Night kali wakati naangalia pambano la mwakinyo aliingia msela moja wa sinza alipokoswa ngumi moja mwamba akasema jamani mi ni tamaa tyu sina uwezo wa kupambana naomba pambano...
..Ni Henry Brogan..Former marine Scout Sniper..Binadam aliezawadiwa shabaha ya umbali mrefu karne ya 21...anaefanya kazi kama assassin kwenye usimamizi wa D.I.A..
...Defense Intelligence Agency...
..Aliujua ubora wake kwenye uandishi..akatengeneza mashabiki wanaopenda kalamu yake..visa vya kutisha ndo vilimuhusudu sana..na ye akalijua hilo..akaliishi..
..Mtindo wake wa uandishi ni wa...
...Alipenda kutimiza ahadi..alijiapia mbele ya marehemu mkewe..kuwa angeacha kila kitu nyuma na kuanza maisha upya..
..kama mfanyakazi wa kiwanda cha Home Mart hardware store..angeishi kama raia...
..Walijua wamefanya kosa..wakajua kuwa wanatakiwa kulisawazisha kabla ya alfajiri..wakasawazisha kosa la kwanza..kwa kufanya kosa la pili..
..Waliihitaji risasi kutoka kwenye mwili wa...
Kwa mtu anayejua muziki vizuri, akiangalia kesi kadhaa amazo zimetokea huko Youtube kwa madai ya kuibiwa biti, akaweza kukubaliana nami kuwa kesi hizo zote ni frivolous na zinatakiwa kuwa...
SAA mbili kasorobo, Mustafa baada ya kufika ofisini, kabla ya kuanza kazi haja ilimshika na kuelekea msalani.
Baada ya kumaliza kujisaidia alikwenda kwenye sinki la kusafishia mikono ili...
This is made in green city, the beginning and the end.
Mbeya, where talent was born! Tanzania knows! Made in Green City talks about variety of things like poverty, war against ignorance and...
Huyu jamaa akitamba na nyimbo nyingi kali sijui kapotelea wapi?
Nyimbo ninazozikumbuka ni
1. Bongo la Biashara akiwa na Mejja (Okonkwo)
2. Bidii Yangu
3. Kwaheri akiwa na Sanaipei Tande
Yupo...
Habari za usiku wadu!?
Sema kweli mziki Ni sehemu ya burani mhimimu Sana katika maisha yetu.
Tukiachana na nyimbo za hapa bongo Kuna nyimbo za huko mtoni. Kupenda waimbaji wote haiwezekani kwani...
Wakati nachakura chakura mitandaoni nimebahatika kupata clip kutoka kwenye Channel ya YT ya Kara and Nate. Clip inaonyesha sehemu ya kupumzika na mashamsha ya ufukweni huko Maldev. Maldev ipo bara...
Habari zenu,
Nipo nimecheck hapa trela la Mulan toka kwa Mtayarishaji na Muongozaji Walt Disney ila sijaona movie nyenyewe kabisa lakini trela Naona kabisa kuna kitu kimemiss mule Disney hajaweka...
Intro:
Nasema Tonight, Nasema Tonight,
Huu Ni Mejja A.k.a Okwonkwo, Yo, Ah, Yo,
Verse 1:
Nimechoka Na Ujinga, Nimechoka Na Stress, Nimechoka Na Ufala,
Nimechoka Na Mtu, Anakubeba Beba Kama Maziwa...
Heshima kwenu wakuu...!
Kuna kazi inayotakiwa kurekodiwa inahitaji underground female singer that's why nimeomba msaada wa mtu yoyote anayemfahamu huyo sister au studio or producer aliyerekodi...
Niajee wadau wa burudani.
Leo C.E.O wa Kondegang ameonyesha uwezo wake wa kurap kupitia beat ya wimbo wa 'serikali kuu'. Lakini pia tumeshaona wa2 Kama Diamond Platnumz, Rayvanny na (Zuchu kwenye...
Kuna wimbo ulioimbwa na msanii kutoka Kenya unaongelea mafisadi. Kiitikio chake ni "Sitasimama maovu yakitawala"
[emoji120][emoji120] Nisaidieni jina la nyimbo iyo na jina la msanii
Nautafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.