Katika watangazi wa vipindi vya Kijamii vya mchana vya aina anayo endesha huyu biMAMA. huyu dada ni mpiga kelele kama alivyo MC PILIPILI kwenye Comedy.
Katika list yangu ya ubora wa hawa...
Katika radio station zilizokuja juu kwa fujo ndani ya muda mfupi kupata wasikilizaji wengi ni wasafi fm. Hii ni kutokana na kupiga miziki mizuri na kipindi cha sports arena.
Baada ya kupendwa...
Mtunzi Bishop Hiluka
0685 666964
DONDOO
Laiti ningejua kuwa alikuwa na siri nzito namna ile aliyokuwa kaihifadhi kifuani kwake, nisingefanya upuuzi. Ona...
Hivinajiuliza hawa wasafi wameshindwa kuwa creative?
Mbna kila kipindi au mradi wanakopi?
Kuanzia kivumbi cup-ndondo cup
Block 89-fnl
Wasafi festival-fiesta
Superwoman-malkia wa nguvu
Sports...
Bongo hapa tunawasanii wengi sana wanaofanya vizuri nje na ndani ya Bongo. Pamoja na mazuri yao wasanii hao wengi wao huwa na Gambia za ajabu ajabu sana.
Mfano kila msanii na yake.
1. NIKKI...
Buza! Buza! Buza! ni nini wamewakosea wakazi wanaoishi nyuma ya Airport ya Kimataifa? Kwa mashairi haya msanii huyu kadhalilisha sana wakazi wa Buza maana yeye ni msanii maarufu na ni kioo cha...
RIWAYA: Jestina
MTUNZI: Tariq H. Haji
MAWASILIANO: 0624065911
SEHEMU YA 1
KWA MWENYE UHITAJI WA RIWAYA HII, INAPATIKA KWA SHILINGI 2500 YOTE. WASILIANA NA TARIQ KWA NAMBA HIZO HAPO JUU...
Huyu mutu ya Kongo, naona kama anataka isimamisha nchi kwa muda kidogo hasa kwenye burudani ya mziki wa dance, sasa hivi kila upitapo utasikikia papa mobimba yeee papa mobimba yeeee, Mara papa...
Yaani tokea Harmonize ameachana nao wanajaribu njia zote kumzima kwa sababu wanajua akipenya tu ndiyo utakua mwisho wao. Harmonize alitoa nyimbo ya singeli wakaona umepenya sana. Wakamchukua...
Meghan ameamua kuvaa gauni la blue bahari lilitengenezwa na kampuni ya mitindo ya Victoria Beckham gharama za gauni ni £950. Hii ilikua hatua yake ya kumaliza ugomvi wake na Victoria.
David na...
Habari zenu wakuu, natumaini mko poa.
Kuna muvi nimeiona inaitwa IN THE TALL GRASSES ila imenichanganya sana tena sana. Haya ni baadhi ya mambo yaliyonichanganya
i)Je, yule mdada mwenye mimba...
Hivi wenzangu nauliza. Huwa mnawaelewaga hawa watu kweli?
Mbona sisi tupo karne ya 21 wao bado wapo karne ya 18?
Huwa mnacheka kweli mkiwaona hawa watu?
Hivi yule BABU MKOMBE yupo wapi?
Sehemu ya 01
Mtunzi Ally Katalambula
Waswahili wanasema uchungu wa mwana aujuaye mzazi lakini kwa mama yetu ilikuwa kinyume. Sikuamini mama yetu mzazi kuwa chanzo cha matatizo ya familia yetu...
Kuna nyimbo mpya unavyoanza jamaa anaimba
“She call me in my phone atakuja geto...”
Mbele anakuja kuimba mwanadada
Anayeijua iyo nyimbo anitajie
Portfolio | 2020
JUMBA LA WACHAWI
Mwandishi/mtunzi; Zulfa Huseni
SEHEMU YA 1
UTANGULIZI;
Gari lilikuwa likiendeshwa kwa kasi mno, ni kwenye barabara ya Alhasan mwinyi, ni gari dogo aina ya Hyundai ya rangi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.