Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Imma The Boy! Keeping the Good Music Alive!! [Ben Pol Naona raha, nimepata furaha maishani Na kila saa, naona nuru iking'ara moyoni Na kama wao walidhani hatutadumu pendoni Tizama leo watuona...
1 Reactions
21 Replies
6K Views
Hivi haya mambo yapo kweli wadau au ni story tu, fungua link hapo chini. Fungu Link y kwanza, ukiishasoma then angalia hiyo clip link namba mbili: 1. Sell Your Soul To the Devil 2.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwa wapenzi wa hii series season 3 imetoka episodes mbili zimeshatoka.n
1 Reactions
2 Replies
878 Views
Nimesikiliza sana nyimbo ya Jay-D ambavyo imerudiwa na watu wa nje ya nchi na nimepata faraja ghafla. Ana kipaji cha kipekee sana huyu dada yetu, (She's Original). Wimbo huu ukiusikiliza vizuri...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Lady Jay Dee anastahili pongezi kubwa katika nyimbo yake hii mpya ambapo amegusa vijana waleo walio amua kuishi maisha ya ajabu yaliojaa starehe na usaliti ktk ndoa .....Viva dada Jide na hongera sana
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hi Guys! Naombeni wenye nyimbo kali za clubs, romantic songs, na nyimbo flan za ku courage mtu mnitumie tu jina la msanii na jina la nyimbo, niitl
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie jinsi ya kuipata tamthilia ya La Revancha iliyowahi kurushwa na chanel ya TBC1 enzi hizo ikiitwa TVT.Nimejaribu mitandaoni kwa uelewa wangu lakini sijafanikiwa.
1 Reactions
4 Replies
714 Views
Naomba ucheki hii video then naomba comments.
0 Reactions
0 Replies
515 Views
Jamani nimekuwa addicted na Horror movies. Nampenda sana kuangali hizi movie usiku kabla yakupata usingizi. Naangalia hizi kupitia simu yangu ya android. Pia napenda kuangalia action movies zile...
2 Reactions
70 Replies
7K Views
FILMON TV FREE LIVE TV MOVIES AND SOCIAL TELEVISION Watch and Record over 500 LIVE TV Channels for free! Local TV too! Bigger than Netflix and Hulu and TV Catchup and Zattoo combined! We host over...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Yes the waiting is Over, birthday ya fulani imeingiwa mchanga Video ni kali sana, very unique, directed by Mejialabi, Set in South Africa Note: sio kama zile video zao za kucopy na kupaste...
4 Reactions
38 Replies
4K Views
Kanye west msanii toka maandishi matatu USA, miezi mitatu iliyopita iliachia ngoma yake iendayo kwa jina la "Famous" akiwa amemshirikisha msanii Rihanna ambayo video yake ilitoka ikionyesha sanamu...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kuna mitaa nilikua napita nikasikia wimbo maarufu wa Christian Bella ukiimbwa kwa lingala mwanzo mwisho najiuliza ni yeye huyo Christian Bella? je nyimbo zake zote ameimba pia ki congo? au ni...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wadau, nadhani mpo vizur Mim ni mpenzi wa hadithi mbalimbali za maandishi hata za simulizi kwa njia ya mdomo Ninaomba mwenye nazo za kusimulia kwa njia ya mdomo anitafute tafadhari za...
1 Reactions
0 Replies
800 Views
Habari wakuu.... Kuna nyimbo nilikuwa ilikuwa inapiwa sana kipindi hicho nafikiri miaka ya 2006-08 na hata sasa huwa inapigwa katika vituo vya redio lakini mara chache sanaaa,huo wimbo unaeleza...
0 Reactions
4 Replies
731 Views
Kama mwezi umepita mzee Yusuph alitangaza anaachana na hizo nyimbo za dunia mbona namuona uku tena kwa Akina Witness/kibonge mwepesi??
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Cha kushangaza ni dogo wa Kanda ya Ziwa! Yaani promo za kuotea lakini bado naiona hii track ikiziburudisha hadi nyoyo za mbali!! Hebu wazaramo semeni, track kama hii ikipigwa badala ya zile...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau, Msaada kwa mwanajukwaa yoyote mwenye wimbo wa Kifo cha Baba ulioimbwa na Daima Abdallah wa Dhamira Musical Taarab. naihitaji audio au address ya sehem ninayoweza kwenda ku download
0 Reactions
0 Replies
4K Views
ON air right NOW! Hawavumi lakini wamo ebwane kuna wasanii wanavipaji huku hatari tupu yaani akina Diamond wafanye fanye wawaite wakasign label ya wasafi tu asee, au akina Barnaba boy au hata SONY...
0 Reactions
1 Replies
787 Views
Back
Top Bottom