Hii bendi ilianzishwa huko US mwaka 2005. inaimba indie rock na folk rock (mziki wa asili). walitoa album yao ya kwanza mwaka 2012 inaitwa the lumineers hii ilishika no 2 kwenye billboard 200...
Kiba apagawisha arusha....sauti yake ya jukwaani haina tofauti na ya kwenye CD, mziki mzuri tuliburudika sana....hapa na mausingizi baaadae ntatupia zingine...pata starter kwanza.
Habarini wadau,
Hivi kuna mtangazaji gani unayemfahamu (wa zamani au wa sasa) aliye mkali katika habari ya vionjo mbalimbali vya music anayemzidi Masoud Masoud?
Kidogo anafuatiwa na Charles...
AYA: Wimbo wa Gaidi
MTUNZI: Hussein Tuwa
UTANGULIZI
Ni miaka mitatu tangu kuuawa kwa Osama bin Laden nchini Pakistan. Wanamgambo wa Al-Qaida wamesambaratika. Wengi miongoni mwao wameuawa...
Nafikiri sio mbaya kwa mchezaji wa Yanga SC kuacha soksi za jezi zao mbele ya ofisi za Simba SC. Eeewaaah si hata mechi zikiisha huwa wanapeana jezi.
Me nipo Tabata hapa kwa Kiba nakula Diamond...
Hawa jamaa wamenishangaza kwa kipaji chao cha kuweza kuimba kwa pamoja na kupiga vyombo bila kupishana. Walichokifanya humu ndicho wasanii wengi wa siku hizi hawana (HARMONY)
CC: Red Giant ...
Wakuu...
Kwa wadau wa series hebu tuambie unamkubali nani. Binafsi namkubali na kumpenda sana Jack Bauer wa 24 Hrs. Anajua kuvaa uharisia wa hali zote. Ni mzalendo na anajua namna ya kuwavuta...
Nyimbo iliyopigiwa promo ya kufa mtu ya mwanamziki Ally Kiba kumbe ilikuwa na utamu wa Big G!
Ndani ya wiki moja imechuja na sasa truck kutoka wasafi record inayoitwa Zilipendwa imepanda chati...
Kiukweli bongo fleva sasa ni biashara,vile utakavyoweza kuwateka mashabiki,..haina tofauti na yule mkorea gangnam style,sio kwamba ni good music ila mbwembwe nyingi..same happend to ali kibas...
Kwa wale wanaofaham... Naomba kuuliza Kama kuna fta Chanel zinaweza kuongezwa kwenye muelekeo wa Dstv... Natanguliza shukrani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupongeza kwa kurejea. Ulituvuruga sana hapa mashabiki wako wa damu na zile ishu za mafuta...
Mambo ya ebitoke na affairs zako nyingine za mapenzi hayatuhusu.. Jana umeguguma sana XXL...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.