Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
The mainstream media is full of illuminati deception. It is good to know what is going on around you, so that you can know how to pray for this world. You will never get the truth from...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimekuta post kwenye Michuzi blog kwamba Meya wa Ilala Jerry Slaa a.k.a ''Dogo Janja'' kwamba amekabidhiwa Uraia wa heshima wa jiji la bozeman, Montana, Marekani. Nimeshindwa kuelewa hii ina maana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ASALAAM ALAYKUM WANA JF HIVI MAWASILIANO HASA NI KERO SASA KWA MTANDAO WA TGO MPAKA INAKUWA HATUNA IMANI NA WENYE MTANDAO AU NDIYO AINA YA UFISADI MAANA UNAWEZA KUWA UNAPIGA HAMUSIKILIZANI NA PESA...
1 Reactions
53 Replies
5K Views
Ndugu zangu, mimi nilinunua hisa za nmb kupitia nicol na tccia mwaka 2006. Tangia hapo sijawahi kupatas gawio hata shilingi moja. Je kuna mtu ambaye aliishawahi kupata gawio kutoka hayo makampuni...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Machinga wa Uwanja wa Sokoine wanapigana na polisi na mgambo wa City, vita ni vikali wanagoma kuhamishwa. Source: upendo FM muda huu wanatangaza
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Pamoja na kusifiwa kuwa kisiwa cha Amani Tafiti zimeonyesha watanzania wengi hawana furaha na tunaongoza kuwa watu waliochoka, kukosa matumaini,kushangaa shangaa,pamoja na utajiri wa rasilimali...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Jana tulikuwa tunatoka Dar kuja Arusha, tuliwasili Korogwe mida ya saa 10 jioni. Tuliingia vituo zaidi ya vitano kwa ajili ya kujaza mafuta ili tuendelee na safaari. Kila kituo walisema hawana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tuko shidani, wananchi tunateseka na adha hii ya mafuta. Nchi iko taabuni, mkuu wa nchi na waziri wa nishati mmekaa kimya, je tuwaeleweje? Au na nyie mna maslahi na mgomo huu wa mafuta?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
binafsi nimeshangazwa na sikukuu ya wakulima inayoadhimishwa kila mwaka tarehe nane mwezi wa nane kama leo.Kilichonishangaza ni banda la afya kushinda katika mashindano.Kwanini wakulima...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Hivi punde imethibitishwa kuwa Serikali ya JK itapokea mkopo wa kiasi cha USD 250Million kutoka kwa mabenki ya ndani na nnje ya nchi. Stanbic ndiyo inaonekana kuwa "Lead Arranger" wa mkopo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kutokana na ukosefu wa mafuta shell pekee yenye mafuta eneo la mwenge gbp hali ni mbaya miruru ya magari ni mikubwa mno magari yamezimika njiani hapa sheli watu wamejazana ma vidumu kuna askari...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
The deputy minister for Energy and Mineral, Mr Adam Malima, said the government has embarked on the implementation of the presidential pledges made during the head of State's visits to Kahama...
0 Reactions
1 Replies
800 Views
Wadau pale panapostahili pongezi lazima tutoe na hii inakwenda kwa manispaa ya kinondoni kwa kuanza ujenzi wa daraja la mto mbezi la kuunganisha goba na makongo hongereni sana na tunaomba...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
TIDO HAJAENDA AL JAZEERA Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TBC, Bw. Dunstan Tido Mhando, hajachukuliwa na Al Jazeera, kituo cha habari cha kimataifa chenye makao yake mkuu jijini Doha, Qatar, Globu ya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Ishahuri serikali iliyopo madarakani ianze mimkakati mapema ya kuwaadabisha wafanyabiashara ya mafuta kabla nchi hii aijaangamia kwa kuporomoka kwa uchumi na shughuli za uzalishaji kusimama!JK...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale waliosoma chuo kikuu cha Mzumbe, kuna kitu kinaitwa "KIU" ni utani flani ambao unafurahisha sana espcially kama hakuna matusi Sijui kiu inaendelea au imakufaa, wana MU mpoooooooooo??
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Kikwete kama katika sherehe za mei mosi mwaka huu utaalikwa kama mgeni rasmi, na katika hotuba yako ukathubutu kuzungumzia nyongeza mpya ya mshahara basi huna budi kuthubutu kuwambia wafanyakazi...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wasafiri wa ndege nchini Ujerumani huenda kesho wakakumbwa na ucheleweshaji na kufutwa kwa safari kutokana na mgomo* wa waongoza uliyopangwa kufanyika kesho. Kiasi ya safari 2,500 huenda...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF habarini za j2 natumai inakwenda salama pia na wenzetu waislam mnaendelea salama na mfungo. Mimi kinachonitatiza ni kwamba mpaka leo karibia mwaka unaisha tangia uchaguz wa mwaka jina na...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
  • Closed
Hawa waliofunga na huku wamegoma kutuuzia mafuta ni waislam feki na funga zao ni batili.
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Back
Top Bottom