Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Kwa wadau wa movie Filamu mpya ya Anton Fuqua THE OLYMPUS HAS FALLEN inaangukia kwa star Gerald Butler anayecheza kama mwana usalama aliyepoteza ajira yake kutokana na kifo cha first lady...
5 Reactions
72 Replies
8K Views
Naomba kama kuna link au site yenye miziki ya zamani kutoka DRC zamani Zaire kama ya Ochestra Veve,Super Mazembe nk niweze kudownload mniwekee kwa yeyote nayefahamu tafadhali.
2 Reactions
3 Replies
6K Views
EA radio wameweka wazi majina ma4 ya wasanii kutoka bongo land watakao perform ktk stage moja na wakali toka Nigeria(p-square) wakali hao ni Prof.J,Lady jd,Ben Pol&Joh Makini! what z ur opinions...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
My eternal ina epsode 203 lakn Star Tv, hawajaifikia, hata epsode ya 100, walikuwa wanatuzingua au vp?
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu! Naomba kujuzwa wapi naweza kujirusha Leo? Sikuwa dar kwa muda kidogo,Nimerud na nina hamu ya kwenda music waungwana! Music wa bend km twanga pepeta,Extra bongo,FM academia na km...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Tazama video mpya kutoka kwa mwanadada Shaa katika wimbo uitwao Sugua Gaga chini ya usimamizi wa kampuni ya Mkubwa na Wanae ya Said Fela. http://youtu.be/dAXYlpnTuOE
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Jamani kuna ngoma inachezwa mkoa wa MBEYA inaiywa LING'OMA kweli toka nimeanza kuangalia ngoma za kiasili sijaona ngoma inayo chezwa vizuri kama ngoma ile,yani huwezi kuchoka kuiangalia is the best
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Msanii hard mad ametoa single yake mpya aliyoiita NAISHI GHETO,mad aliyevaa uhusika wa YAHAYA kajibu maswali yote na vijembe alivyorushiwa na jide.
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Hawa wanamuziki kutoka nchini Congo huwa wanajituma sana jukwaani,nikiangali nyimbo hii kwenye dakika ya 8:58 namuona repa baada ya kumaliza kurep anamkimbilia mkaanga chipsi(mpiga drum)ili...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
0 Reactions
0 Replies
1K Views
You Made my day. Nimecheka sana leo wakati wakionyesha jamaa alivyoenda kwa mganga akitaka kuongezewa kipato halafu mganga anampa ma banzi kila akipigwa anasema niongezee kipato mganga kila...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ni watu wa aina gani hawa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wasanii hupenda kushirikishana ktk nymbo zao na kufanya kitu kizuri kwa fans wao zipo kolabo nzuri zilizofanyika kwenye industry kwangu mm the best ni ya solothang alowashirikisha afande sele na...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
mi ikipigwa antenna au nyimbo fulani kashirikishwa tundaman inase usikurupuke kwanza jiulize, tuko wangapi?. wewe je?
0 Reactions
39 Replies
14K Views
Habari zenyu bhana? Nitapenda kujadili maana ya "NO WOMAN NO CRY" ambayo ni title iliyobeba maudhui katika wimbo huu wa Bom Marley. Wengine hutoa maana ya kua (nanukuu) "Hakuna/pasipo na...
1 Reactions
2 Replies
901 Views
Kuna baadhi ya wasanii ambao walikuwa wanafanya vizuri sana katika tasnia ya maigizo na muziki pia,hivi tujiulize kama hadi leo hii wangekuwa hai wangeweza kuendana na hali ilivyo sasa katika soko...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu kuna mzigo huu (Azsky G1 upgrading version dstv dongle Azsky G1+) nimebaki na mmoja tu, maelezo mafupi ni kwamba Newest azsky G1+ dstv dongle in stock 1) sim card gprs dongle 2) open...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
youtube.com/watch?v=Mxst-MoIwcA
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Waonee huruma wenzio. Travailler c'est trop dur Et voler c'est pas beau D'mander la charité C'est quelque chose que je ne veux plus faire Chaque jour que moi je vis On ne demande de quoi je vis...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naangalia hapa EATV...filamu ya kibongo ya kitambo ya JOHARI....Maaan I'm watching The Late Kanumba,Ray,Johari na Mainda with their humble beggining.......Ni drama za kuvunjika mbavu.....
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom