Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Verse 1: wachache ndo wanaishi wengi wetu ma escorts, twiga wanapanda pipa hata bila ya passports, mikoa mingi bado haina hata airports, zaidi ya migodini madini kuya export, bila ya wazawa...
0 Reactions
1 Replies
829 Views
Ukubwa wa janga la Corona umeilazimu serikali kutangaza kusitisha shughuli zenye mikusanyiko ya watu ikiwemo shughuli za muziki. Katika historia yangu kama mwanamuziki, hii itakuwa mara ya tatu...
7 Reactions
10 Replies
2K Views
KATIKA miaka ya 1960 na 1970 mpaka 1980, karibu kila eneo la jiji la Dar es Salaam kulikuwa na makundi ya muziki. Wakati huo muziki ulifanywa kwa vikundi tofauti na sasa ambapo msanii anaweza kuwa...
4 Reactions
3 Replies
2K Views
I have asked by someone here to differentiate between a beat and an instrumental, please share your ideas to spread knowledge.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hivi kwa nini Wanamuziki wa Uingereza wanavyooongea na wanavyoimba ni tofauti? Wakiimba wanaimba Kimarekani lakini ukiwasikia wakiongea wanaongea kikwao, mfano nimesikiliza nyimbo nyingi za Elton...
0 Reactions
2 Replies
863 Views
Salaam. Nimeangalia Movies fulan za Kuogofya, mie kwa upande wangu zinanivutia tu. Zinatisha ila najikuta naangalia zaidi na zaidi, na pale zinapoishi napenda kutazama zaidi. Sasa zilizonigusa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hii ICECREAM ni moja ya ngoma zilizoniburudisha sana enzi hizo za sekondari na kuufanya ujana wangu ubaki na memories za kuvutia. In short huu wimbo uliitendea haki fasihi kwenye upande wa...
8 Reactions
72 Replies
10K Views
Habari wanajamvi! Nakumbuka mwishoni mwa miaka ya 80, nilibahatika kusoma riwaya moja ikijulikana kwa jina la PETE. Nahisi ni riwaya ya kimkondo wa Kifalsafa. Ninachokumbuka kwa haraka ni kuwa...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Yoyote anayefahamu Azam TV, Startimes, Zuku na DSTV huwa wanalipa kiasi gani cha fedha kwa filamu moja ya kibongo anifahamishe..
1 Reactions
12 Replies
4K Views
1. JOLIE (Haimaanishi) 2. KELLAH (Ukinimiss) 3. RINI MARII (Salaam) Hawa wadada naona walianza vizuri sana career yao ya muziki, ni vipaji halisi but what happened then? Mbona wako kimya...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Mimi mwenzenu katika pitapita za hapa na pale, nimekutana na huu wimbo katika moja ya kituo cha redio. Mashairi - "Baba kaleta mbwa, Aaaaaah, Hapana usiseme mbwa, Sisi ni wahehe (unaendelea hapa...
2 Reactions
23 Replies
7K Views
Wandugu tupunguze stress kidogo tuongee siku za kuishi km ni kweli huwa znaongezeka. [emoji1787]
1 Reactions
4 Replies
973 Views
Leo nimekumbuka hali ilivyokuwa katikati ya miaka ya 70 wakati huo ambapo tayari nilikuwa mmoja ya wanamuziki kwenye kabendi ketu kadogo ka pale Iringa mjini. Kabendi kalikoitwa Iringa Jazz band...
10 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu atimae Harmonize leo ameamua kumaliza bifu lake na EATV, amepiga stori mbili tatu na Tbway katika kipindi cha Friday Night pia amemtambulisha msanii wake ibrah ambae alikuwa akitambulisha...
4 Reactions
20 Replies
4K Views
Wakina dada hawa wamekuwa wakipendezesha videos na kuwa na mvuto lakini sidhani kama wanapata maslahi ya kueleweka zaidi ya umaarufu. Nadhani ni kazi ambayo ni ya gharama hasa kuwekeza kwenye...
0 Reactions
9 Replies
761 Views
Watanzania tuanzishe mazoea ya ku wa unfollow wanaopost mambo ya kijinga mtandaoni.... Nadhani ni muda muafaka sasa ni sisi watanzania tunaotumia mitandao ya Kijamii hasa facebook, instagram...
9 Reactions
17 Replies
1K Views
Wakuu Kwema, Miaka Fulani nyuma kwenye 199X kituo cha Luninga cha ITV kilikua kikionyesha hii movie ya Mortal Kombat lakini kwa mtindo wa episodes. Yaani kila wiki wanatupia moja nadhani wahenga...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Album ya Afro East Inaendelea Kufanya Vizuri Kwenye Digital Platform mbalimbali
7 Reactions
24 Replies
4K Views
By Sangu Joseph . Ninawaza kuwaambia watu nimeiona video ya Bedroom ya Harmonize_tz na hasa nikikumbuka Mzee wangu Jakaya Kikwete alipoteza muda wake kushuhudia uzinduzi wa hii Audio, nadhani kama...
2 Reactions
27 Replies
4K Views
Nimeisikiliza hii nyimbo ya Harmonize na watu kibaoo matusi matupu yamejaa ni aibu hata kusikiliza na mtoto au mtu mnaeheshimiana. Kwanini wasanii siku hizi wanaimba matusi namna hii...
3 Reactions
50 Replies
8K Views
Back
Top Bottom