Naam wapenzi wa movie za karate kwa miaka hyo ya nyuma ulikua ukitaja list ya majambazi yenye roho mbaya kwenye movie za karate bas huwezi acha mtaja bolo yeung au bolo yanki kama wengi...
Hasa hasa hiphop tanzania wapo vijana underground doing Great things an using their mind to create A unique sound
KAWASIKILIZENI HAWA
kutoka soundcloud
Brian simba
George gavin
Mext cortez
Mjb...
Hello wadau, kuna watu walikuwa wanautafuta sana wimbo wa CHAMA CHA MAPINDUZI CCM NO 1, nimebahatika kuupata ni huu apa, Usisahau kusubscribe hannel yetu kwa Nyimbo adimu.
KOMBORA KIOTANI-31
BONIFACE BIRAGE
Wengi walikuwa na shauku ya jinsi kipindi kingeenda kwa siku ile na jinsi kingepokewa na umma.Kulikuwa na stori kubwa iliyongoja kuruka...
Mods hongereni kwa kazi kubwa mnayoifanya humu JF. Napendekeza liwepo jukwaa au kipengele cha hadithi na story kama zile za kikosi cha kisasi, Njama, Ntakupata tu, na zingine. Mimi ni mpenzi mzuri...
Nakumbuka ilikuwa tarehe tatu march 1998,nikiwa mwanafunzi shule ya sekondari mwembetogwa pale iringa.baada ya masomo nilipata likizo fupi.nikawaomba wazazi niende kwa babu yangu aliyekuwa akiishi...
Baada ya kuanglia vipande kadhaa vya show ya mwanamuziki wetu diamond platnumz, chibu dangote...Nikaona kwamba wengi wao waliohudhuria ni kutoka afrika mashariki hao wengine ni kidogo sana...
Kwa ile amri ya mkuu wa nchi kuhusu mavazi ya heshima kwa wacheza muziki mimi natabiri muziki wa bongo utashuka thamani yaani mashabiki wa kuangalia video zake watapungua.
Maana hakuna cha maana...
Wadau hili ni swali...
Nimeona video nyingi na hii hapa chini ni mojawapo, Hivi inawezekana kweli jicho moja kuzunguka bila mwenzake kufuata??? Au kiunakua na photoshop tunadanganywa???
Mim si mpenzi wa Nigerian Movies na hata kwa bahat mbaya huwez kunikuta naziangalia hizi movie
Ila kuna Movie moja inaitwa 76 Imecatch my attaention kwanza kwa wahusika wa hyo Movie pia theme yake...
Habari JF.
Leo naomba kujuzwa hili jambo kuhusu nyimbo za msanii Diamond Platinum kutokupigwa katika vituo hivi vya EA Radio na TV (Channel 5)
Nauliza haya baada ya kufuatilia kwa muda...
Wadau naamini wengi mnafamu tattoo ni kitu gani...watu wengi huchora tattoo kwa sababu zao tofauti kama vile fashion tu au kuficha alama ama makovu ya vidonda...Lakini kwa leo nimewaletea list ya...
Natarajia kusafiri next week niltarajia ningesafiri na na private car lakini haitawezekana maana gari imepata matatizo kidogo, ivyo basi kama kuna mtu anayetaka kusafiri kutoka Dar kwenda bkb na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.