Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Leo ni siku ya wazee duniani! Nawatakiwa wazee wote waliokula chuvi nyingi heri na fanaka katika siku hii yenu.
0 Reactions
5 Replies
4K Views
hello JF, nimezunguka sana kutafuta suspension za mbele za suzuki swift bila mafanikio, Natafuta mpya kwa sababu suspension used unakua hujui kwa uhakika iko katika hali gani, unaweza kutumia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Em naombeni msaada aise jamani wana JF, mimi natumia simu aina ya Samsung Blackjack (Sgh-i607), sasa kinachonitatiza siku mbili tatu hizi ni kwamba nikijaribu ku'visit JF website kupitia simu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
  • Closed
UPDATE: Wana Jamii Forums. Kwanza tunanaombeni radhi kwa kuwaangusheni. Mpango mzima ulisukwa Tanzania. Wafadhili wetu wapo Tanzania na wachache nchini marekani. Hatuhusiani na CHADEMA kama...
67 Reactions
1K Replies
108K Views
Leo imekuwa siku mbaya kwa familia ya prof. beno ndullu(gavana wa benk kuu) baada ya kufiwa na mama yake mzazi. Taarifa zaidi za wapi shughuli ya msiba itakuwa tutawajuza bdae. Tunaomba mungu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wadau kuanzia leo eti star times nayo wamekuwa kama ting na dstv,wanatoa huduma kwa mafungu au category,kuna mambo category na uhuru category!kwa nn msitoe taarifa mapema?,kwa huduma zipi za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Serikali imesema muda wowote inaweza kupokea pesa zake ambazo maarufu chenji ya rada,,,,,,membe amesema wanataraj kuzipokea wakat wowote,,,,,,jumla ya hizo pesa nadhan ni zaid ya shiling bilion...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
KUTOKANA na kukua kwa kasi kwa tamaduni za nchi mbalimbali hasa za Magharibi nchini, Serikali imetakiwa kuwa makini na baadhi ya tamaduni hizo kwani zimeonekana kuharibu kwa kiasi kikubwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Lawmakers who say the military has kicked out 58 Arabic linguists because they were gay want the Pentagon to explain how it can afford to let the valuable language specialists go. Seizing on the...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba Waandishi Wetu SIKU moja baada ya Mahakama Kuu kusajili tuzo ya malipo ya Sh111 bilioni kwa kampuni ya Dowans, Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ni wiki ya tamasha la sanaa Bagamoyo mji umechangamka wasanii toka sehemu mbalimbali ndani na nje ya nchi wameshiri ki . Mimi na mwenzi wangu tumeamua tumalizie weekend kwaajili ya tamasha hili...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Obviously buying a more environmentally friendly car is a great way of making your travelling greener, but you can also increase your fuel efficiency by driving better. The following are 21 tips...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sheikh wa Msikiti wa Shamsiya, Haruna Mlala (39), uliopo katika mtaa wa Ibungilo Kirumba wilayani Ilemela jijini hapa, ameuawa baada ya kuvamiwa nyumbani kwake na majambazi usiku wa kuamkia jana...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hivi TCRa mnafanya nini? Mnataka mpaka turudi kijijini mbaki mafisadi wenyewe ndio mtakaposhtuka kua tuna maskinishwa na Vodacom? Wameniunganisha kwenye promosheni yao inaitwaje sijui but kila...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Rais P.NKURUNZINZA wa Burundi amenukuliwa na vyombo vya habari kuwa kamwe hatawavumilia watumishi wa umma watakaojihusisha na rushwa. (Source: CTV-KENYA). MY TAKE: Hapa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kutoka gazeti la Mwananchi, baada ya ile hotuba nzuri ya rais aliyeachia madaraka Bw Rupiah Banda, rais mpya Bw Michael Sata amewachagua mawaziri sita kutoka chama pinzani cha MMD (Chama...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kijana Juma Ally akiwa chini ya ulinzi wa makachero wa polisi mara baada ya kukamatwa akiiba pikipiki yenye namab za usajiri T 941 ASD iliyokuwa imeegeshwa katika jengo la IPS mchana huu ambapo...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari zenyu wandugu napenda kutangaza sana katika vituo vya redio je maslah yake yakoje? Nawasilisha
0 Reactions
7 Replies
2K Views
WanaJF, Kuna kipindi tunawalalamikia Mwanahalisi kwa kuchelewa kuweka matoleo mapya ya magazeti yao mtandao. Lakini naona bado wanaendelea tu kwani toleo la 14 Sep, 2011 ndo lipo mtandao mpaka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom