Tungo hiii muumbaji wa kike anaitwa nani na wimbo huu unaitwajee yeyote wimbo umetoka muaka ya 2000 ---2005
Tutulie mpenzi wangu, mimi wako daima,
wasikutishe kwa maneno, mimi ni wako daima
Testamao ya Pascal-Emmanuel Sinamoyi Tabu!
RIP one of my day-life musician ever !
The voice of lightness !
Tuta kukumbuka kwa vitu vyako vikali kama Mase, kaful mayay, Muzina, Mokolo...
Amo Blaze 'Foko Jembe'. Mwenye kujua huyu jamaa alipo anijuze. Dah mchizi kitambo sana alikuwa anafanya vizuri sana kwenye radio. Sauti nzito n anaujua muziki pia. Ningefurahi ningemsikia tena...
http://www.mg.co.za/articlePage.aspx?articleid=322400&area=/breaking_news/breaking_news__national/
Lucky Dube shot dead in Jo'burg
Mail & Guardian Online reporter and Sapa | Johannesburg...
Nimeikuta mtandaoni nami naileta kama ilivyo:
Few minutes ago, mwanamuziki LADY JAYDEE ametangaza kujitokeza kwa msanii ambae anadai alishafanya single yake ya sasa inayojulikana kama JOTO...
leo ndio hawa jamaa kulwa na Doto wanatumbuiza mamia ya wana Dsm,kwa sisi tulio mikoani tunaikosa burudani hiyo.
Wale mnaohudhuria show hiyo tupeni UPDATES ya kinachoendela kutoka huko.
Picha za...
Mpaka muda fainali hazijaanza, Tbc wanachofanya tangu saa tatu Usiku ni kupitisha ujumbe kwenye luninga kuwa fainali zitaanza muda wowote
Ngoja tusubiri lakini inaelekea kuna shida mahali
Nyimbo za bandi zetu za zamani zilizofanyiwa remix kama makumbele ,watoto wamekuja juu,tulizaliwa wote kijiji kimoja na nyingine nyingi zikiwa kwenye non stop ya 79 min
link ya kudownload hii...
RIWAYA:BALAA
MTUNZI: Ibrahim GAMA SEHEMU YA KWANZA Mahabusu na
Wafungwa simamaaaaa,
kofiaaaaaa towaa! Selo
salama kabisa Bwana
mkubwa , tupo tayari
kwa mafungio. Tunafungiwa mahabusu
mia...
Hiki Ndicho kilichomsibu Msanii BERRY WHITE alipochoma moto Gari ya demu wake baada ya kuhisi kuwa Anasalitiwa Penzini..!!
​
Berry ambaye jina lake halisi ni Mbaraka, alikuwa...
Hi Wadau!
Natumai hamjambo, kuna wimbo mmoja wa Monika Seka sijui unaitwaje ila nakumbuka kuna sehemu anaimba "guantanamera guantanamera....." naomba kwa mdau yoyote alionao aupload au aweke link...
Ninafahamu kiingereza ni lugha yetu ya tatu, hivyo sio ajabu mtu kutokuifahamu kiufasaha.. Lakini unapofanya kazi yako ya sanaa, iwe kuimba au kuigiza na ukataka 'kuchomekea' au kutumia neno la...
Kwa jinsi alivyoibeba movie nzima ya prison break kwanza kabisa haikupaswa afe,pili naona wamezingua sana juu ya kifo chake..kwani wametuonesha tu kabuli lake.bila kujua alikufaje??? Hii movie ni...
Vote for Hisia to save him at #TPF6...sms TUSKER 12 send to;
15324 - If you are in Tanzania
21001 - if you are in Kenya
8338 - if you are in Uganda
+254739966811 - If you are in Burundi...
wadau wa burudani naomba kama kuna mtu anaweza kunisaidia nikapata nyimbo za mwanamuziki wa siku nyingi anayeitwa SAM FAN THOMAS (hata sijui ni wa nchi gani)
nakumbuka nikiwa mdogo tulikuwa...
Wpendwa mie ni mshabiki sana wa hope channel. Natumia dish la kawaida. Sasa nina mpango wa kutumia dstv or any other tv providers inayokamata. Satr times wanyo ila huwa ikatika katika sana siyo...
kuna nyimbo mbili ambazo zote ni soundrack
nyimbo za Mario Winans
moja ilikuwa soundrack ya filam ya Edie Murphy ya DR Dolitle..
ingine ilikuwa tv movie inaitwa 'the red sneaker'
nimezitafuta...
salaam wakuu...wiki iliyopita nilitumiwa nyimbo kama nne hivi za msaniii mmoja anaitwa baba kundambanda...jamaa ameongea maneno makali sana lakini pamoja na yote ameongea ukweli......mi nasema...
Mwanamziki Justin Bieber ni msanii ambaye anavuma sana haswa kwa vijana na akina dada.
Staa huyu wa miaka 19 ameweza kuiteka dunia kwa nyimbo zake.
Je wazifahamu nyimbo zake?
Waweza kugawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.