO
STORI YA KWELI YA AJABU NA YAKUSISIMUA
Kulikuwa na mzee mmoja ambaye alikuwa tajiri sana, Mzee huyu alibahatika kuwa na binti mmoja na ambaye alimpenda sana na...
Ndugu zangu,
Nimefatilia sana hizi movie za Mongo Movie, lakini kwenye scene wanazocheza kama askari polisi kwakweli hawazingatii weedi zaidi wanalidhalilisha jeshi letu.
Mara nyingi unakuta...
Nimekuwa nikisoma hapa jukwaani jinsi series hii inavyosifiwa lakini sijajua inahusu vitu gani, nikahamasika kuinunua,
Nimenunua season ya kwanza hadi ya mwisho,
Nimeanza na episode ya kwanza...
Ninaona uvivu kuandika.
Ila pointi ya msingi ni kwamba lile pambano ambalo tulikuwa tukilisubiria kwa hamu hatimaye kimeeleweka.
Hatimaye siku ya tarehe 28/8/2020 tutashuhudia tena kwa mara ya...
DARASA LA TANO C: WAZEE WA KUENGUA
Na, Robert Heriel
Leo nitasimulia kwa mtindo wa Filamu. Hii ni filamu ya maandishi. Karibu sana Mpenzi Msomaji.
Picha letu linaanzia katika maeneo ya shule...
Sote tunajua jinsi nyimbo zinavyoamsha hisia na kuondoa mawazo wakati mwingine..
Kuna watu husema "Favorite songs"
Yaani wimbo wangu pendwa
Mashairi katika wimbo pendwa huwa ni ujumbe ambao mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.