Konde boy amepost twitter kwamba album ya pili ipo njiani mwaka huu.
Ina maana album 2 ndani ya mwaka mmoja,nadhani hakuna aliyeweka rekodi hiyo bongo.
Mtazamo wangu naona angepush kwanza nyimbo...
Hii nyimbo imefanya maajabu mengi sana. Siku ilipotoka tuu ilikua trending kwenye nchi mbalimbali, ikaenda hadi kwenye nchi kubwa kama Marekani ilikua namba 40 on trending na Ufaransa pamoja na...
Habarini wakuu poleni na michakato ya maisha.
Moja kwa moja niende kwenu nyie ma actors/actress wa bongo pamoja na directors,producer's mnakwama wapi ndugu zanguni ? Je tatizo ni nini? Ni...
MSANII aliyejizolea umaarufu mkubwa ndani na nje ya Bongo miaka ya 2000, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ ameibuka upyaaa!
Safari hii fujo na makeke yake yanatokea nchini Kenya ambako ameweka makazi yake...
Huyu Tommy flavour, ana uwezo mkubwa sana kimuziki, kwa maoni yangu sioni kama ni movement sahihi kuwa chini ya ali kiba, itakuwa ngumu sana kupanda chati na kukuza muziki wake
Naona alipaswa awe...
Eminem alirap kwenye Love the way you lie alafu Rihanna aliimba Chorus moja hatari saana kutokana na uwezo mkubwa aliokuwa nao.
T.i alirap sana kwenye live your life alafu Rihanna huyo huyo...
Ukisikia duniani watu wanasema huyu mtu ana akili, basi akili yenyewe ndiyo hii. Kujua matokeo ya maamuzi unayofanya.
Wasomi watakwambia kila kitu kinawezekana. Lakini mimi nasema kuna vitu...
Aisee Mabaharia wenzangu tusaidiane kujua nyimbo zetu zilee ambazo huwa tunazitumia kama mtego geto, demu akijichanganya tu basi ananyonyolewa taaaratiibu
Nikki Minaj -Anaconda-
Enrique Iglesias...
Hii ni Moja kati ya wimbo uliobuma Mapema sana, Mtaani hausikiki, kwenye Media umebaki unapigwa Wasafi pekee, Mabodaboda pia wameupotezea, Everything back to Normal kama vile hakukua na Ngoma mpya...
1.3 Idiots
2.John Carter
3.Kingsman: The Secret Service
4.Hurricane Heist
5.
Hizi muvi nazikubali kinoma.
Je kuna muvi zimefikia level kali kama muvi hizo nilizotaja hapo juu?
Kuna watu wanasema sijui ni gundu aukila shetani ana Mbuyu wake yani kama hapa tz watu wanavyoamini alikiba ana kipaji lakini Diamond anampita kwa kila kitu
Basi ndio huko Nigeria napo kuna...
Dah! Kuna watu wanajua mpaka noma nimeskiliza ngoma ya huyu jamaa. Nadriki kusema jamaa anakuja kutake over game ya Hip Hop bongo nisiwachoshe Sana sikilizeni wenyewe ili dude
Kutokana na tukio lilotokea USA la mmarekani mweusi Floyd. Ebu fanya kupakua au kutafuta movie iitwayo GREEN BOOK ilitoka mwaka 2018 ni drama flani nzuri sana. Kama kuna ingine unaijua unaweza...
Saa hivi kuna ushindani mkubwa kwenye tasnia ya utangazaji. Japo vipaji vipo vingi mtaani vya kutangaza. Sema ukiweza kuji brand una kuwa na soko kubwa.
Ukisema unaacha kutangaza basi wengine...
Habari zenu wana jf
Nipende kukili kwamba sikua msikilizaji wa redio kwa mda mrefu sanaa lakini hii Corona imenifanya nisikilize redio mda mwingi kwakua nabaki nyumbani nikijilinda na haya...
Binafsi nilikuwa ndiyo mwaka wa kwanza pale chuo.... kitu kilikuwa hot hot ni hatareeee -
Wakati huo ukipanda daladala lazima ngoma hii ipigwe.......wewe ulikuwa mitaa ngani wakati kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.