Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Nakwazika sana tena saaaaaaana ninapoona watu wenye akili timamu (kwa kuwa wameweza kuandika ina maana wana akili timamu) wakilaumu vitendo vya wafuasi wa CHADEMA kwa Mama Fatuma huko Igunga...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeona kwenye blog ya michuzi kuwa TCRA wametoa takwimu na kuonesha kuwa VODACOM ina wateja milioni 10,Zaini milioni 5,tigo milioni 4 nakuwa ya mwisho ina wateja elfu 2 tu.Hivi kuna ukweli juu y...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Siku hizi umeingia utamaduni katika nchi yetu ambapo kina dada wengi wanapenda kuvaa suruali kuliko kuvaa sketi au magauni kama ilivyo utamaduni wetu. Ni kwasababu gani dada zetu siku hizi...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Another objective masterpiece from Ansbert Ngurumo.....READ ON! ================================================ Wabunge wadhalilishwe, DC alindwe? Ansbert Ngurumo TUSEME ukweli...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Hivi ngeleja ametufanya watanzania kama watoto? Kujitoa kwenye tv eti mgao utapungua makali wakati ndo umeongezeka mana yake nn? Halafu na pinda nae kanyamaza kimya wakati yy ndo alitetea hoja...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nipo kwenye bar flan hapa maeneo ya banana zilipo bar nyingi na kitimoto. Kwa kweli hali niliyoiona hapa ni ya kusikitisha kwani asilimia kubwa ya wahudumu wa hapa ni watoto wa kike wenye umri...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WanaJF naomba niulize ni nini kilichopo nyumz ya pazia juu ya uunguaji wa masoko mkoani Mbeya. Usiku wa kuamkia leo tena soko lingine la Forest limeungua moto na kuteketeza karibu vibanda kumi na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Soko la Forest jijini Mbeya limeungua usiku wa kuamkia leo na kuteketea kabisa, chanzo cha moto bado hakijajulikana, huu ni mfulilizo wa matukio ya masoko kuungua katika jiji la mbeya ambapo juzi...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Kuna sifa kadhaa za kuwa mtanzania:1.ukisema tu ukweli unachukiwa na kuzushiwa...inabidi kila unachosema uwe mwongomwongo fulani hivi...mfano wa waziri wa nishati, alisema makali ya mgao...
3 Reactions
7 Replies
1K Views
Serikali imeombwa kuwabana wafanyabiashara wanaosafirisha sukari nje ya nchi na hivyo kusababisha uhaba wa bidhaa hiyo hapa. Rai hiyo ilitolewa jana na Afisa Mtendaji Utawala wa Kiwanda cha Sukari...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ni lini Tanzania itaweza kukabiliana na majanga?,tuliowapa dhamana mko wapi wakati hayo yote yakitokea,uzembe wenu unatumaliza watanzania,sioni tofauti na nchi inayoweza kuwapa wananchi wake sumu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kila ninapopita tarafa zote nne igurubi, choma, simbo na igunga mjini. Kila unapofika katika mikusanyiko ya watu wengi wanamtoa kasoro mgombea wa CHADEMA Joseph Kashindye kuwa ni mzito wa kuongea...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
  • Closed
Kutokana na umuhimu na ushawishi wao kwenye jamii zetu nimejikuta nahitaji msaada kwa wanajamvi, mnieleweshe kwa upole na upendo. Hawa jamaa zetu hupata elimu yao kwenye vyuo vipi hasa? Kwamfano...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
sijui niziite neti za mbu au nyavu za kuvulia samaki, yaani mbu wanapita kama kawaida inasikitisha sana, hapa tumeliwa
1 Reactions
34 Replies
4K Views
kwanini?neno kuwajibika limekuwa ni msamiati mgumu sana kwa viongozi we2u!pale linapotokea tatizo yeye akiwa kama kiongozi,mv bukoba iliua watu zaidi ya 800,train watu zaidi ya 250,mabasi ndio...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Huwa naangalia sana magari ya Mbagala, Mbezi, G/Mboto n.k, yanajaza sana. Yanazidisha abiria zaidi ya 100%. Je! Tatizo la usafiri linaruhusu sheria za usafirishaji zisifuatwe? Au wanasubiria...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Poll Poll
salamu wakuu baada ya mijadara mingi kwenye mitandao mimi nimeona niweka hapa polltuona kama ni sahihi kwa miss TANZANIA 2011 kupeperusha bendera ya Taifahali kapatikana siku ya msiba?sio hivyo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mali nyingi za marehemu waliokufa katika ajali ya MV Spice Islanders hazijuulikani zilipo yakiwemo mapambo ya dhahabu kama pete, cheni na herini na pesa tangu kutokea ajali hiyo Septemba 10, mwaka...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jamani hyo Meli iliyowapita na walaaniwe wangechukua watoto na swali je kama wali wavisha maboya watoto je? Mbona wamekufa wengi?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
  • Closed
Ustadh Hamisi Rajabu Dibagula ‘Mandela’ (mwenye shati jeupe na barghashia) akiwasomea watu alama alizokuwa nazo kondoo huyo. Na Dunstan Shekidele,Moro KONDOO aliye hai hivi majuzi amekutwa katika...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Back
Top Bottom