Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Mimi ni miongoni mwa wasikilizaji wa redio hii hasa wa vipindi vya Power Breakfast, Jahazi na Amplifier. Hii ni wiki kama ya tatu redio hii haisikiki Morogoro na hakuna taarifa yoyote. Jamani...
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Tovuti 13 kwa ajili ya Movie Streaming bure. Zitafute hizi kwenye Google: 1. Popcornfix 2. MovieNoLimit 3. Hotstar 4. Viewster 5. Snagfilms 6. TubiTV 7. Vudu Movies 8. Crackle 9. Yidio 10...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau wa jukwaa hili wasalaam, Mimi ni miongoni mwa watu wanaopenda sana muziki wa harakati, ingawa sisi wapenzi wasikilizaji tunapata burudani ila wasanii husika wamekuwa wakipata changamoto za...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Niko ground hapa uwanja haujajaa, pia majukwaa yako tupu. Nilijua bei ikiwa ndogo ingevuta watu wengi. Hii inapelekea mpaka sasa hawarushi live matangazo yao kwenye Tv. Hata Millard Ayo camera...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
Tuache unafiki Jana Nay wa Mitego na Konde Boy wamemfunika vilivyo Ali Kiba Nyimbo zote alizoimba Nay wa Mitego ziliibua shangwe za ajabu kuliko wasanii wote waliopanda jukwa la Fiesta. Kama ile...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
LEO Hii December 8, 2019 Katk ulimwengu wa burudani kuna rumos nying zime tanda kwenye mitandao tofauti ya kijamii Juu ya kifo cha rapper Jarad Anthony Higgins Maarufu kama JUICE WRLD...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari! Binafsi napenda sana aina hii ya music. Huu uzi uwe maalumu kwa kutupia nyimbo zenye mahadhi/maudhui kama haya. Kama vile; 1. Alan Walker_Faded 2. Chris Brown_Don't wake me up 3. Owl...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Oya wazee JF, mmesusia tamasha la Tigo Fiesta! Sioni mjadala kuhusu show ya jana, niko hapa kazini namuuliza workmate wangu kama show ilifanyika au la, amenijibu kuwa show ilifanyika tena kwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kawaida mjini ni mipango na kila mtu anaishi mjini kwa mahesabu yake anayoona yako sahihi,, Nilipotimiza miaka 19 nilitamani kuoa kwa kuwa niliamini ili kupata mafanikio zaidi ni lazima niowe ila...
2 Reactions
94 Replies
29K Views
Wakuu hivi clouds media waliwakosea nini wananchi? Leo tarehe 8 decemba ni siku ya tukio kubwa kiburudani hapa nchi ambalo huambatana na shamrashamra kama zote, kwa awamu hii hali ni tofauti...
4 Reactions
53 Replies
5K Views
Naangalia Fiesta Live on Clouds Plus. Wana matangazo live toka stadiu na interview za studio. Kuna huyu mdau mdau wa clouds wa sanas kaamua kutupia "Trump is My President". Kwa kuchagua hiyo...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Kabla ya kukata tickets mnaonekana wa muhimu baada ya hapo mnakuwa maboya. Yaani huko kwenye entrance points tunafanywa kama wanyama, hakuna ubinadamu, ni kusukumwa tu na wapuuzi flani ambao...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hawa walioandaa hili tamasha la "Free Esther" wanaishiwa ubunifu kwa kasi ya moto wa nyikani. It doesn't make sense wao kutumia slogans kama "Uhuru wa Burudani" at the same time wameipiga ban...
0 Reactions
3 Replies
867 Views
Hawa jamaa wote wana balaa zito kazi zao recently ni kama ifuatavyo. Hanscana -Harmonize (kushoto kulia & Uno) Kenny -Diamond (sound) -Jux ( sugua) Kwa kuangalia ubora wa kazi zao nani...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
You again (2019). Cast: Mimi mars, Nick Mutuma, Amalie Chopetta, Moriss Mwangi, na wengine wengi. Director: Nick Mutuma & Natasha Likiman Uchambuzi: Hizi ni moja kati ya zile wanaita romantic...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nadhani kichwa kinasomeka vyema. Haya mi naanza na hawa wawili 1. JUMA NATURE - Ikumbukwe huyu anayo ile ya channel O pekee, licha ya ukubwa na ngoma kali zote unazozijua ameshiriki kwa namna...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
1. Sheebah Karungi [emoji1254] Uganda 2. Joeboy [emoji1184] Nigeria 3. Brian Nadra [emoji1139] Kenya 4. Innoss'B [emoji1078] DR Congo 5. Sho Madjozi [emoji1221] Afrika Kusini HT: BBC Watanzania...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau mko poa? sasa kuna blog moja inaitwa MIDDLE SIMBA kule U-tube, katika utoaji wake wa habari au uchambuzi mbali mbali huwa kuna wimbo mtamu wa english unapigwa kwa mbali kama background song...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Aisee, huyu bidada sijui ni ushamba wa kuona wezere OG ama nini! Night club hakuna asiyejua yanayofanyika huko. Lakini kuwarekodi hao waafrika wenzetu kisha kuwaanika kweny insta stori yake sio...
0 Reactions
2 Replies
918 Views
Hello nimewaletea Audio Mpya hebu tusikilize alafu mtoe mawaidha yenu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom