Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Nilikuwa nacheki Live Show music ya R. Kelly , nikaja kuangalia ya Jay Z , Beyonce, JLo & Eminem, nimegundua ni kwanini wenzetu wajaza sana kwenye show zao. Mziki wa live ni mtamu jamani
0 Reactions
8 Replies
887 Views
Look in the eyes of the Homeless man Tell me what you see In the eyes of a jobless man Tell me what you see What about the eyes Of a prisoner What do you see Now you' ve seen it all It is time to...
1 Reactions
3 Replies
743 Views
Nilipaa sasa natua kwenye,kwenye siri ya moyo na siri ya moyo anaijua mwenye,mwenye ujasiri wa kuitunza ,nafanya nachodhani ni sahihi kitachotokea ntajua mbele. Kwa mfano nakwita mpenzi...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Taarifa zilizotufikia chini chini kutoka Netflix kwa wanaoishi huku mamtoni, director wa Money Heist wanampango wa kumpa jina actor mpya jina la mji mmoja wapo wa Tanzania ambaye atamuokoa Prof...
4 Reactions
39 Replies
5K Views
Kaeni Mkao Wa kula Wapenzi wa Mziki Mzuri, Hii ni nyingine toka kwa King wa Mziki wa Tanzania King kiba.. Ni dude Juu ya Dude...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kwenye nyumba moja ya familia inayomilikiwa na mfanyabiashara maarufu panatokea mauaji ya kutisha na familia kuchomwa moto uliotokana na umeme, kwanini? Muda hayo yanatokea upande mwingine kuna...
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za asubuhi wanajamvi Nahisi kichwa cha habari kinaeleweka, kutokana na upweke nilionao nipo mbali na bi mdashi wangu naomba wanajamvi kunitumia zile nyimbo pendwa za mahaba kama za akina...
0 Reactions
2 Replies
685 Views
Mzuka wanajamvi Ni wapi nitapata records za ngoma za asili kwenye kanda CD na kadhalika ili nipate burudani ya kipekee nikiwa nimepumzika naendesha gari n. K hasa midundo ya Kizaramo, kimakonde...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ili muziki wetu uzidi kukua tunahitaji media kubwa zenye entertainment show kubwa za kuweza kutengeneza propaganda and all that, New York hiphop inapewa sana nguvu na ukubwa wa Hot 97 na Power...
3 Reactions
91 Replies
9K Views
Hii kitu ni strictly to persons above 20+.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Toka mwanzo wa kipindi mpaka sasa ni habari na miziki ya wasanii kutoka WCB tu, sisi wapenda burudani hasa tunaopenda wasanii mbalimbali mnatuboa sana kama si kutukera kunakotukuka. Hivi WCB...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna mambo ambayo kwa uzoefu wangu wa muda mrefu katika tasnia hii, ninaweza kusema yangesaidia sana kuunda bendi bora. Kwanza lazima kuwa na sababu za msingi kwanini unataka kutengeneza bendi...
6 Reactions
5 Replies
2K Views
For movie loves asee usikose hii Dora na jumanji the next levelm.Imdb.com
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za wakati huu ndugu zangu? Mimi ni mpenda movies especially animations. Nimeangalia movies za kategory nyingi kama: Horrors Adventures Racings Actions Comedy, na category zingine za movies...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Tukiendelea kufuata ushauri wa wataalamu kipindi hichi kigumu dunia inachopitia, ukiachana na vitu vyote ushauri muhimu wanaotoa wataalamu ni kukaa nyumbani na kutulia ili kujilinda wewe pamoja na...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Katika makala ya wiki iliyopita niliandika mambo kadhaa ambayo ni muhimu kuyaweka mbele katika kusaidia kuunda bendi bora. Kimsingi ukiangalia mambo niliyoyataja utaona kuwa kuunda bendi kuna...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani mwenye nyimbo hizo anisaidie nilizisikia maeneo ya NJOMBE. Nimetafuta kila web hata Youtube hakuna. Amekufunga inaanza hivi "Kwa nini ufie dhambini, wakati neema ipo, Yesu katoa msamaha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wasaalam, Mapema Leo niko nyumbani kabla ya saa tatu kamili sio kawaida yangu mpaka mtoto anauliza baba muda mrefu sijakuona ulikuwa umesafiri? Nashindwa kujibu nachukua remote naitafuta TV E...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika nyimbo zinazonibariki ni pamoja na huu ambao nimeutafuta sana bila mafanikio. Kwa yeyote atakaeweza kufanikisha kuupata na kuuweka hapa nitamshukuru sana. Itapendeza kama ukipatikana video...
0 Reactions
20 Replies
10K Views
Back
Top Bottom