Vaccine could reduce HIV to 'minor infection'
HIV could be reduced to a "minor chronic infection" akin to herpes, scientists developing a new vaccine have claimed...
Habari za kazi wanajamvi,
Mimi ni mtazamaji mzuri wa ITV online kwa kuwa siko Tanzania. Jambo moja linalonikera sana ni kwamba taarifa zinazotolewa na ITV zimekuwa finyu zisizokuwa na uchambuzi...
Straus-Khan amekutana uso kwa uso na mwanadada ambae ni raia wa ufaransa na mwandishi wa habari ambae amemfungulia mashtaka bwana Khan kwa kosa la kutaka kum'baka,dada huyo anadai kuwa miaka 8...
tunaambiwa wassira ni waziri wa mahusiano ya umma. Labda tupate ufafanuzi wa mahusiano ya umma. Lakini tunaambiwa kuwa yeye ndiye aliyesababisha lile sakata la vijana watatu wa cdm kukamatwa na...
Nimefuatilia upigaji wa kampeni za vyama mbalimbali.
Chadema; hawa jamaa hasa mbowe na slaa na zitto, wao ni makelele kama wanahubiri injili vile. Kwani ukiongea point ndo mpaka ufokefoke ndo...
Salamu sana
Nimejaribu kupitia magazeti yetu ya leo na karibu kila gazeti na "Dowans yaibwaga Tanesco", "Mahakama yaridhia Tanesco iilipe Dowans" and the same alike. Ukifuatilia sana unakuta utata...
Nipo kwenye ofisi za Tanesco wilaya ya Temeke. Nimeona maandishi mengi sana kwenye vioo vya upande wakulipia ila kilichonivutia zaidi ni mambo mawili. 1. Masaa ya kazi kitengo cha dharura...
wakiongea na kuwasiliana na masheikh wa mkoa wa tabora katika kipindi maalumu cha Radio IMANI wamesema kitendo alichofanya said kubenea kwa kuandika habari isiyokuwa na uhakika huku ni...
Mimi binafsi nimeshindwa kuelewa ina maana ni ushamba wetu au ni kukosa habari! Kwani vyombo vya habari sasa badala ya kueleza sera na hoja zinazotolewa na wagombea huko Igunga, imebakia kuelezea...
Nawapenda nyote wanaJf! Hebu tutumie "our power of imagination": Hivi maisha yangekuwaje kama kila mmoja wetu angekuwa anaijua siku na saa atakayokufa?
Kuna habari kuwa kuna kampuni moja ya India inaitwa Karuturi imekamilisha mchakato wa kununua asilimia moja ya ardhi ya Tanzania kufanya shughuri za kilimo.Hii habari kutoka katika gazeti la the...
TFDA,TBS,TAKUKURU NA TRA
moja ya haabari kubwa za leo ni suala la kuingia sokoni kwa dawa za aina 5 za bandia,,,,niliposikia kuwa zipo sokon nikashtuka,na nikajiuliza zimeingiaje????kama...
Kempinski
Kuna tetesi kuwa hawa mabwana Kempinski ni management company na huwa hawana properties zao wenyewe bali wanatoa usimamizi kwa makubaliano maalum na owners wa accommodation properties...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.