Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Hawa netflix nahisi wanaweza kuharibu ratiba za valentines day Mzigo upo eztv(dot)io
0 Reactions
3 Replies
910 Views
SWAHILI UNIVERSE INAKULETEA FILAMU ZA BONGO KILASIKU SAPOTI FILAMU ZETU KWA KUSUBSCRIBE LINK HII: Swahili Universe - Latest Bongo Movies USIPITWE Hii ni channel yako namba 1 kukuletea visa na...
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Habari viongozi, Jana nimetoka kumsikia mtoto aliyezaliwa kwenye miaka ya 2004 (15) akiimba wimbo wa Kilimanjaro Band uitwao Boko. Sasa najiuliza hawa vijana, wanawezaje kuimba nyimbo ambazo...
1 Reactions
30 Replies
8K Views
Hivi wasanii au mtu anapoweka video yake Youtube analipwa Shilingi ngapi za Kitanzania? Kinachoongeza kipato ni namba ya views, downloads au na urefu wa wimbo pia? Kwa mfano video ya dakika 4...
2 Reactions
25 Replies
6K Views
wadau naomba tutoe maoni yetu kuhusu nani mkali zaidi ya mwenzake kati ya magwiji hawa wawili wa reggae, alfa blondy na lucky dube. baadhi ya nyimbo za alfa blondy 1. jerusalem 2. masada 3...
1 Reactions
78 Replies
25K Views
Kwa wale wa nyimbo za country tukutane hapa, liwe jukwaa la kushirikishana mambo mbali mbali yahusuyo Music huu ikiwa ni pamoja na kushare nyimbo zenyewe wale wenye hisia za aina hii...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Wengi wanauchukulia mziki wa hiphop kama mziki wa wahuni ila ni moja kati ya miziki yenye facts nyingi compared to other kinds of music. Wasanii wengi wa hiphop wana IQ kubwa. Kusikiliza hiphop ni...
4 Reactions
111 Replies
19K Views
Wakuu heshima yenu, Nowdays kumekuwa na tabia kubwa sana ya wasanii wa kileo wa Bongoflavour nyimbo zao nyingi wanazotoa ni sex song na sio love songs,nyimbo nyingi zinazungumzia jinsi ya kufanya...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Wapendwa habarini za jioni/usiku. Naombeni msaad wa namna ya kuipata muvi ya san andreas ya tetemeko la ardhi iliyokuwa inamhusisha dada aliyeanguka kwenye bonde la san fernando california then...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari ya muda huu ndugu, jamaa na marafiki. Naomba msaada kama kuna mtu ana wimbo tajwa hapo juu wa Drake. Nmejaribu kuutafuta YouTube lakini nimekutana na cover tupu. Shukurani Sent using...
0 Reactions
0 Replies
915 Views
Unaikumbuka movie maarufu ya Kihindi inayohusisha kijana masikini mwenye akili sana aliyetekwa na familia maarufu ya kitajiri kusoma kwa niaba ya kijana wao? Ndio, ile movie maarufu sana ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kucompare watu maarufu si kitu kibaya, mara nyingi ni kuangalia mazuri na kuyaendeleza na yale mapungufu kuyarekebisha. Kwenye suala la hadithi(riwaya) za magazetini, mimi nilijitahidi sana...
3 Reactions
140 Replies
53K Views
Kuna movie niliangalia miaka kidogo imepita ila jina siikumbuki, naomba nisimulie kidogo story kisha kwa atakaeweza ifahamu naomba anisaidie kukumbuka jina la movie. Story inaanza (ntasimulia...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari wakuu, Katika miaka ya 2015, nimekuwa nikifuatilia Series moja inayokwenda kwa jina la FRINGE. Ni season kali sana ambayo sijawahi kuona tena kwa upande wa Series za kisayansi. Hii ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama tittle inavyosema na ni kwanini Hiyo thriller movie kwako ni best?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Napendelea sana kuangalia movie na series za commedy na baadhi ya series commedy nashauri wapenda commedy wenzangu waziangalie (hapa nitataja kumi bora tu) 1. Friends 2. Seinfeld 3. The Big Bang...
3 Reactions
65 Replies
6K Views
Jamani kuna wimbo wa bongo flava unakipande kinaimbwa "hivi ni nini kimefanya unipendeee, unazidi kunipa mawenge" nimeutafuta bila mafanikio. Msaada plz Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
803 Views
Nduguzanguni naombeni horror movie (movie yakutisha) ya kizungu yenye maudhui kama Final Destination. Sitaki iwe na maudhui ya zombie, vampire au kishetani.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wazee dude hilo Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
24 Replies
4K Views
Back
Top Bottom