Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Hili kundi naona limepoteza muelekeo sikuiz,matangazo nayo yamekua part ya program, hata kipengele rahisi cha songi la leo kila siku kurudia tu. Ushauri wangu kwao ni kua wasione aibu kutangaza...
2 Reactions
38 Replies
10K Views
Kinachoendelea kwa sasa katika kituo cha redio cha Clouds ni shamra shamra za uzinduzi wa Tamasha la Fiesta chini ya udhamini wa mtandao wa simu wa Tigo. Kati ya watumbuizaji wa tamasha hilo ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Moja ya nyimbo nzuri kwa mwaka huu ni pamoja na ya huyu kijana. Kwangu mimi, huyu ni moja ya vile vipaji halisi katika tasnia ya burudani... Ngoma yake mpya ya Libebe kamalizaa Pitia youtube...
3 Reactions
11 Replies
6K Views
Wanandugu nimekuwa na maswali mengi bila majibu kuhusu hiki kinaitwa fiesta, Wao wanaita msimu wa fiesta naona hata baadhi ya viongozi wanalinadi jambo hilo, Sasa mimi Labda ushamba wangu wa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
habari humu ndani wapendwa. mimi ni msanii wa bongo fleva ( sijajulikana bado)nafanya R&B,Hip hop (commercial) na aina nyingine. natafuta management ili niweze kutoa kazi zangu nilizo nazo na...
0 Reactions
4 Replies
996 Views
Simbaaa hatari hii kitu cant wait kuiona video Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Hivi humu ndani kuna watu wanao tazama jumong? Ni tamthilia nzuri mno ya kikorea, na inahusu siasa zaidi kuliko kingine. Natamani wana jf wote wawe wanatama jumong, ina fundisha vitu vingi sana...
2 Reactions
46 Replies
11K Views
AUDIO | BamTzee - Tokomeza Ajali Barabarani Download LINK>AUDIO | BamTzee - Tokomeza Ajali Barabarani | Download ~ DJ Mwanga
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu nauliza kama una series na uko mwanza naomba aje pm ili tuone namna ya kubadilishana for free ntakufata popote ulipo ili mradi usiwe mke wa mtu [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jaman munaonaje kiwango cha mavugool? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
795 Views
Arsenal fans: WENGER in out in out out in \_ in out out in out in
0 Reactions
1 Replies
744 Views
Dah bonge moja la nyimbo, sometime hili beef la watu wawili (kiba na mondi) linatuharibia gemu watangazaji na radio nao wamekuwa mashabiki, mpaka nyimbo kama hizi zinakosa airtime
5 Reactions
34 Replies
10K Views
Naomba msaada kama kuna mtu yupo "ARUSHA MJINI" na ana complete POWER season 4" full HD format, naitafuta. Pia kama ana series zingine ambazo zipo on trend kwa sasa.
0 Reactions
2 Replies
812 Views
Unakuta show ya fiesta wanapanda jukwaani wasanii 25,hivi wanalipwa sh ngap??? Show moja wasanii 30?????
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Diamond hongera sana. Kijana unajua safi sana. Hii nyimbo inakuwa ya Africa. See the attachment nyimbo chini hapo. Gonga like kusupport mziki mzuri.
22 Reactions
169 Replies
42K Views
Nakumbuka kipindi cha nyuma Kenya walikua wakituongoza kimuziki katika ukanda wa East Africa.Kwa bahati nzuri baada ya revolution kufanywa na vijana wa Bongo Fleva Tz tumefanikiwa kuongoza East...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Je, ni kutaka kuonekana kwamba wanaujua mziki tangu 80's au wanadhani wateja ndo tunazopenda? Nyimbo mpya ni nyingi sana hata ukizipiga masaa 24 haziishi... Nipo hapa Maisha Club makumbusho...
1 Reactions
35 Replies
4K Views
Naitafuta hii nyimbo ya uyu jamaa mwenye nayo ani PM namna ya kuipata tafadhal Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
0 Reactions
9 Replies
67K Views
Mwenye uelewa anielekeze jaman mm nataman kutambua advantage ya push up [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wadau, Katika tasnia ya muziki Africa ni vigumu kutoitaja Congo. Nimepata kuishi kambi za wakimbizi wa kikongo na huko nilishuhudia namna muziki ulivyo damuni. Kuna kanisa moja la asili wakati wa...
0 Reactions
38 Replies
9K Views
Back
Top Bottom