Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Najiuliza mara nyingi sana pasi kupata jawabu. Nalileta kwenu wanajamvi. Pengine lilishajadiliwa nami sikubahatika kuliona. Hivi toka Novemba mwaka jana hadi leo takribani miezi 8 kwa nini mzee...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Haya sasa wadau leo kuanzia saa mbili na nusu usiku kijana wenu mwanaharakati Nova Kambota atatema cheche kuanzia saa mbili usiku mlimani tv, usikose kumwangalia leo itakuwa hapatoshi naona huyo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mchezeji wa kimataifa wa Tanzania Mbwana Samata anayekipiga katika timu ya Tp Mazembe ameendelea kuwa mwiba mkali kataka ligi kuu ya Demokrasoia ya Kongo. Samata, akiingia kutokea benchi katika...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
hivi ipo listi ya wabunge wanawake vijana? maana kila siku tunawasikia akina zitto na Makamba bas! itakuwa si vibaya mtu akaleta listi za wabunge wanawake na picha zao
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari njema kwa wasafiri wa ndege kwa safari nilizozitaja hapo juu. shirika la ndege la Precision Air limeanzisha safari za usiku kwa ruti nairobi, dar na mwanza. hivyo sasa unaweza kuendelea na...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mnajua mambo ya mgawo umeme najaribu kuona kama naweza kufuatilia walau kidogo mjadala wa bajeti ya Nishati na madini. Pls advice
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mtangazaji wa Clouds kipindi kinachoendelea sasa hivi anauliza kama rais wa Uingereza anakunywa chai saa mbili rais wa Tanzania anakunywa saa ngapi aibu kabisa, hivi watangazaji wa Clouds...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Kuna baadhi ya watu ambao wanatabia za chura inabidi niwaongelee hapa ili kama ni wewe urekebishe tabia yako. Utakuta mmepanda gari(busi la abiria) alafu basi lenyewe limejaa tele hadi wengine...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
huu mgao wa umeme umekua kero sana nchini.kwa mtazamo wako huu mgao una athari kiasi gani kwa wananchi na taifa kwa ujumla.waungwana tulonge!!
0 Reactions
0 Replies
892 Views
MNA AKILI TIMAMU mnafikiri mambo MAZURI mnatekeleza maamuzi ya kijinga kwa manufaa yenu na MASWAHIBA WENU tunahitaji UMEME SIO MSURURU wamiradi ya umeme ISIOTEKELEZEKA Ngereja hutufai tanzania...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika hali ya kushangaza na kushtua habari za ndani kutoka ndani ya chama hicho zinasema kuwa kuna baadhi ya wahariri wa magazeti wameingia katika mfumo wa kulipwa mishahara wa chama hicho...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
where does this life style exisist in Afrika?
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Naamini hili ni tatizo katika maeneo yote (nasisitiza yote) ya mipaka yetu... tatizo litokanalo na wenye wajibu mkuu wa ku-monitor haya mambo kulala usingizi wa pono ilihali ni hatari kwa Taifa...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Wanajamvi. Napenda kuwapa taarifa kuwa ndugu yetu Brigadia General DR Ali Abdallah Sinda ambaye alikuwa mkuu wa Hospital ya Jeshi ya Lugalo huko Tanzania amefariki dunia jana huko kwake salasala...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Tanzania ni miongoni mwa nchi maskini duniani,moja ya maadui watatu wakuu aliowasema baba wa Taifa mwl Julius Nyerere. Maadui wengine ni Maradhi na ujinga. Ili kujikwamua kwenye umaskini elimu ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mbowe ataka JK avunje baraza la mawaziri Send to a friend Sunday, 17 July 2011 20:49 0digg Mwenyekiti wa Chadema,Freeman Mbowe akizungumza wakati wa mkutano wa kamati kuu ya chama hicho...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Arusha, Thomas Leizer, amesema vurugu za kisiasa mkoani hapa, hazina faida na zinagharimu maisha ya wananchi. Kiongozi...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
You are cordially invited to the "Making a Difference" - AFRICAN WOMEN in BUSINESS Conference Luncheon on the 29th of July 2011 @ SOAS - School of Oriental & African Studies, 12pm - 8pm. There...
0 Reactions
2 Replies
948 Views
WAZIRI wa Ulinzi na Jeshi La kujenga Taifa, Dk. Hussein Mwinyi, amewataka Waislamu nchini kushirikiana ili kujenga umoja thabiti kwa ajili ya kushughulikia masuala mbalimbali yanayohusu dini yao...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa gazeti la mwananchi toleo la jana jumapili,inadaiwa kuwa baadhi ya maafisa wa ikulu wanahusika katika sakata la kutorosha twiga wanne na nyara nyingine za serikali hapo mwishoni mwa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom