Tukubali kuwa viongozi wetu wa kuteuliwa ( wenyeviti wa mitaa, madiwani, wabunge ambao huibuka na kuwa mawaziri) watungiwe sheria ya kuwa na vipindi maalumu vya uongozi kama ilivyo kwa marais wetu...
CTV mlikuwa mnatuhabarisha vizuri sana wakati wa kampeni za Igunga. Bado mengi yanaendelea ambayo mi nafikiri tungepata taarifa nzuri zaidi kutoka kwenu.
Vipi mbona kimya sasa. Kama tatizo pesa...
Nilivyosema nimeoteshwa kwamba serikali imefilisika hamkunielewa .sasa nasema imeanza kuwa kweli. Kwani serikali inakopa zaidi kwenye taasisi za kibenki zaidi stanbic.
Ridhiwani Kikwete
Associate at IMMMA AdvocatesStudied LL.B at University of Dar es SalaamLives inDar es Salaam, TanzaniaKnows Swahili, EnglishFrom Bagamoyo, Tanzania
You and Ridhiwani...
Jana niliona uzi mmoja hapa jf ukiwa na namba ambazo wachangiaji walisema ni za Kikwete,nimeutafuta siuoni tena(natumia mobile ya mchina) namba hizo zilikuwa na 777....msaada jamani kuna jafisadi...
Tumo ndani ya meli, lakini meli hili inatarajia kuendelea na safari yake katikati ya jangwa. Nahodha anatupa matumaini makubwa abiria wake kuwa, tusiwe na wasiwasi. Uhakika wa safari na kufika...
Naona wanamagamba wamefuta post yangu!!! Naapa lazima dawa itumike kushughulikia suala la amani Arusha. Nitatumia nguvu zangu mwenyewe, Mkuu wa Polisi wilaya, Mkuu wa mkoa, Jaji Arusha kaeni mkao...
Michelle & Jim Bob Duggar Expecting 20th Child
Access Hollywood – 20 hours ago
The Duggars have their 20th child on the way!
"19 Kids and Counting" stars Michelle and Jim Bob will...
Nukuu kutoka gazeti la mwananchi Nov 9,2011;
..," Kamanda Mpwapwa (OCD-Arusha) alishindwa kueleza sababu za jeshi hilo kushindwa kuwachukulia hatua vijana wa CCM, walioandamana na kufanya mkutano...
RECENTLY Iceland was sold to Russia due to financial crisis. Tanzania is having crisis on revenue collection, financial instabilities, Rule of law, e.t.c!
Is Tanzania heading to the same trap like...
Heti waziri wa elimu anashnikiza wanafunzi wa elimu ya juu waandamane kushinikiza wahtim warudishe hela ya mkopo.
Kwanini hawakuwashawish wanafunz na wananch wa kawaida waandamane kushnikiza...
Hali inayoendelea hivi sasa katika nchi hii siyo ya kawaida. Mwenye akili tu ndiye anaweza kuona mbali lakini sio sisi ccm tunaojitahidi tu kulinda maslahi yetu bila kuwajali wananchi.
Pamoja na...
Serikali imekiri kulemewa na idadi kubwa ya wasomi kuliko fursa za ajira zilizopo. Kauli ilitolewa Dar es Salaam jana na waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka, wakati wa uzinduzi wa wiki ya...
Wana Jf,hiv kuna haja gani ya kuendeleza sherehe za kukimbiza mwenge mikoa yote hapa nchini tukitumia gharama kubwa,wakati kuna sekta muhimu zina bajeti finyu,sekta kadhaa za serikali hazijaajiri...
JK anapenda kusikiliza anachopenda, na kuona mtu anafanya anachokipenda yeye, mbishi hawasikilizi watendaji wake. Ndio maana wako ladhi waongee kitakachompendeza. Sasa huu ubishi unanichanganya...
Hi JF members!
Nimeanzisha private invastigative firm. Firm hii, inajihusisha zaidi ktk kuwa trace love cheaters na kukolect ushahidi wote, na kisha tunamtafuta mwenza anayekuwa cheated, tunampa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.