Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Baada ya kauli ya Vyama vya siasa sio chochote sio lolote mbele ya Tanzania huko Igunga. Namkumbuka Shamsi Vuai Nahodha aliekuwa waziri kiongozi wa SMZ ,mwanachama mkereketwa wa CCM kwa miaka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifuatiala kwa makini juu ya kipindi hiki,hasa uelewa wa wanafunzi hasa kutoka shule za kata,kwani inaonekana uelewa wao ni wachini sana na hii inatokana na kutokuwa na walimu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanaharakati nchini mexico wanaandaa muswaada wa sheria ya kuwa ndoa za mkataba. Wanandoa wanaotaka kuoana watatakiwa kueleza wazi nia yao ya kufunga ndoa ya mkataba. Mkataba wa chini ni miaka 2...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa wanafunzi ambao hawakujaza form za kuomba mkopo kwa wanafunzi wanaoingia mwaka wa 2 na 3,kutokana na matatizo mbali mbali(continuing student) bodi wanasema hawatapata mkopo kwa mwaka wa masomo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jana Membe kasema BA systems wameomba account ya TZ ili waweke pesa ya watanzania pesa kutumiwa kununua vitabu milioni nne,nyumba za walimu mia hamsini na madawati laki mbili my take:je waliokula...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mh SATA ametangaza unafuu wa wamaisha kwa wakazi wa zambia kwa mwekezaji lazima awaajili wananchi.Pili kupunguza ushuru wa vitu viingiavyo nchini.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
wanajamvi naomba tujadiliane hili jambo, kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza: hivi inakuaje sehemu ambapo maji ya mvua hutulia na baada ya muda hukauka kabisa na sehemu ile huwa kavu kabisa mpaka...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Ni mara chache sana kuikuta weekend imeangukia mwishoni mwa mwezi kama ilivyokuwa hii. Kuna matukio mengi ya kusikitisha(Kuzama kwa MV Spice Islander, Ajali mbaya mkoani Mbeya na mengineo), ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika viongozi watakao weka historia mbaya nchini ,Rais huyu atakuwa wa kwanza.Nadhani washauri wake wameshindwa kusoma alama za nyakati.Yanayotokea Igunga ni chachu na picha ya mambo...
2 Reactions
39 Replies
5K Views
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka TUMEGUSWA sana na tamko la Serikali lililotolewa juzi kwamba haitakuwa na simile na watu waliojenga katika maeneo ya wazi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MchALIPHONCE TEMBA NI MPIGA DEBE WA CCM NA ALITIMULIWA UDSM BAADA YA KUPINGA MABADILIKO YA KATIBA NA KUPINGA MAANDAMANO YA CDM UKIMBI WA NKURUMA MWAKA HUU. Temba Ndiye alikuwa mpiga Debe wa...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
wadau kama Membe amesema hayo mabilioni ya wingreza yaliyokuja wanafunzi watafaidika sasa basi wapewe waliokosa.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Inashangza kuona chama cha magamba kilipodanganya juu ya uanzishwaji wa mahakama ya kadhi na mwezi uliopita serikali imesema kuwa mahakama ya kadhi haitaanzishwa na serikali,,hao wanaojiita...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Jana mahakama ya ilala imewadaka wadhamini kanjanja wanaotega maeneo ya mahakama na barua za serikali za mitaa ili kuwadhamini watuhumiwa wasio na ndugu kwa ujira wa tsh 20,000, na baadae...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
James Magai WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Benard Membe amesema kiasi cha Sh29. 5 bilioni fedha za malipo ya ziada za manunuzi ya rada kutoka kampuni ya kutengeneza silaha za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwalim ndio huyoooooooooooooooooo http://www.youtube.com/watch?v=3uxaBP8gsG4&feature=player_embedded#!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF. Wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Urais Wabunge na Madiwani. Kwenye kampeni za urais tumlisikia mgombea wa CDM Dr. Slaa kwenye kunadi sera zake kwa wananchi, alitembea kila mkoa. Alisema...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Si jambo la kubuni tena kwamba Tanzania inaongoza kwa chokochoko za kidini ukanda huu wa Arika mashariki na kati. Kila kukicha kuna jipya kuhusu matatizo ya kidini yanayoelekea kuivuruga jamii...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Takriban siku ya tatu leo tarehe 29/09/2011 mkoa wa tabora hakuna mgao wa umeme. Hii inawezekana ni moja kati ya kampeni danganya toto za ccm za kuwasahaulisha wana wa tabora mgao wa umeme ili...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Madiwani watatu kati ya wa5 waliofukuzwa uanachama kutokana na mgogoro wa uchaguzi wa Meya wa Manispaa ya Arusha, jana walikuwa kivutio katika mkutano wa Utambulisho wa Mkuu Mpya wa Mkoa wa Arusha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom