Kuna makundi na wasanii wengi wa Bongo fleva walitamba Kama kina Solo thang, O ten, mad ice, zay B, sister P, TMK, bushoke nk.
Tukutane Hapa kujadili, kujiliwaza na kukumbushana historia mbali...
Leo kwa Mara ya mwisho nimeangalia last episode ya tamthilia hii kongwe zaidi barani Afrika. Nimeanza kuifuatilia toka nikiwa sina ufahamu wa vitu. Kongole kwa watunzi na timu nzima ya Isidingo ni...
MIMI NI MWENYE DHAMBI, NISAMEHE MUNGU 1
MTUNZI: NYEMO CHILONGANI
SIMU: 0718 069 269
MAHALI: DAR ES SALAAM
INSTAGRAM: nyemochilongani
Mwenyekiti wa Chama cha Vijana cha Casfeta (Christian...
Mimi wakati nimepigika na napambana ili nipate nafuu ya kimaisha hakika nimepitia vitu vingi mno na vingi kati ya hivyo ni vya kukatisha tamaa maishani ila nilikuwa napata moyo na hamasa kutoka...
AKA: "Toxic Skies" Starring: Anne Heche, James Tupper & Tobias Slezak A respected virologist and a mysterious renegade race to find a cure for the deadly virus that’s spreading across the country...
March 20, 2020
AWARD WINNING MOVIE. When a disease turns all of humanity into the living dead, the last man on earth becomes a reluctant vampire hunter. Vincent Price Franca Bettoia...
Kichwa cha thread chajieleza. nashusha nyimbo kali za zouk. pia waweza kuongeza zako tusaidie ambao hawana
Leo naanza na Oliver Ngoma. Mie nazipenda
1. Kusu
2. Lusa
zinanifikirisha mbali sana hasa...
Wakati mwanamfalme wa Kiafrika na karani mmoja mwanamwali Mzungu wa maisha ya wastani kutoka kwa wamiliki wa bima wa Lloyd, walipoamua kuoana mnamo mwaka 1948, ilichochea hisia mbalimbali nchini...
Wadau wa tasnia ya muziki wa kizazi kipya Tanzania. Njooni tujuzane kati ya wahasimu hawa wawili. Nani amenogesha zaidi uzinduzi wa album yake? Na kwa sababu gani?
Honestly mimi nime enjoy zaidi...
Wakuu salamu.
Naomba kuuliza,hivi kuna uwezekano wa ku-download series za kikorea ambazo zipo kwenye one folder.
Yaani,badala ya ku-download episode moja moja mpaka ziishe. Hakuna namna ambayo...
Wadau wa Entertainment natafuta hiyo album anayeweza kunisaidia kuipata itakuwa vyema sana.
Ina nyimbo nne nazo ni 1. Elephants Ambiance 2. Elephants a gagne
3. Tienbe Moin Fo na 4. Motema na...
Habari wadau,nimehangaika kwa muda mrefu kupata jina la wimbo huu bila mafanikio ni wimbo wa zamani na sehemu ya mashairi yake yanasema "NIMEACHANA NA MUME WANGU NIMEKWENDA KWA REHANI,BAADA YA...
Habari wakuu
Sihitaji kuwachosha niende kwenye mada.
Ni nyimbo zipi kwa bongo ulizipenda na mpaka sasa zikipigwa unakumbuka enzi hizo?
Kwa mfano: Mimi nyimbo za wasanii wa Daz Nundaz mfano...
Herode anamtafuta mtoto ambae amezaliwa.
Herode alifadhaika Sana moyoni, kusikia mfalme Yesu amezaliwa katika Bethlehem nchi ambayo Herode aliitawala.
Mtoto mfalme alie tabiriwa kuchukua...
RIWAYA; MAUAJI YA KIFO
MTUNZI; BAHATI MWAMBA
SIMU;0758573660.
Mwaka 2012
CHAYA-
Kikundi chao kilikuwa na watu wanne. Kikundi hiki kilikuwa na watu wanaopenda kujiongeza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.