Wana jf..katika pita pita zangu katika mitandao nimekutana na hizi blog moja inaitwa mzeewasupu na nyingine inaitwa maishamatamu..kwa kweli nimeshangaa sana...kuona picha za wadada wa...
Wachina wawili nimekuta wakijiuguza majeraha huku wamekaa chini barabara ya Sam Nujoma karibu na Cocacola baada ya kula kipigo toka kwa wananchi wenye hasira kali.
Kutaonana na tabia iliyokithiri...
Ilikuwa ni kama filamu ya kusisimua pale maharusi, Paul Lugendo na Ester Kapilimka, wakazi wa Kunduchi Mtongani jijini Dar es Salaam walipobaki vinywa wazi kufuatia mchungaji wao, Alphonce...
Wakati sisi tunaelekea uwanja wa taifa kufurahia uhuru na amani aliotuachia nyerere na kuendeleza kikwete .waislam wamepanga ni siku ya kukesha msikitini kumuombea JK kutokana na hotuba alioitoa...
jamani wadau wenzangu,
leo nilisikia news kuwa kuanzia 2012 wanafunzi wakimaliza kidato cha sita wanatakiwa kujiunga na JKT..
is it true? na nani alie toa huu ujumbe?
natanguliza shukraani
Wadau wa JF,
Leo usubuhi nimesikia kwenye kipindi cha magazeti cha RFA kuwa Rev Mtikila ameishitaki serikali legelege ya magamba mahakama ya kisutu kwa kuuza jengo la Mahakama yetu ya Rufani kwa...
Halafu sio haki hata kidogo kwa wageni kupewa asilimiaa kidogo hivyo kozi tukija kwenye soko lenyewe watanzaniaa bado hatuwezi kuran biashara ya uwindaji ya wanyamapori ( hunting industry) kwanza...
Tafakari:Ni ajabu Chibuku kuizidi dhahabu katika ulipaji kodi Tanzania!
Send to a friend
Saturday, 03 September 2011 18:54
0digg
Na Julius Samwel Magodi
WASWAHILI wanasema zubaa uliwe...
Kabla ya kauli ya Ngeleja kuhusu kupungua Kwa mgawo wa umeme,wakazi wa bwiru tulikuwa twatendewa haki sana.
Ila baada tu ya kauli ya ngeleja makali ya mgawo yamezidi na sasa twapata umeme kwa...
Meneja mkuu mkaburu MOXHAM KEVIN imetangazwa leo amejiuzulu mara moja. taarifa hizi rasmi zimebandikwa kwenye mbao za matangazo mgodini hapo.
Sababu iliyopelekea kujiuzuru huku haijawa wazi ila...
TAKUKURU Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa au enzi zile ilikuwa Kikosi cha Kuzuia Rushwa. Chombo kinachoendeshwa kwa fedha lukuki za walipa kodi ili kipambane na Rushwa. Badala yake...
TZ ni nchi yenye Rushwa na Ufisadi Mkubwa sana Duniani. Ukichunguza wafanyakazi wengi Serikalini ni Graduate kutoka ktk vyuo kama Tumaini University nk. Sasa hii Rushwa na Ufisadi mbona havipigwi...
Kuna wingu zito linalozidi kutanda juu ya suala zima la afya ya Prof. Mwandosya, ambaye aliugua ghafla wakati wa kikao cha Bunge cha hivi karibuni na kukimbizwa Muhimbili na hatimaye India kwa...
Kikosi kazi cha kupambana na dawa za kulevya kimekamata kilo 99 za dawa za kulevya aina ya heroin ambapo walizikamata alfajiri ya leo maeneo ya kinondoni,miongoni mwa waliokamatwa ni watanzania...
Ndugu wana Jamii forum. Kwa masikitiko makubwa napenda kuwaeleza kwa uchache tu ufisaadi mwingine uliojitokeza hivi karibuni baada ya muheshimiwa DR Sheni kuchaguliwa kuwa rais wa Zanzibar na...
Mwenyekiti wa chama cha wanainchi CUF atawasili tabora jumatatu kwa ndege na kupokelewa na maandamano yaliyoandaliwa na wakazi ambapo jioni atahutubia mkutano mkubwa kabla ya kuelekea Igunga siku...
Chadema na Mh Freeman Mbowe watakuwa mahakamani tena kesho,kwenye kesi iliyofunguliwa dhidi yao,kesho ni hukumu dhidi ya pingamizi zilizotolewa na upande wa utetezi,dhidi ya kesi hii ya waliokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.