Niko sehem nimepumzika nje ya nchi. Zinapigwa nyimbo kadhaa za Watanzania. Mara unapigwa wimbo wa Ray C mama ntilie. Wale jamaa alioimba nao kiukweli nawakubali sana lakini majina yao hajawahi...
TBC wametangaza Filamu Mpya baada ya Jin Tai Lang Kuisha. Filamu hiyo inaitwa kwa Kiswahili, Maisha ya Mama.
Katika Tangazo lao nimuemona Mama Shaomi, Mwalimu Hu, Bosi wake Mama Shaomi na...
Yule mjanja wa Dar es salaam,namzungumzia Alli Kiba usiku wa leo anafanya onyesho kubwa hapa Mtwara katika club ya Makonde Royal...daah shangwe zimeshaanza yaani hadi raha.Karibuni.
Kipindi cha maisha na hustle za Wema Sepetu 'In My Shoes' msimu wa pili kinaanza tena wiki ijayo, na kwenye interview niliyofanya naye Wema amesema haya mapya;
1] Maboresho mengi zaidi, mwanzo...
Kumbuka huko mkito haudownload wimbo hadi ulipie,so takwimu mpya zimetoka zinaonesha mwana ndo wimbo ulionunuliwa Mara nyingi zaidi
Na kwa show ya Jana nadhani mauzo yatakua juu zaidi
Ingia...
Hawa icon ya Bongo Fleva muda huu wako studio na tayari wameshaingiza sauti kwenye jisongi linakwenda kwa jina la Amsha amsha M4C tour 2014.
Hili dude kama umekunywa maji ya bendera ya CCM...
Standard Chartered Marathon winner Peter Kiprotich Kosgei with his wife Florence Cheruiyot and two year old daughter Abigael Chepchumba, pose for a photograph outside their grass thatched house...
"Wimbo mmoja kila wiki kwa wiki 10!" kupitia Mkito.com
Huu ni wimbo wa pili kutoka album mpya NEW DAY kutoka kwa Angel Benard - wimbo unaitwa SHUJAA.
SHUJAA.
Kuna wakati katika maisha...
Haya haya haya haya wale wote tunaomzimikia huyu kijana, tusioweza kula kunywa wala kulala bila kumuongelea huyu KICHWA wa bongo fleva njooni sasaaaa@miss strong, nifah, matola, geniveros diva...
DIAMOND ANA MAKOSA 3 MAKUBWA ALIYOTUTENDEA WATANZANIA MPAKA IKAMPELEKEA KUZOMEWA
1.Kosa la kwanza ni KUWA NA BIDII KWENYE MUZIKI WAKE.Hili ni kosa kubwa sana kwa Watanzania.Hakupaswa kuwa na...
Sijui ni kwanini lakini leo tangu niamke kichwani kumejaa nyimbo za huyu Bibie tuuu, nashukuru zinanitia nguvu za kuendelea kufanya kazi nirudi kwa familia yangu. Mtambuzi nakaribia kurudi, uko...
Ni wangapi wanacheki hii kitu?
Nipeni story inavyokwenda.
i just come to it accidentally...
na kugundua most members of my family wanaifuatilia..
naamini Heaven on Earth miss neddy...
Wale wasanii wakali waliobamba kwenye coke studio watakuwpo leo kwenye viwanja vya Coco beach kuzikonga nyoyo za wapenda Burudani...
Wasanii hao ni pamoja n Dimond, Vanessa mdee, Shaa na Mwamba...
Usione kimya sana leo ni kwamba diamond kapigwa chini kwenye best african act ya Europe music award(Ema) wameshinda sauti sol ambao sasa watashindana na jamaa wa asia hapo tarehe 9 november huko...
Wadau hua nafuatilia hii filamu ya kichina inayo tafsriwa kiswahili. Hakika ina burudisha na kuelemisha.
Ila Bado silijui jina lake!
Mawazo yenu wanadau!
Inaitwa Jin Tai Lang.
Mzee Jin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.