Nimepita stand ya daladala hapa Kilombero Arusha nimekuta Gari la matangazo linamasticker ya M na mwenge siwezi kuweka hapa maana nayachukia.. swali langu kwenu wanajukwaa kumbe fiesta ni...
I fell in love in a pool party She calling me 2chainz
I wanted a bugati
Gold on my two rings
She call me the cool kid
Kiss on my new rim
She loving the cool
She loving the cool
She know that...
Hawa jamaa kitambo sana sijawasikia. Nyimbo yao ya mwisho kuisikia walikuwa wamemshirikisha DJ fetty siku hizi sijui wako wapi na wanafanya nini.
Mwenye nyimbo zao naomba anisaidie jamaa...
Mara nyingi watu wanaposhindwa kusimama katika hoja huwa wanaanza kuibua viroja wakidhani zinaweza kuwavusha katika jambo husika. Vituko huwa vinaanza pale mtu anaposimama na kutaka kuaminisha...
Hivi huu wimbo ulitoka kweli!? Mwanzoni mwa May nilisoma kwenye blog mbalimbali juu ya hii collabo, na Tundaman alipost kwenye insatagram yake akiusifia! Je kuna mtu yeyoye ambaye ameshausikia na...
Double Impact.
Hii imechezwa 1991, Staring ni Vandamme na Alex.
Blood Moon.
Hii imechezwa 1997, Staring ni Gray Daniels.
Red scorpion
Hii imechezwa 1988, Staring ni Dolph Lundgren.
Ongeza...
Zamani sana kabla teknolojia haijasonga kama ilivyo leo, kumtumia mtu salamu ilikuwa kazi kweli kweli. Aidha uandike barua (ambayo itachukua wiki nzima kumfikia mlengwa), au utume salamu kwa njia...
Nikweli Tunahitaji kufanya Changes, Join #Movement_Okoa_Jahazi Kutuunga Mkono, Kuna makosa mengi Yamesha Fanyika, Huu ndo wakati wa mabadiliko, lazma tukubariene na hilo wadau wote wa bongomovies...
Watanzania Tunawaomba Mtusaidie Kutuunga mkono Katika #movement_Okoa_Jahazi, ili Tusizame, maana SKU mpaka SKU tunazidi kushuka tu!! kampuni itaanza mwakani,
Wewe ni msanii mkubwa sana, na una heshima kubwa sana hapa Nchini. Hivi ulishindwa kumpata Mond umshirikishe? mpaka uchukue mtu anae mcopy Mond? Kuanzia Sauti mavazi mpaka uchezaji ni Mond mtupu...
Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kushoto ni wageni waalikwa, akaenda kushoto maana yy alialikwa. Akakuta mlango wa2 umeandikwa kulia...
Ukijaribu kuhusisha Mgogoro uliopo sasa Kati ya Msanii Ruby na Clouds Media... Na Ukiusikiliza wimbo wake mpya unaoitwa Wale Wale n dhahiri utasema amewaponda Clouds Media.
Nimeusikiliza vzr...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.