Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Kuna movie moja hivi inaitwa Apocalypto,.. Hii movie, ni moja Kati ya movie ambayo hainichoshi kuiangalia tena na tena... Huyu jamaa Star wa hii movie nimemkubali saaana, ananishawishi niendelee...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni nchi gani duniani ni wakali wa series duniani. 1.Korea 2.Uingereza 3.Marekani 4.India
0 Reactions
50 Replies
5K Views
habari zenu ndugu zangu samahani naomba kuuliza kwa wale wataalamu wa kupakia(upload) nyimbo mtandaon kua nime pakia nyimbo yangu ktk hizi free sites kama vile audiomack/bandcamp nk lakini...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
. . Na SANGUJOSEPH . . Kuna KITU MASHABIKI Na wapenzi wa MUZIKI tunapaswa tukifahamu SANA katika muziki WETU SHABIKI Au Team za wasanii now days Zina nafasi kubwa ya kuifanya nYimbo ya kawaida...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Huu ni wimbo wa bongofleva ambao nilitokea kuupenda sana ila umenitoka kidogo, una mashairi haya; Nilimfukuza mpenz wangu eti kwa sababu ya bintii, nilimfukuza wangu moyo eti kwa sababu ya bintii...
1 Reactions
6 Replies
45K Views
Ebu niambien naskia n pazur zaid ya nextdoor Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
852 Views
Masada wakuu kwa anaefaham audio player kwenye Android ambayo itakua Ina cheza miziki iliyoko kwenye play list Bila kuweka pause (fade) kutoka miziki mmoja kwenda mwingine Yani inaiunganisha...
0 Reactions
0 Replies
813 Views
Mwenye wimbo wa Nuruelly unaitwa tumeagizwa upendo anisaidie. Pamoja sana wana jf
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Wakuu leoo tukumbushane kuhusu movie za nje ambazo baadhi huwa inspire watazamaji na nyingne n real dramaa.. Mimi naanza na Escape from sorbibor.......kuna Missing in action...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Naomba mwenye audio jingle ya ishi na mimi ya clouds fm naomba jamani naipenda sana kitu hii Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
5 Replies
7K Views
SIMULIZI: ANTI EZEKIEL MTUNZI: George Iron Mosenya SEHEMU YA KWANZA Marashi yaliyopuliziwa na mtu ambaye nilikuwa sijauona uso wake wala kujua yu umbali kiasi gani kutoka katika kiti...
2 Reactions
110 Replies
45K Views
Tusiishi kwamazoea.. Shuudia hii.. Inafrahisha ila jifunze kitu. Jamii forum raha sana
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Wimbo mpya wa lavalava dede ni hatari...ujumbe mzuri,mashairi murua kabisaa... Hakika ni chakula bora cha masikio yetu
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Kila nikisikikiliza zilipendwa ya Mond na seduce me ya Kiba then nkihusianisha na comments za watu mtandaoni nashindwa kuelewa kama me nimedownlod nyimbo tofaut na zenu au sikio langu limepinda...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Seduce me. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeisikiliza wimbo mpya wa Roma mkatoliki Leo Nimependa pale anaposema ""Mungu wa daudi mungu wa Paulo na mungu wa yohana"""" Hio sentensi hapo naona inamajibu karibu yote ya kutekwa. Rapa Roma...
34 Reactions
902 Replies
180K Views
Chuki,wivu na kutokubali kushindwa kunaelekea kuliangamiza taifa hili kimuziki.Sasa kazi mbovu kabisa zinapewa promo kiasi cha kuharibu jina na muziki wa Tanzania. Hivi sasa tumefikia hatua ya...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Ni binti mdogo sana lakini mwenye kipaji cha uimbaji anatoka Kwenye visiwa vya Solomon.
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Ngoma za mbele ziliniteka kwa mda kidogo Kendrick na Jay Z new albums zime make most of my playlist. But huu mwezi bana zimetoka hits balaaa kila ngoma jiwe So far hizi ngoma haiewezi pita day...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom