Nilikua napitia mada hii
Tujikumbushe bendi zetu za zamani miaka ya 80 na 90 mitindo yao na wanamuziki wake
Kisha nikaja kusoma hii
beats kali toka kwa p funk
kichwa kikaniuma baada...
kipindi cha nyuma kidogo tulikuwa tunalalamika kuwa sisi watz hatuna tunachokijua zaid ya BBA, sasa kwa kipind hiki vijana wenzetu wameonesha kufanya vizuri na kulitangaza taifa letu, sisi wenyewe...
Hawa ni watu ambao kwa mtazamo wangu wana impact kubwa sana kwenye huu mziki wa kizazi kipya "Bongofleva", yaani wameacha alama ambayo haitakuja kufutika vizazi na vizazi, wametoa hamasa kubwa kwa...
Mimi naona hili ni tatizo sana kwetu unakuta msanii anaigiza kitu ambacho kwa kweli hakijatendea uhalisia wa hiyo subject/situation anayoiimbia haki kabisa na kuondoa ile dhamira ya sanaa ya Video...
if it doesnot ring a bell in ur nut pliz pita hivi :flock: soma kwanza ndo ukomenti kuna vipele hta havijasoma vinakimbilia kukoment pumba.
"The 4th Branch" by IMMORTAL TECHNIQUE...
haya wadau,mwaka ndo umeanza na mamuvi yashaanza kutolewa, hebu tupieni hapo movies ili wale wapenzi wa movie kama mimi waweze kufaidi, kiukweli mimi huwa napata ari ya kudownload movie kama...
Katika Kipindi chake cha Diary of Lady Jay Dee Mwanamuziki Huyo Maarufu ameonekana akiwa kwa Mpiga Ramli wa Kihindi Ambae alikuwa anamtabiria Mambo mbali mbali ya maisha yake katika mwaka huu...
Tupia movie kali za kusisimua za mwaka 2014 ambazo hauta zisahau na pia na kwako unaona ni best movie kwa mwaka 2014 angalau tano tu siyo za kibongo za mbele
Nimekutana na hii kitu wadau. Tamthilia ya MAPANKI inakuja mtandaoni na inaonekana itakuwa bab kubwa! Promo yao iko Youtube: http://www.youtube.com/watch?v=Ysv6fSIhKqA
Na taarifa zaidi ziko MAPANKI
Naona umetulia.Tanzania kukubalika kimuziki ni rahisi kuliko kukubalika kifilamu.Muziki unachangia pato na utajiri wa nchi kwa kiasi kikubwa.Muziki unaitambulisha nchi kwa haraka.Ukisikiliza wimbo...
Baada ya habari ya kushtua ya msanii wa Hip hop NIKKI MBISHI,kutangaza kuacha MUZIKI.
Leo nakuletea baadhi ya mistari ambayo msanii mwenzake wa hip hop ambaye kwa kiasi kikubwa alimu_Inspire ni...
Top Nollywood Actor, Muna Obiekwe Dies Of Kidney Failure
Popular Nollywood actor, Muna Obiekwe has passed away after a battle with Kidney failure.
The Trent exclusively reports that the actor...
Nimeiona iko poa sana! Its a kind of a Romantic comedy
Stars: Craig Robinson, Kerry Washington, David Alan Grier
Sparks fly when Wade Walker crashes the Peeples...
Aisee nawapa tano kwa kweli mmenifanya nikumbuke enzi za milambo boys dah nyie watu nyie hatari music za zamani bongo flava nawakubali sana cku hizi ni mapenzi tu kila anaeimba
Nilikuwa naangalia jana Show ya Sporah, nikahuzunika sana jinsi ambavyo madawa ya kulevya yanaweza kuharibu maisha ya mtu na kumzibia nafasi mbalimbali. Hili ninasema bila kum-judge mtu. Tufunguke...
Hakika kwe ngoma ya Kalla Pina alomshirikisha Dimpoz mchizi kalegea sana.Zile mishe zake za kukaza ka pindi ile hakuna,dizaini kama vile alikuwa anabana pua ili asifichwe na Dimpo.
Kweli...
Katika harakati za kufatilia kinachoendelea Hollywood Marekani, nimegundua kuwa Mastaa wengi katika tasnia za filamu na muziki wamekua sehemu ya maisha yetu hasa kwa vijana waliopo katika mashule...
Tigo wamezindua tamasha la kiboko yao litakalofanyika tar 24 Mwezi huu pale Leaders club.
Diamond, ally kiba,Fa,Fid Q na wengineo watakuwa hapo.
Mliopo huko nendeni,mtakaoenda kuzomea au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.