Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Bondia asiyepigika Floyd Mayweather ametangaza niya yake ya kupambana na Khabib pamoja na Conor McGregor kwa siku moja ambapo amepanga kuanza kumtandika Khabibu mchana kisha kummaliza kabisa Conor...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau wa JF naomba nipate official website ambayo ntaweza kudownload movie ya CHALTE CHALTE 2003. mana nikijaribu kuutafuta napata triler. Naomba msaada kupata web official ya movie ya chalte...
0 Reactions
0 Replies
503 Views
Kwenye ule wimbo wa baddest 47, unaoimbwa hivi, sijui nikagongee nyagi au nikagongee veve,, sijui nikagongee banana au nikagongee yokozuna, anaejua maana ya kihuni ya yokozuna ni nn atuambie...
5 Reactions
51 Replies
12K Views
Nimekuwa muhanga wa kudownload series mzigo mzima halafu mwisho wa siku najilaumu baada ya kuona nilikosea kuchagua!Mara nyingi huwa nasoma tu short story ya series,itakayonipendeza naichukua...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Wapenzi wa series iliyovuma kipindi cha 2016-17 Homeland na mwana Dada Kerry Matson imerudi upya na kwakishindo kikubwa Soul Katekwa na talebani itafute.
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Utangulizi: Pengine umejaribu kuangalia series ya Game of Thrones lakini umeshindwa kuielewa kwa sababu mbalimbali. Hapa nakupa utangulizi wa baadhi ya mambo yaliyotokea katika dunia hii ya...
7 Reactions
21 Replies
6K Views
Only lengendary understand this seasons Ipi ilikukoshaa na hasa tukio gani huwezi lisahau. Changia tuone picha itabaki kuwa ni dhahabu. Only Lengendary wanazielewa hizo picha Naanza GOT John...
1 Reactions
38 Replies
5K Views
Habari zenu wakuuu...!!!ni hivi nilikuwa na shida moviee yeyote ya kibongo ambayo ni nzuri nicheki mda huu nimemiss movie za kibongo kwaiyo kama, Kuna yeyote anayejua jina la bongo movie nzuri...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Yani nipo sehemu napata upepo mara unapigwa wimbo wa Juma Kakere. Kama ni mfuatiliaji wa muziki wa dance utaujua. Sasa ni wimbo mtamu sana, tena wa siku nyingi. Najiuliza, kilichomfanya kuimba...
0 Reactions
0 Replies
739 Views
Habar za muda huu ndugu wanajukwaa,naomba kwa yeyote mwenye nyimbo za waganda aziweke kwenye uzi huu! Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
4 Replies
2K Views
TAHADHARI!! Kama huna kichwa cha kuelewa na kuchambua mistari ya hiphop bora upite kushoto, hutakaa waelewa Fid Q na Joh milele. Asee nimesikiliza hii nyimbo zaidi ya mara 3 yani alivyozungumza...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Yani kuna ngoma kibao zimewekwa ndani WCB, lengo lao kutaka tu kupinzana na Konde Boy. Eti Rayvany Mr Nyegezi katoa ngoma 5 bada ya jeshi kutoa. Sasa Diamond anasubiri siku tu Harmo akitoa ngoma...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jina la Kamili: Seydou Koné Jina la kisanii: Alpha Blondy Nchi: Ivory Coast Alizaliwa :1 Januari 1953 ( miaka 62 kwasasa) Dimbokoro, Ivory Coast Aina ya muziki : Raggae Kazi yake : Muimbaji...
5 Reactions
65 Replies
16K Views
wadau huu uzi maalumu kwa wapenzi wote wa nyimbo za mwambao za kuanzia mwaka 2000 kurudi nyuma hadi 1918 nimemkumbuka sana asu misambano,bi shakila,bi malika,mushrooms wazee wa embe dodo, , ...
1 Reactions
50 Replies
21K Views
Spac Dawg ndiye msanii anayefanya Kiswahili cha Arusha kiwe na maneno ambayo yanatumiwa Zaidi na watu wa kule. Maneno kama ‘Mafekeche’ ‘Fasi ya dwasi’, ‘Fyade’ ‘Yechu!Yechu!’ nk ni maneno ambayo...
3 Reactions
16 Replies
4K Views
Mimi najiuliza kuhusu hivi vipindi na umuhimu wake kwa jamii. Jamani watangazaji wanajinogesha kama wako kitandani duh!havichochei ngono kweli?Mambo yanayoongelewa ni vichocheo tosha. Nani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hakuna kitu kibaya sana humu duniani kama shida Haichagui mtu, siku wala mwaka Haina katu taarifa shida huingia shida bila hodi Si mtoto wala mkubwa wote shida Kila siku shida shida haiishi mpaka...
2 Reactions
0 Replies
712 Views
Wana jamvi habarini za majukumu, Kwa wale tuliotekwa na kuangalia tamthiliya pendwa ya Wounded Love inayoonyeshwa na Azam Two, sasa ipo ukingoni. Ni muigizaji na tukio lipi lilikuvutia katika...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wale wapenzi wa twanga pepeta,akudo impact na fm academia nyimbo zao kuanzia 2002 mpaka 2012 tukumbushane enzi Mimi nakumbuka Mtu na pesa zake-twanga pepeta Password- password ya maisha yangu...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
Back
Top Bottom