Wana Jami forums naomba ni wasalimu wote kwa heshima zote. Leo nakuja na story ya kweli ya mtoto wa waziri maarufu kwenye awamu ya nne.
Huyu kijana ambaye Sasa ni mtu mzima. Nimekutana naye...
Habari za weekend, leo nimekumbuka tukio moja la 2012. Sisi wenye damu ya uchakalikaji huwa tunakutana na 'mazali ya mentali' mengi sana. Sitoelezea ilikuaje hadi nikaenda Paris-France, lakini...
(Kutoka kwa mwandishi wa stori za kusisimua zilizowahi kuchapishwa hapa JF za Taxi; Kizungumkuti!; Laiti Ningejua!; Hekaheka!; Hadi Lini! na nyinginezo)
Na Bishop Hiluka
0685 666964 |...
India ni nchi yenye utatibu wa kuwa na sherehe za kuvutia zinazosherehekea utofauti wake uliopambwa na utajiri wa kitamaduni.
Rann Utsav eneo la Kutch katika mkoa wa Gujarat bila shaka ni...
Habarin wanajamii mm nasumbuliwa na kitu kama acid kooni unakuwa unahisi kama kitu kimekukwama
Nishaenda hospitalin kama mara 6 wanashia kunipa dawa tu, kuna muda walishauri nipime madonda ya...
Kama mnavyojua tena Koffi Olomide akiwa na kundi lake la Quarter Latin amefanikiwa kutoa album nyingi na nzuri, leo nataka tujue kizazi kipi kwa kofi kilikuwa bora na kilimng'arisha sana kofi.
I...
Generation Z ni kizazi kisichotaka mambo mengi kwenye maisha, mfano nimekutana na hiki kipande cha mchekeshaji Chard Talent akiweza kuimba kwenye beat iliyopigwa kwa kutumia Guitar na msanii Hamis...
Kwa wale wa kizazi cha kabla ya Y2K watakumbuka miaka ya 90 hadi mwanzoni mwa 2k kulikuwa na nyimbo kali sana za R&B.
Kuna baadhi ya nyimbo ukisikiliza zinasisimua mpaka mifupa. Binafsi kuna...
Naona Clouds media wametuma wawakilishi wao kwenda Rwanda Kigali kwenye usiku wa tuzo za Trace Music Awards Festival zinazofanyika hii leo.
Clouds media kupitia team XXL naona wameshikilia sana...
hey buddies
Nimeona reviews na comments mbalimbali kuhusu genre za movies(action,thriller,horrors et),.lakini sijapata wadau wa movie za psychological thrillers, movie za psychiatric na asylum...
RIWAYA…..THE MAGIC RING ( 01 )
MTUNZI….. HUSSEIN O. MOLITO
TRANSLATION….. GIFT KIPAPA
Upepo mkali ulioambatana na radi huku rangi ya mawingu ikizidi kuwa nyeusi . muwako na muungurumo mkali...
Huyu msanii wa kike anajua sana kuimba kuliko wasanii karibia walio juu kwenye chart za mziki Tanzania.
Natumai atapata push ya kutosha kwenye industry ili aweze kufikia level anayostahili...
Mtunzi
Nyemo Chilongani
Sehemu ya 01
Ukimya ulitawala ndani ya Jiji la Dar es Salaam, yale magari yaliyokuwa yakipita kwa kasi katika barabara nyingi jiji humu yalikata kabisa.
Watu wengi...
Kwanza kabisa mwanzo wa yote wacha niweke msimamo wangu kuwa mimi sio mtu wa dini yoyote(sina dini).
Turudi kwenye dhumuni la uzi huu ambalo ni kuwapa pongezi zao Seventh Day Adventist(SDA) kwa...
Inahusu mtu na mumewe walikuwa wanafanya biashara ya kuuza nyama za ng'ombe sasa walikuwa kama na mikosi hivii unajua kwa nini nyama zilikuwa azitoki yaani aziuziki zikibaki wakimpa mbwa wao...
Riwaya: Anga ya Washenzi
Imeandikwa na Gilbert Evarist Mushi
Phone: 0765824715.
Msimu wa Kwanza, Sehemu ya 01
SURA YA KWANZA
Jumatatu Tar 07/04/2022, Saa 04:00 Asubuhi.
Hali ya hewa ilikuwa...
Hatimaye wasanii wanowania tuzo za muziki za Kilimanjaro(KILI MUSIC AWARD )wametajwa
MWIMBAJI BORA WA KIKE
VUMILIA
LADY JAYDEE
MWASITI
KEISHA
ISHA RAMADHANI
MWIMBAJI BORA WA KIUME...
Habari wadau, kila kukicha wasanii wa bongo fleva wanaongezeka lakini hakuna cha maana wanachoimba zaidi ya kukopiana nyimbo, hebu tujikumbushe nyimbo za Bongo Fleva zilizotamba kipindi hiko. Mimi...
Kama hauja itazama itafute unakosa mambo mengi sana ina muhusu bwana mdogo edi mora ambaye alikuwa maskini choka mbaya sana hadi kukimbiwa na mkewe baadae anakuja kukutana na shemeji yake ana mpa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.