Yule mwanaharakat wa mazingira nchini kenya profesa Maathai amefariki dunia,kama mnakumbuka mama huyu aliwah kupokea tuzo ya nobel ya utunzaj wa mazingira
sosi:bbc swahil
Jamani wanajamvi nimefikiri nikaona ni bora tubarizi hapa juu ya matendo yanayoendelea ya waheshimiwa wa chama tawala.
Suala la nidhamu katika CCM inajulikana wazi kuwa halipo kwa sababu...
Haya mambo yapo sana, sisi tumezaliwa tumeyasoma na mengine tunayaona!kawaida ya kipindi kama hiki mambo kama haya huweiz kuyakwepa!watu wako kwenye breaking point, wanataka mabadiliko kwa gharama...
Wana jf,katabia haka kameshika hatamu hasa baada ya teknolojia ya mawasiliano kukua,,,,,sijui kama ni jambo jema unapowasiliana na mtu ukaamua kumdanganya,,,,,,chukulia mfano huu ambao...
wANA JF ANGALIENI VITUKO VYA HWA JAMAA KWENYE PICHA, HIVI HUYU NI JK NA ROSTAM 2005!!!!
HAHAHAHAAAAAAAAAAAAAAA ETI LEO NI FISADI KAVULIWA GAMBA NA HUYO HUYO JK.WANA LAO JAMBO
Kukiwa kuna vuguvugu la kurudisha viwanja wazi vya mapumziko na MICHEZO , kiwanja cha wazi kwa ajili ya soko chauzwa kinyemela kwa mfanyabiashara, inasemekana kuna matapeli wapya wanatengeneza...
Raisi wetu anaacha kufanya mambo muhimu kwa uchumi wetu yeye yuko busy na kusaka wasanii wenzake ili apige nao picha.
Hii ni aibu kwa Taifa letu, yaani huko nje bila shaka wanatuona sisi ni...
Wakati watanzania wakiendelea kuumia na maumivu ya mv spice
meli nyingine ya mv serenegeti iligoma kuondoka baada ya kukutwana matatizo
na kufika wakati abiria kuomba kuondoka wakaombwa wasubiri...
Wakuu heshima yenu! Juzi jumamos nilishindwa kuamini masikio yangu pale shoprite mliman city. Huwa nina mazoea ya kununua baadhi ya bidhaa za nyumbani pale ikiwemo sukari. Cha kushangaza juzi...
Kukubali matokeo ya
uchaguzi kama alivyofanya Bw.
Banda ndio uungwana.
"Watu wa Zambia
wamezungumza na lazima sote
tusikilize," Bw Banda
aliwaambia waandishi wa
habari, huku akifuta machozi...
Naomba kuuliza kwa uongo kama huu ambao nimeupata kwenye Email
mtu anatumia njia gani hapa kukuibia ?
Assalamu alaikum!
Things are becoming unbearable for the Muammar el-Qaddafi family. I know...
Habari wanaJF!
Nakumbuka miaka ya mwisho ya 80 na mwanzo ya 90, kulikuwa na shirika moja linaitwa "SHIMAWIMO" pale moshi, likimaanisha "Shirika la Maendeleo Wilaya Moshi". Ni kama vile ilivyo...
mkazi mmoja wilayani bukombe mkoa wa shinyanga amejipiga risasi mdomoni na kufariki muda mfupi baada ya kuanza kupatiwa matibabu, alichukua maamzi hayo kwa madai ya maisha magumu mkazi huyo...
MAHAKAMA Kuu ya Pretoria,
Afrika Kusini, imesimamisha
zabuni ya serikali ya kununua
kondomu za kike milioni 11
kutoka China, baada ya
kugundulika ni ndogo na
haziwatoshi watumiaji. Hawajui...
Wakuu habari?..
Sina hakika kama bavicha imekufa au ndo viongozi wake hawajui majukumu yao?..
Kwa yeyote mwenye kuyafahamu majukumu hayo naomba awajuze wenzetu hawa..
26 Septemba 2011 02:26
?
Kaburi la pamoja la mamia ya watu lagunduliwa mjini Tripoli, Libya.
Kaburi la pamoja linaloaminika kuwa na miili 1,270 limegunduliwa katika mji mkuu wa Libya...
Tanzania is blessed with an abundance of mineral resources. In gold alone, Tanzania is estimated to be sitting on top of a US$39 billion treasure. When you factor in the large quantities of...
For those of you who didn't hear it, this is very deep. This is a heavy piece and a Caucasian wrote it.
"THEY ARE STILL OUR SLAVES"
We can continue to reap profits from the Blacks without the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.