Nadhani tumechoka kusikia kila siku serikali ikilia na kufanya usanii ila tusichoke kupiga kelele
hasa kwakuwa kulia lia kwa serikali ya JK kumetufanya tuzoee na kamini kuwa tunahitaji kumwonea...
Wakuu jana kituo cha television chanel ten saa moja usiku walifanya mahojiano na wahanga wa mabomu ya g/mboto waliokuwa wanalipwa fidia kutokana madhara kwa familia na mali za wahusika. Kuna...
Anaitwa henry jonas, ana uzoefu wa takribani miaka mitano, ana leseni inayomruhusu kuendesha magari aina yote isipokuwa magari ya ujenzi na mabasi ya mikoani, amehitimu kidato cha nne na amepitia...
Misingi ya nchi yetu ilyowekwa na waasisi wa taifa hili haikujengwa katika misingi ya dini au madhebnu yoyote yale na kwa miaka mingi udini haukushabikiwa kabisa katika taasisi za serikali na hata...
Hii tabia iliyojengeka kwa miaka mingi ya kuwachagua wabunge huku vijijini kwetu kisha wao kukimbilia dar es salaam lazima ife, lazima wanaharakati tupambane nayo, mbunge lazima aishi sehemu...
kwa siku nyingi sana nimekuwa nikisikia hawa ma officer walioaminiwa na serikali ya CCM kusimamia wanaoingia nchini kwetu lakini kwa rushwa hawa wajamaa ni zaidi ya kupimwa DNA, wazungu wanaingia...
Australian firm gets coal mining permit in Tanzania
By: Reuters
22nd August 2011
DAR ES SALAAM - Australia's Intra Energy Corporation (IEC) said its local unit in Tanzania had received a licence...
Kuna tabia katika daladala abiria anaomba kushuka sehemu ambayo hakuna kituo, Konda anamuomba dereva naye anakubali mara nyingi kwa kauli angalia kwanza kama hakuna traffic, sasa hii ni kwasababu...
nawatakia sherehe njema wazazi na watoto wanaofanya sherehe za kuhitimu kidato cha nne.nawakumbusha kwa wale watoto wanaohitimu msitumie sherehe hizi kufanya ngono na matendo maovu bali mtumie...
Rais aliyebwagwa bwana Banda amesema huenda sababu za yeye kushindwa moja wapo ni kuwaunganisha WAZAMBIA na kuwa kitu kimoja,amesema hii ndio sababu ambayo hasa anahisi imemnyima USHINDI
SOSI:BBC
Jana mchana nikiwa katika kazi zangu hapa Zanzibar niliingia ofisi moja ya Serikali.... kwa mbali nilisikia wanajadili jinsi ya kutafuta dawa/sumu ambayo inaweza ikamwaga au kupuliziwa kwenye...
Usione watu wanasema ufisadi mioyoni kila mtu anatamani apate nafasi ya kufanya hiyo dhambi hebu ona hii:
Kuna mkutano wa chama cha wauguzi TANA unakaribia kufanyika Singida kila wilaya imepewa...
kwanini tunapotuma message kwa kutumia simu za mkononi salio huwa linakatwa hata kama message yenyewe ikiwa 'not sent' au haijawa delivered? Je hii ni halali? Hapa haya makampuni ya simu yanakuwa...
Nipo kwenye basi kwenda mkoani nimekutana na bango la tangazo la panadol pale Tra chalinze halifanani Kabisa na bidhaa inayotangazwa hasa ikiangaliwa katika mkitadha wa kiafya. Linakutu mpaka...
Taarifa za uhakika kutoka sumbuwanga mjini zinaonyesha kuwa ccm mkoa wamekaa kikao cha siri na kupanga njama za kumutoa katibu mwenezi bw patrick maufi ambaye ameswekwa rumande...
Hii hapa Speech Yenyewe
Zambia: Presidident Rupiah Banda Bids Farewell to Zambians | LusakaTimes.com
I HAVE CALLED THIS PRESS CONFERENCE TO SAY A FEW WORDS. THE ELECTION CAMPAIGN OF 2011 IS...
Juzi tarehe 21/9 aliekua diwani wa kata ya Chang'ombe kupitia tiketi ya CCM amefariki dunia. Tukio hili limetokea wakati bado kuna hekaheka za uchaguzi mdogo katika kata ya Kikuyu kusini na tarehe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.