Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
1. Dennis Brown 2. Gregory isaacs 3. Lucky Dube Wadau wa Reggae hivi kati ya hawa wasanii waliotamba katika vipindi vyao yupi unamuweka kwenye level ya juu naombeni msaada.
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Karibu kutazama video ya wimbo wangu mpya uitwao Congratulations Bila Kusahau Like, Comment, Share & Subscribe 🙏
22 Reactions
120 Replies
9K Views
Kuna wimbo mpya umetoka unaitwa Shangazi. Una mahadhi ya ki Mrisho Mpoto, licha ya kuwa mwimbaji hayuko serious kama Mpoto. Ameweka mzaha mwingi sana. Clouds wanaupiga sana wimbo huo, je...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Album name : In the Lonely Hour Genre : Pop and Soul. Sam Smith - In the Lonely Hour (Deluxe Version).zip Download then unzip/extract MALCOM LUMUMBA
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwenye kujua historia ya kundi tajwa hapo juu tafadhali hebu atujuze. Kuna wakati niliwahi kumuona Mzee Onjwangi km amebadilika yaani c yule wa zamani,kuna watu kama Mama Kayaii, Mwara n.k...
1 Reactions
33 Replies
14K Views
SEHEMU YA 01 Samahani kaka, sijui hiki kiti kina mtu?” aliuliza Kate au maarufu kwa jina la mama Pilima! Ilikuwa kwenye baa ya Dolphin, iliyopo kwenye Jiji la Tanga maeneo ya Kwaminchi… “Hapana...
1 Reactions
28 Replies
7K Views
Tushirikishane nyimbo za majibizano kati ya mwanaume Na mwanamke Mfano: Barnaba song Meseji Foby Song Kitanda Kidumu song Nitafanya Tushirikishe unazozifahamu
1 Reactions
88 Replies
12K Views
Kwa ninavyohisi kama langa anaona haya yanayotokea kuna mengi sana atakuwa anajiuliza na kama kweli huko alipo ataweza kukutana na Ngwear atamuuliza maswali mengi sana. Kikubwa atataka ajue ni...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Intro: Ahaaaaaa! Abumbu mbariree, a ammmbaaa!*8 Kenye traki hii ya Hermy B! Verse 1: Hey handsome boy how are you? Aaa Hawa hayupo nimemuacha East Zu. I need to talk to you do you understand...
0 Reactions
2 Replies
8K Views
*NYIMBO BORA 100 ZA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA (BONGO FLEVA) ZA MUDA WOTE* Imeandaliwa na Dkt. Mujwahuzi Rugayemukamu Mwenyekiti mwandamizi idara ya sanaa na burudani Chuo kikuu cha Dar Salaam...
10 Reactions
101 Replies
186K Views
kwa mara ya Kwanza nilipata kushuhudia fid q au ngosha akifunikwa kwenye colabo la hip hop, kwa kujiamini ngwea alimuweka verse ya kwanza fid hku akiamini atafanya comeback ya uhakika na ndio...
3 Reactions
29 Replies
7K Views
.
2 Reactions
3 Replies
5K Views
kiitikio [ jide ] Kama ni dem sikiliza (nisikilize mimi) kama una swali uliza (niulize mimi) hata kama sija malizaaa uliza x2 ubeti [Ngwear] Madem ninyi nisikilizeni kwa makini mimi hivi kwanini...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Disc Jockey au DJ ni kazi ambayo wenzetu huko wanaichukulia serious lakini huku kwetu mpaka kijana afeli shule ndio aingie fani hii. Unaenda bar, club, pub au kwenye sherehe DJ hajui nyimbo flani...
8 Reactions
9 Replies
1K Views
Baba lao ni copy ya ngoma ya Naira Marley inaitwa Soapy go YouTube andika soapy by Naira Marley utaona wizi wa huyo boss wa WANAFKI CLASSIC BABY --------------------- Nyimbo ya Diamond Platnumz...
5 Reactions
178 Replies
25K Views
Mdau wa muziki wa kikongo nakusalim, nina shida na nyimbo nzuri za kikongo nidownload kwa ajili ya kuburudika tu. Kwa sasa ninazo hizi, 1. Mario - Franco 2.Pesa position - Madilu 3.Yesu Kristu-...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
TAMTHILIA: CERTIFIED PERSON OF MY LIFE (CPL) (MTU ALIYETHIBITISHWA KWA MAISHA YANGU) MWANDISHI/MTUNZI: MANSHYNE Email address: manshinef@gmail.com instagram: @manshynee Sehemu ya 01. DARASANI...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Dear Yope, You think you gotta keep me iced (You don't) You think I'm gonna spend your cash (I won't) Even if you were broke My love don't cost a thing Think I wanna drive your Benz (I don't) If...
4 Reactions
64 Replies
3K Views
Binafsi Ni mmoja Kati ya wapenzi wa Aina hizo za Mziki iwe: Rnb, Raggae, Country, Hip-Hop and many others ili mradi iwe na content na kusound vizuri Ila Nina tatizo katika kuzifahamu nyimbo Nzuri...
1 Reactions
63 Replies
7K Views
Nimeleta hii mada jamvini, kufahamu ni nani kati ya zuchu wa WCB na ruby nani zaidi? Utime weka pembeni, ndio uchangie mada.. Ukitoa na sababu itakuwa vizur zaid ili tuelewe poin yako...
0 Reactions
49 Replies
7K Views
Back
Top Bottom