katika hali ya kushangaza, maeneo baadhi ya jiji la mwanza umeme umewaka kwa zaidi ya 24hrs bili hata kukatika. Ilikuwa ni juzi umeme ulikatika, ulirejea majira ya saa sita na haukukatika mpaka...
Aliye na charger/adaptor ya computer aina ya Accer yenye input 100-240V na output 19V..kama unayo naomba msaada wako nashindwa kuoperate kompyuta yangu,tuwasiliane kupitia 0717-522175
Katika kauli tata na zisizokuwa na maana ni ile ya Mkweree majuzi kwamba waliofariki kwa ajali ya meli huko Nungwi wapimwe DNA ili kuwatambua kwa urahisi. Jamani huyu rais wa ajabu kabisa sasa...
Kwa kipindi kirefu jijini Mbeya tulipumzika kukumbwa na matukio ya kikatili kama ilivyozoeleka hapo nyuma, bila shaka tunakumbuka uchunaji wa ngozi na matukio mengine, jambo la kusikitisha ukatili...
Honorary Consulate of the United Republic of Tanzania
The Consulate is from today closed because yesterday Honourable Consul Robert C. Andersen passed away.
Visa can be applied for at the...
Kama kwa wiki hii mmeafatilia makala za bbc swahili,kuna makala maalum juu ya biashara ya binadam Tanzania hasa wanawake,hususan vibinti,mwandish wa makala hiyo ameanza kuonesha tangu wasichana...
Hospitali ya Taifa Muhimbili ilipokea mgonjwa toka Hospitali ya Mwananyamala tarehe 18/08/2011 akiwa mahututi na hajitambui. Inasemekana kuwa mgonjwa huyu aliokotwa na wasamaria wema barabarani...
Thursday, September 15, 2011, 12:44
Latest News, Rai
Na Mwandishi Wetu, Butiama
HALI ya mambo si shwari katika Kijiji cha Butiama baada ya Serikali kuhamishia makao makuu ya Wilaya mpya ya...
Jana kwenye mtandao wa kijamii niliona jinsi watu walivyokuwa kiishambulia kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania baada ya kuendesha sherehe za Miss Tanzania 2011 kwakweli hali ilikuwa...
Vikosi vya uaokoaji kutoka Afrika Kusini wamesema wameshindwa kufikia Meli iliyozama kutoka na kina kirefu.
Waokoaji wamesema Meli hiyo ipo kwenye kina kirefu cha Mita mia 300 wakati vikosi hivyo...
Nimefurahishwa sana na taarifa ya habari ya leo iliyorushwa na TBC1, wameonyesha demokrasia ya hali ya juu kwa kufanya coverage nzuri kwenye kampeni za vyama vya upinzani hasa CDM, ni mara chache...
Jamani wadau nipo apa, Ferry upande wa magogoni kuna kajibaa flani apa uwaga tunakaaga tukisubiria kivuko, napiga safari yangu ya baaariidi, kaja jamaa mmoja, kajiintrojuce kwangu yeye ni forenar...
TBC LIVE now.
Mtangazaji-Mh Waziri nini cha kujivunia katika wizara yako ndani ya Miaka 50 ya uhuru?
WAZIRI-MH mtangazaji mmh mmh..,shirika la ndege lilikuwa chini ya africa mashart...
Wana Jf nimekuja tena mbele yenu kutaka ufafanuzi kwa Habari kamili inayohusu UKWAPUAJI WA MALI ZA UMA. Ufisadi hapa Bongo land umeanza hivi karibuni ama ulikuwepo hata enzi za Mwalimu...
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zachary Kakobe amezidi kubanwa na wachungaji wake, baada ya mchungaji mwingine kumuasi na kuiomba Mahakama Kuu aunganishwe kuwa mlalamikaji...
kwa mujibu wa taarifa ya habari ya ITV leo saa 2:00, katika kijiji cha chumankome. Dk slaa ameweza kuvuta wanafunzi wa shule ya msingi kuja kumsikiliza, huku akimwaga sifa za mgombea wake...
Nimesikitika kwa maelezo eti wa South Africa hawana vifaa vya kuokolea maiti waliozama na meli!
Hapa nikiini macho kwani walijua kwamba wakiwatoa wale maiti itakuwa ni aibu kwa serikali!Maana...
Niliponunuliwa dukani nilijua napelekwa kwenye nyumba ya kifahari na kuondokaa dukani palipojaa vumbi na harufu ya panya wakijitafutia riziki. Nilifarijika na kushangilia nafsini mwangu kuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.