Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Serikali haitujali tena wananchi wake. Hali imekuwa ngumu sana na hakuna uhakika wa kupata huduma muhimu kama afya, elimu, chakula, maji, umeme, mafuta n.k. Sasa ni wakati muafaka wa wananchi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hatimaye Naibu spika bwana Ndugai imebidi akubaliane na hoja ya muheshimiwa Makamba ya kuiita kamati ya bunge na kwenda faragha ili kujadili mustakabali wa hali ya wafanyabiashara nchini kugomea...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
EAST AFRICA HERALD: The evolution of Reggae music
0 Reactions
0 Replies
929 Views
Kwa wale mnao "ona mbali" nakuamua kuweka petroli majumbani kwenu. Kuweni makini, hiyo kitu ikilipuka madhara yake, ni bora ungekubali kutembea kwa mguu au kupanda baiskeli.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
"serikali corrupt huwa inawaogopa wafanyabiashara, serikali corrupt huwa haikusanyi kodi bali huwaonea wafanyabiashara wadogo wadogo, wale wakubwa inawaacha na hata ikiwaambia wanasema ah...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni mji mpekee duniani ambao: Hakuna maji, hakuna ememe, hakuna mafuta, usafiri mgumu. Lakini takwimu za kiserikali zinaonesha kuwa mfumuko wa bei (inflation) unashuka.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani ina maana serikali yetu (sorry Rais wetu) imekwenda likizo? Zifuatazo ni dalili kuwa kuna tatizo ama mkuu amechukua likizo ndefu: Dar, Manyara, etc hakuna wakuu wa mikoa Bodi ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ukosefu wa mafuta (sio uhaba), ukosefu wa umeme, ukosefu wa ajira, tofauti kubwa ya kipato kati masikini na matajiri na ugumu wa maisha kwa ujumla ni vitu vinavyopelekea hali ya usalama wa taifa...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
wauza mafuta wamepanga yafuatayo:- 1. Stock yao ya kituoni ikiisha, hatanunua tena mafuta kutoka depot. 2. Depot wakimaliza stock hawata IMPORT hadi serikali ikubali kupandisha bei ya mafuta...
1 Reactions
64 Replies
6K Views
Namhurumia sana Ngeleja na ninamsikitikia. Wizara aliyoshikilia ni kubwa kuliko uwezo wake wa akili, maono na hata fikra. Kwa hali ilivyo nchini ni kama wizara ya Nishati na madini ndiyo mzigo...
0 Reactions
0 Replies
975 Views
Tupo hapa Kobil Mlimani City. Kuna fujo ya hali ya juu. Ni kama ni kituo pekee kinachouza mafuta kwa ukanda huu,hali ambayo imesababisha magari na raiwa wenye vidumu wengi kusongamana na wengine...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
. @We have taller buildings but shorter tempers, wide free ways but narrow points. @We spend more, but have less. We buy more but we have less. We have bigger houses and smaller...
0 Reactions
0 Replies
757 Views
KATIKA NCHI AMBAZO KWA SASA ZIPO KWENYE WAKATI MGUMU MOJAWAPO NI TANZANIA,KWANI LICHA YA MGAO WA UMEME KUINGIA KWENYE UTARATIBU WA MAISHA YA MTANZANIA NA KUUONA KAMA HALI YA KAWAIDA,BADO MATATIZO...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Source: Wapo FM Subira binti mdogo kule Ntwara Kata ya Malata (?) kagundua dawa inaitwa NKONG'OTO. Ati iinakong'ota magonjwa yote sugu na tunavyoongea sasa watu kibao kutoka Nsumbiji na Tanzania...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jamani Wauza mafuta Iringa wameanza Mgomo Rasmi Leo, Ni kiyuo kimoja tu cha MT ndio wanauza mafuta, Foleni usiseme tena. Jamani hii serikali inatupeleka wapi sasa, Mgao wa umeme, tumeenda kwenye...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
By ALVAR MWAKYUSA and ROSE ATHUMANI, 8th August 2011 DAILY NEWS THE Energy and Water Utilities Regulatory Authority (EWURA)'s board of directors is on Tuesday expected to hold a meeting to...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Shirikisho la Soka nchini TFF limeendelea kuzoa aibu tupu kwa Timu ya Taifa (Taifa Stars) kushindwa kusafiri kwenda Sudan kukipiga na Timu ya Taifa ya nchi hiyo kutokana na kuchelewa kutafuta...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
9 Agosti 2011 03:46 ? Kwa siku ya tatu mfululizo, machafuko na uporaji wa mali umeendelea katika maeneo kadhaa viungani mwa jiji la London. Majengo yameteketezwa moto maeneo ya Peckham na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
imeshakuwa kero,kila sehemu unaenda unaambiwa hamna mafuta,,sehemu nyingine wanauza mwisho lita 5 tu,,hii kero mpaka lini,serikali mpo...?????
0 Reactions
0 Replies
982 Views
Napita maeneo ya sinza na kuna kituo kimoja tu cha mafuta ndicho kinaonekana kuuza mafuta! Foleni ni kubwa sana, gari hazitembei! Trafiki mko wapi? Hali hapa GBP ni mbaya
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom