Jamani nimesikia series ya Money heist ni nzuri sana lakini Me kwa kweli wanavyoongea kiispania nimeshindwa kuifatilia.. Je kuna Episodes zake ambazo wanaongea Kingerezaa???? Yani zimetafsiriwa...
kazi na muziki. namcheki tu boss wangu alivyonuna mi nakula ngoma. na kazi zinaenda yan full kuipa faida kampuni.
anaoujua huu wimbo atuambie kisa chake maana si kwa utamu huu si uimbaji si midundo.
[Verse 1]
See the way you love me
See the way you care for me
You carry my matter for your head oh
All: Ine me Obi nasom
Like a little baby
You watch over me
You no deh carry me de play ooo
All...
Habari zenu wakuu naimani my wazima. Nilikuwa naomba mwenye link ya video ya nyimbo hiyo hapo juu, maana nimehangaika kuitafuta mitandaoni na YouTube zipo fupifupi na Mimi nilikuwa naitaka ile ya...
Habari zenu wakuu natumai mu wazima wa afya.
Ombi langu kama hapo juu ni kwamba nilikuwa naulizia mahali ninapoweza kupata duka liuzwalo vitabu vya fasihi za kiswahili hasa za kipindi hicho maana...
The eye-watering sum was distributed through the Douglas Foundation, which aims to “help those who cannot otherwise help themselves”
Kirk Douglas left his entire fortune to charity - with not a...
Hatimaye zimebaki siku chache tuweze kushuhudia mpambano wa marudiano kati ya Deontay Wilder (Bronze Bomber) na Tyson Furry (Gypsy King).
Katika pambano lao la kwanza lililofanyika mwaka 2018 Dec...
Ghetto, ghetto
Ghetto, ghetto livin'
These streets remind me of quicksand (quicksand)
When you're on it, you'll keep goin' down (goin' down)
And there's no one to hold on to
And there's no one to...
It Knows Me
I seek the water
I seek the trees
I seek the heavens
But I'm brought down my knees
Yeah I know anger
I know peace
Yeah I know darkness
And it knows me
It knows me
I felt the fire...
Mimi ni mwanamziki,Nimewaza sana mtu ambae naweza fanya nae collabo nikagundua huyu mwana mama Anaweza Kusimama vzr kwenye Chorus yangu ,
Tatizo nimejaribu kumtafuta kwa namna yoyote ile ila...
Natafuta muvie ya Sarafina ila ambayo ni ndefu( Extended). Maana hii ya sasa ni tofauti na niliyokuwa naangalia miaka ya 90. Iwe na kile kipande wanachoimba kanisani, pia kuna kile kipande jamaa...
Kwanza naomba ni declare sina ubaya na huu wimbo wao wa #Gere bali najaribu kutoa maoni tuu ili kuboresha tasnia hii ya music.
Inasikitisha sana wimbo wenye jina la kimwambao(Gere) kuwa na vionjo...
Hii inawahusu wale wanao fuatilia mziki wa rapp
Kenya kuna rapper maarufu kabisa kwa jina la Khaligraph Jones. Lakin nimekuja kujua kuna Group flan lipo Kenya hawa jamaa wana jiita AFROCENTRIC ...
Leo nilikuwa nasikiliza wimbo wa Bongo Dar es Salaam wa Prof. Jay nikiwa nahusisha na hali ilivyo sasa na ilivyokuwa kipindi huu wimbo umetoka, I think ni early 2000's; vingi vinavyotajwa kwenye...
I can do what I want,
I'm in complete control
That's what I tell myself
I got a mind of my own,
I'll be alright alone
Don't need anybody else!
I give myself a good talking to
No more being a fool...
Wadau nataka ni download movie ya kihindi inaitwa chalte chalte 2003. Nimeshindwa kuipata, nimeambulia triler tu. Wadau Naomba msaada wa kujua ni website gani nitapata kudownload full movie ya...
Kuna ngona moja hiv nasikia Sana mtaani na moja Kati ya mistari inasema hiv
Naisikuibiwa,nachanganyikiwa
nimechoka kusubili mbona utokei.
alafu chorus yake ni "kaputa" sijui nitakuwa nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.