1. Dennis Brown
2. Gregory isaacs
3. Lucky Dube
Wadau wa Reggae hivi kati ya hawa wasanii waliotamba katika vipindi vyao yupi unamuweka kwenye level ya juu naombeni msaada.
Kuna wimbo mpya umetoka unaitwa Shangazi.
Una mahadhi ya ki Mrisho Mpoto,
licha ya kuwa mwimbaji hayuko serious kama Mpoto.
Ameweka mzaha mwingi sana.
Clouds wanaupiga sana wimbo huo, je...
Mwenye kujua historia ya kundi tajwa hapo juu tafadhali hebu atujuze. Kuna wakati niliwahi kumuona Mzee Onjwangi km amebadilika yaani c yule wa zamani,kuna watu kama Mama Kayaii, Mwara n.k...
SEHEMU YA 01
Samahani kaka, sijui hiki kiti kina mtu?” aliuliza Kate au maarufu kwa jina la mama Pilima!
Ilikuwa kwenye baa ya Dolphin, iliyopo kwenye Jiji la Tanga maeneo ya Kwaminchi…
“Hapana...
Tushirikishane nyimbo za majibizano kati ya mwanaume Na mwanamke
Mfano:
Barnaba song Meseji
Foby Song Kitanda
Kidumu song Nitafanya
Tushirikishe unazozifahamu
Kwa ninavyohisi kama langa anaona haya yanayotokea kuna mengi sana atakuwa anajiuliza na kama kweli huko alipo ataweza kukutana na Ngwear atamuuliza maswali mengi sana. Kikubwa atataka ajue ni...
Intro:
Ahaaaaaa!
Abumbu mbariree, a
ammmbaaa!*8
Kenye traki hii ya Hermy B!
Verse 1:
Hey handsome boy how are
you?
Aaa Hawa hayupo nimemuacha East Zu.
I need to talk to you do you understand...
*NYIMBO BORA 100 ZA MUZIKI WA KIZAZI KIPYA (BONGO FLEVA) ZA MUDA WOTE*
Imeandaliwa na Dkt. Mujwahuzi Rugayemukamu Mwenyekiti mwandamizi idara ya sanaa na burudani Chuo kikuu cha Dar Salaam...
kwa mara ya Kwanza nilipata kushuhudia fid q au ngosha akifunikwa kwenye colabo la hip hop,
kwa kujiamini ngwea alimuweka verse ya kwanza fid hku akiamini atafanya comeback ya uhakika na ndio...
kiitikio [ jide ]
Kama ni dem sikiliza (nisikilize mimi)
kama una swali uliza (niulize mimi)
hata kama sija malizaaa uliza x2
ubeti [Ngwear]
Madem ninyi nisikilizeni kwa makini mimi
hivi kwanini...
Disc Jockey au DJ ni kazi ambayo wenzetu huko wanaichukulia serious lakini huku kwetu mpaka kijana afeli shule ndio aingie fani hii.
Unaenda bar, club, pub au kwenye sherehe DJ hajui nyimbo flani...
Baba lao ni copy ya ngoma ya Naira Marley inaitwa Soapy go YouTube andika soapy by Naira Marley utaona wizi wa huyo boss wa WANAFKI CLASSIC BABY
---------------------
Nyimbo ya Diamond Platnumz...
Mdau wa muziki wa kikongo nakusalim, nina shida na nyimbo nzuri za kikongo nidownload kwa ajili ya kuburudika tu.
Kwa sasa ninazo hizi,
1. Mario - Franco
2.Pesa position - Madilu
3.Yesu Kristu-...
TAMTHILIA: CERTIFIED PERSON OF MY LIFE (CPL)
(MTU ALIYETHIBITISHWA KWA MAISHA YANGU)
MWANDISHI/MTUNZI: MANSHYNE
Email address: manshinef@gmail.com
instagram: @manshynee
Sehemu ya 01.
DARASANI...
Dear Yope,
You think you gotta keep me iced (You don't)
You think I'm gonna spend your cash (I won't)
Even if you were broke My love don't cost a thing
Think I wanna drive your Benz (I don't) If...
Binafsi Ni mmoja Kati ya wapenzi wa Aina hizo za Mziki iwe: Rnb, Raggae, Country, Hip-Hop and many others ili mradi iwe na content na kusound vizuri
Ila Nina tatizo katika kuzifahamu nyimbo Nzuri...
Nimeleta hii mada jamvini, kufahamu ni nani kati ya zuchu wa WCB na ruby nani zaidi?
Utime weka pembeni, ndio uchangie mada..
Ukitoa na sababu itakuwa vizur zaid ili tuelewe poin yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.