Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Did you know the Jews will publish you Medical Records on the Internet? It's a part of Judaism called the Shagria. The Jews can and do publish financial and personal records and any accusation...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Internet Use Affects Memory, Study Finds By PATRICIA COHEN The widespread use of search engines and online databases has affected the way people remember information, researchers are reporting...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nondo za kitaifa zenye fikra pevu Deus Kibamba na Bashiru Ally wanashusha speech za maana juu ya taifa hili linalofilisiwa na mamumiani aka ccm!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hatimaye japani watawazwa ubingwa wa dunia kwa wanawake 2011,wameifunga marekani kwa penati, baada ya kutoka sale ya bao 2-2.wajapani noma
0 Reactions
2 Replies
990 Views
Timu ya taifa ya brazili imepata kipigo toka kwa paraguay kwa mikwaju ya penalt,baada ya kutoka bila kufungana ktk dk 120,poleni mashabiki wa brazil,
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Watch Live Here ESPN: The Worldwide Leader In Sports
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Unyama gani huu? Na Moshi Lusonzo, 17th July 2011 Baba ambaka na kumlawiti mtoto wake wa kumzaa Jiji la Dar es Salaam limeendelea kukumbwa na matukio ya ukatili dhidi ya watoto ambapo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wavua magamba wanapita sehemu zote hasa ccm ilipo poteza majimbo hasa wakati huu ambao wabunge wapo mjengoni ili kutengeneza mazingira yakuponda wabunge walio pita kwenye uchaguzi kwa tiketi ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
PENGINE NI KUKUMBUSHANA TU WAPENDWA JANA KWANGU ILIKUWA MARA YAPILI BAADA YA KUNGATWA NA NYUKI WIKI ILIOPITA PALE SUPERMARKET YA MWENGE KUNA WANADADA WALIFANYA MAHESABU YAO SASA WAKANIPAKARATASI...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
Nape Nnauye ameenda kilwa kusini na kumtukana sana mbunge wao bwana Suleiman Bungala maarufu ***** na kumwambia kuwa ccm wana dola hivyo wata hakikisha wanampokonya kiti kwa sababu yeye ni CUF...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuacha ile ya saa7 mchana na kurudi saa12 jioni hii mda huu tena umekatwa na haijulikani mpaka mda gani tena,huu umeme ni kama mgonjwa wa kifafa....saa1 mzima,nusu saa kazimia
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF, naona kama jamii ya watanzania inatumia juhudi nyingi kuonesha kuwa haijihusishi na uchawi, hata hivyo katika njia isiyo rasmi inaonesha kuwa watanzania tuna-practice uchawi. 1. Ajari...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wandugu naomba msaada wenu huko mliko. In short me ni mtoto pekee kwa marehemu mama yangu Mariamu Bishanga. Baada ya mama kufariki nikiwa na miaka 5 nililewa na mjomba lakini naye hajui ni tarehe...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Jamani hii n i aibu ya serikali na nafikiri haka kamchezo kako kila ofisi ukisoma mwananchi leo unawweza kusoma aibu ya tra jamani huzuni kubwa kwanza breakpoint bar imefungwa katika hali...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
ENYI WANA WA ADAMU MANENO YENU NA VITENDO VIWE PACHA Maneno matakatifu na matendo safi mema hupaa hadi mbingu ya utukufu wa mbinguni. jitahidini ili matendo yenu yatakaswe kutoka kwenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana jf yani nimeamka mwili na akili vyote vimekwenda likizo! Yani siku naiona ipo kinyume sijui ni kwanini? Nikicheki waleti imejaa pesa,pombe simtumia,bangi simtiaji, Mademu simtumia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
  • Redirect
Jeshi la kujenga Taifa, limeingia mkataba wenye harufu mbaya, na mtuhumiwa wa wizi wa fedha za walipa kodi ktk akaunti ya madeni ya nje (BOT) ndg JEETU PATEL,mkataba huo unahusu uingizaji wa...
0 Reactions
Replies
Views
JKT yalaumiwa kuingia mkataba na mtuhumiwa EPA Na Gladness Mboma, Dodoma Majira KAMBI ya Upinzania Bungeni, imeshtushwa na kitendo Jeshi la la Kujenga Taifa (JKT) kuingia mkataba na Bw. Jeetu...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa hali jinsi ilivyo na utaratibu mzima unavyoenda serikalini nafikiri sasa kuna haja na umuhimu wa TANESCO Kuajiri Mkurugenzi na Meneja MGAO. Miaka nenda rudi huu mgao hauishi tu! Hivyo ni vema...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
hivi modem za tigo zinagharimu kiasi gani bando zake?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom