Kutoka Mwanahalisi, Septemba 14 - Alfred Lucas
NDANI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), sasa hali si shwari tena. Wanaojiita waasisi wa "mpango wa chama wa kujivua gamba" wameanza kutuhumiana...
Baada ya Tukio la MV Bukoba katika ziwa VICTORIA na kama idadi ya watu wanaohofiwa kupoteza maisha ikawa hiyo inayodhaniwa kati ya 1500 - 2000 itakuwa ni ajali ya majini kubwa kuliko zote katika...
Ikiwa ndio anamalizia muda wake wa ukuu wa mkoa Arusha na kwenda mapunzikoni, wakazi wa jiji la Arusha tunakupongeza sana bwana Isidori kwakuliona hili tatizo la kusimamisha lile zoezi la watoza...
Nilijiunga na shindano la promotion ya BURE linaloendeshwa na VODACOM. Kwenye maelezo yao wameelekeza namna ya kujitoa kwenye shindano hilo la kila siku. Baada ya kujiunga kwa muda wa siku tatu...
Wiki iliiyopita tarehe 10 kitongojini Kashebeya, Kijiji Kaibanja, Kata Kaibanja wilaya Bukoba vjijini katika familia moja ya mzee Bagandanshwa kulikuwa na arusi. Vijana wake 3 walifunga ndoa...
Edwin Sambala mgombea udiwani wa kata ya Gangilonga (Chadema) akiwa ameduwaa ndani ya ofisi ya msimamizi msaidizi wa uchaguzi kata hiyo ambaye alitelekeza ofisi yake na kwenda kata ya KItanzini...
Wanajamii srekeali yetu ni wazi kuwa imeshindwa mpaka sasa kuhudumia raia wake huduma bora ktk sekta ya afya,elimu,maji,nishati,barabara na ardhi na sisi tumekuwa wavumilivu ktk haya.Chakushangaza...
Wana Jf
Kuna habari nilizipata juzi nilichelewesha kufikisha,inasemekana kuna mgonjwa anajulikana kwa jina la Mzee Nassor alikuwemo katika Mv Spice ilizama huko zanzibar Week iliyopita,mzee huyo...
kwa mujibu wa TBC,watu wanne wmefikishwa mahakamani kutokana na ajali ya meli mv spice,swali kubwa hapa je mbona hakuna afisa yeyote wa fordha,sumatra na wengine wote ambao kwa ujumla wanawajibika...
Wama jf poleni kwa kazi za ujenzi wa taifa letu, taifa tunalo lijenga kwa nguvu huku wengine wanabomoa.
Wana jf nimekuja kwa mara ya kwanza kabisa ili tushirikiane pamoja na kubadilishana...
Hii ni picha ya kwanza mimi kuiona kuhusiana na kuzama kwa MV spice islander...
Na hii ni picha inayoonesha kuzama kwa passanger ferry ya Trans Asia shipping lines iitwayo Asia Malaysia, hii...
TAARIFA ambazo zimethibitishwa na katibu wa CCM mkoa wa Mwanza Willson Mshumbusi ni kuwa Mkurugenzi wa taifa wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema) Wilfred Rwakatare...
Kila mara ninapoangalia runinga zetu katika baadhi ya vipindi vya mahojianao nakutana na watu walewale wamealikwa katika vituo na vipindi tofauti tofauti vya TV vya hapa nchini. Ingawa ni kweli...
SERIKALI imeombwa kuangalia kwa upana suala la mchakato wa uandaaji wa katiba mpya kwa kuweka kifungu kitakachowasaidia mashoga kuondokana na adha na kero ya kunyanyapaliwa. Ombi hilo lilitolewa...
Huu mi nauita wizi, na wala sio offer, mwanzo ilikuwa msg 5, unapata msg mia! Hii ilikuwa pouwa sana, kwa mahitaji ya kawaida msg 100 zinatosha.
Sasa wameongeza, wamekuja na msg 10 ukituma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.