Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
wakuu,nahitaji link ya kupata movie hiyo hapo juu....
0 Reactions
0 Replies
680 Views
Jamani imefika wakati kuangalia vipaumbele vyetu japo msisitizo upo kwenye soka tusisahau vipaumbele vyetu na fani ipi angalau imeonyesha kutukubali! Pasi shaka burudani ama kwa kuigiza ama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
waione: Matola, Chachu Ombara, Dinazarde, farkhina
7 Reactions
122 Replies
33K Views
leo weusi wameachia remix ya gere ikiwa na wakali kibao wa Africa Mashariki. Link hii hapa download then tupia comment https://mkito.com/song/gere-remix-ft-collo-navio-nazizi-rabbit/9742
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Wale wapenzi wa Tv series karibuni kwenye hii thread tufanye kubadilishana mawazo, mimi ntaanza kwa kuzitaja series nilizoangalia na ninazoendelea kuangalia. 1: 24 2: Prison Break 3: Breaking Bad...
1 Reactions
165 Replies
15K Views
Clouds imeishiwa....Waliwatumia vijana wauza unga kwa posho ya kuwapigia nyimbo zao redioni na sasa hawana jipya.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna wimbo wa band fulan ckumbuk, unamaneno anaanza Muumin Mwinjuma, "Petro alimkana bwana Yesu mara tatu,kabla jogoo hajawika, lakin petrooo alisamehewa, Kosa langu lipi dada lisilosamehewa...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Kwa wale wapenzi wa movies tujuzane ni movie gani kali ya mwaka 2014 iliyokusisimua? Binafsi napenda action movies iwe military,spy na hata karate movies,
1 Reactions
56 Replies
8K Views
Mi binafsi nazipenda sana love story zao na hii ndo orodha ya movie ninazopenda mimi. 1.Ghajin (Amir Khan) 2.Vaada (Arjun Rampal) 3.Fanaa (Amir khan) 4.Akele Hum Akele Tum (Amir Khan) 5.kuch...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Za kwangu ni. 1.Blacklist..tarehe 1 feb. 2.Suits.......tarehe 29 feb 3.Viking.....tarehe 19 jan 4.Banshee. tarehe 09 jan 5.24............ tarehe 21 jan 6.Gotham....tarehe 05 jan...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Niko kwenye gari nasikia mwanamuziki Roma Mkatoliki anaimba muziki wa vijana. Anasema mimi nakuabudu sana, eeh Mungu, lakini hujanisikiliza. Anaendelea kushangaa inakuwaje unawabariki watu waovu...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
aliendelea kuzifuatilia zile nyayo na baadae akakutana na mdugu jamii ya kaa.lakini alivyoenda mbele zaidi ndugu zangu wapendwa alikutana na nyoka.nyuki huyu tabia yake kuu huwa akipatwa na njaa...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
boney m_mary's_boy child,_oh my lord. is my favorite x-mas song nafarijika sana kila nikuusikiza huu wimbo na kujiona mweye thamani kubwa sana kufika kusherekea kuazimisha siku ya kuzaliwa kwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
wakuu habari zenu... naomba msaada kwa yeyote amabye ana move hizo nazihitaji sana nizione kwa kufunga mwaka huu, au kama naweza pata msaada wa namna ya kuzipakua itakuwa vizur zaid
0 Reactions
0 Replies
768 Views
Staa wa Filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’. Na Hamida Hassan Staa wa Filamu za Kibongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ ameibuka na kusema kuwa kuelekea mwisho wa mwaka mastaa wengi wana ngoma na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Leonardo DiCaprio as Jordan Belfort in The Wolf of Wall Street The Wolf of Wall Street, Martin Scorsese's true-life tale of corrupt New York stockbrokers, was the most illegally downloaded movie...
0 Reactions
0 Replies
800 Views
https://www.youtube.com/watch?v=Hybj2Gfk6G8
0 Reactions
1 Replies
979 Views
0 Reactions
2 Replies
922 Views
latest news Rakai trader dies after shs700k gambling loss...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hello ~Everyone! I am working in a Chinese mobile game company and our games are all for western gamers. However, I am not a professional gamer and don’t know well about western game market…I...
0 Reactions
0 Replies
529 Views
Back
Top Bottom