Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
  • Closed
Kwa naiaba ya wafanyakazi wote wa New Habari,nataka nitoe ushauri wa bure kwa CEO wetu kujivua gamba haraka iwezekanavyo kama alivyofanya boss wake aka bwana wake RA,kampuni...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Sakata hili la mafuta limenitia shaka kwa utendaji wa serikali hasa kwa waziri mwenya mwenye dhamana. Tuna mifano hai ya mawaziri wawili wa zamani akiwapo Augustine Mrema na E. Lowassa katika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nilikuwa naangalia taarifa ya habari BBC,waathliwa wakubwa wa maandamano [riots] za vijana wa majiji. Vijan hawa [Yob] wengi wanaonekana ni vijana wenye asili ya kizungu na kiafrika,hakuna hata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shida ni kuwa-mobilise wananchi watambue ya kwamba huyu jamaa nchi imemshinda. Lakini kwa matukio yanayoendelea, na yanayowaathiri wananchi punde nchi italipuka. Angalia mambo yafuatayo; Mauaji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jana JK aliwaalika viongozi wadini kufanya nini .....sijui! Akwawaomba waimboee nchi iwe na amani,usatawi .......mvua inyeshe na mabwawa ya maji yajae mgao wa umeme uishe!Alipoanza kuongelea...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Nimewahi kuambiwa ili kumuua nyani kirahisi sharti wawepo watu watatu au zaidi kwa sababu Nyani hawezi ku-control idadi ya vitu vitatu au zaidi kwa wakati mmoja,atachanganyikiwa tu na atauwawa...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani zungu anafunguka balaa sakata na uda hatari kwenye jahazi clouds fm.hii ngoma inaondoka na mtu sasa
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Kambi rasmi ya upinzani ilitoa mapendekezo ya kushushwa kwa bei ya mafuta kwa 50% kupitia bajeti kivuli iliyosomwa wakati wa kuanza mjadala wa bajeti ya serikali 2011/2012.<br /> Lakini wabunge...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Pengine watu wanajiuliza kwa nini rais kikwete anakaa kimya kuhusu umeemee kuhusu mafuta nasema bado atakaa sana kuna baadhi ya watanzania walishailaani hii nchi kwa kumsingizia mungu kikwete ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo Waziri wa nishati W. Ngereja ataongea na wafanyabiashara wa mafuta Jana Ngereja alitoa msisitizo wa wafanyabishara wa mafuta kufata sheria za nchi la sivyo sheria itafuata mkondo wake Stay tuned
0 Reactions
32 Replies
3K Views
malawi baada ya kukoswakoswa wao wamepiga marufuku safari za viongozi wao nje ya nchi, hii ni ili wabane matumizi, vipi bongo? Inawezekana? Make christopher columba anazidi kudiscover dunia
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hatimaye yule wakili maarufu jijini Arusha leo amepelekwa mahakani na kusomewa mashtaka kwa ilie kesi ya kukutwa na kiasi kikubwa cha fedha ambacho mpaka sasa hivi upelelezi unaendelea ili kujua...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Unaweza kuona ni jambo dogo ila mengi yatatokea, pamoja na muda mwingi kupotea, uchumi kuzorota, vile vibaba na vimama vikware leo vikichelewa kurudi nyumbani baada ya kukipitia kona vitasingizia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Yaani nilihisi naongozwa na kingora leo jamani loh tangu naaga nyumbani kufika kazini ni dk 8 kama nimetoka upanga to posta hata kidogo embu tuliangalie hili swala la mgao wa mafuta mnaonaje...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu - Nani anaikumbuka timu ya Taifa Stars miaka ya 1977,78,79,80 ambayo ilikuwa na wachezaji wengi kutoka Bandari Mtwara kama akina Abdallah Chuma, Namajojo, Mkandinga, Mrope, nk. Tupeni...
0 Reactions
30 Replies
9K Views
Hivi huyu Baba Nanihii vipi? Wenzake tunateseka na mgao na uhaba wa mafuta, yeye anaongelea udini! Ndio hiki ni kipindi cha Ramadhani kwa hiyo kwenye "normal" condition topic ya udini...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Naishitaki Serikali, Media, Synovate, Hadaa Loliondo Hapo nyuma nilitoa ushuuda wangu kuhusiana na kikombe cha babu. Baada ya kupata kikombe changu, nilirudi zangu DAR. Siku 12 zikapita nikawa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari yenu wakuu.... Nimekutana na hii habari kwenye google. Ni ya siku mingi kidogo lakini nimeona si vibaya tukijua kinachoendelea kuhusu mtandao wetu pendwa wa JF. Habari yenyewe inakwenda...
0 Reactions
0 Replies
947 Views
Nimeshangaa sana,yaani katika siku ndeeefu za mapumziko IDD Azan,amekaaa amewazaaaa ndo kaona leo aombe muongozo aulize ujinga kama huu kuwa Masaburi kalitukana Bunge,,,,,hakuna masuala ya msingi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
EAST AFRICA HERALD: UGANDA: Sanitary pads keep girls in school
0 Reactions
0 Replies
886 Views
Back
Top Bottom