Wadau sina information za kutosha kuhusu usafiri wa ndege hapa nchini. Lakini leo asubuhi nimeshtushwa na nauli ya kwenda South Africa ambayo inaonekana ni ndogo kuliko nauli za humu ndani. Hivi...
Ndugu wadau, jana nikiangalia mechi ya yanga na St Geoarge kupitia super sport 9, niliona kitambaa likubwa kwa upande wa mashabiki wa yanga kimeandikwa "WAKALI WA TERMINAL" naomba kujuwa wakali wa...
Kwa miaka mingi ITV imekuwa ikileta swali la kimajoto na kutoa majibu ya wasikilizaji waliosema Ndiyo, Hapana na Sijui kwa kutumia asilimia bila kutaja idadi ya watoa majibu. Napendekeza idadi ya...
Leo Usiku niliamka kama Saa 8 usiki nikawa nasikiliza Radio,
Nikasikia Sugu akamatwa na polisi Huko eneo la Nzovwe Mbeya Kwa kufanya mkutano kinyume cha sheria, Lakini wakaendelea kusema kwamba...
The Grossest Things Found in Peoples Food
A dead mouse
In 2009, Stephen Forse was making sandwiches for his children from a Hovis Best of Both loaf of sliced bread. But something caught...
Jamani Geaty Thinkers naomba kama kuna mtu mwenye picha ya yule mbunge aliyesema pale bungeni kua CCM ni CHAMA CHA MUNGU aniwekee hapa janvini ili niweze kifanyia utafiti wangu wa kitaalam! Asante...
Wanajamii mie nashindwa kuelewa inakuwaje huku serikalini wafanyakazi wanaopewa Safari na Masurufu/posho ni wale wale tu kila siku. kuna safari ambazo ni technical kwa wenye fani fulani kuhudhuria...
Mara nyingi tumekumbana na vitendo vya rushwa. Ingawaje kisheria "mla rushwa na mtoa rushwa wote ni wakosa, lakini mara nyingi tunalazimika kununua haki zetu kwa kutoa rushwa. Kuanzia kijijini kwa...
Nimeshangazwa kuona viongozi wa ccm inapofika siku ya uhuru wa tanganyika hujidai kuwa ni uhuru wa tanzania,kwa kweli nashindwa kuelewa,tanzania imejipatia uhuru siku gani ? Sasa hivi kuna mzozo...
Wapendwa,
Ninaomba mnisaidie kidogo maana naona kama nimepotea sielewi.
Kwa kipindi kirefu nimepotea kuchangia kwenye Jukwaa japo nachungulia kusoma pale nipatapo wasaa. Nimekuwa naona hasa...
Wadau nimeipata kwenye hii mahali fulani. mama Pinda anazindua Meli ya Utafiti wa mafuta ambayo itajikita huko "NTWARA" kwa ajiri ya kusaka kiwese. Naomba kuuliza hii ni sahihi kwa Mke wa Waziri...
ilikuwa ni siku kama nne zilizopita nikiwa pale ubungo natoka katika mihangaiko ya kusaka mahela mara gesi ikaanza kumwagika kwa kasi kuelekea juu kutoka kwenye matanki makubwa ndipo watu...
Mkutano ulioitishwa na ofisi ya waziri mkuu kati yake kwa niaba ya serikali na viongozi wa dini uliingia dosari hapo jana na kushindwa kuendelea baada ya ujumbe wa waislamu uliowashirikisha...
Nimejiuliza sana kuhusu hili:
Unapofumba macho, kuna vipicha flani iwe ya motion au siyo motion vinaonekana pale unapofumba macho. Sasa, kuna picha flani au image zinajitokeza ambazo hujawahi...
Wana jf naombeni mnieleweshe mana nimekua nikjiuliza maswali mengi sana kuhusu hii serekali yetu inavyo tudanganya, bungeni walisema watashusha mafuta ili hali ya maisha iwe na ahueni ifikapo tar...
Habari kutoka TBC fm zinaeleza kuwa Mbunge wa Mbeya mjini Mh Joseph Mbilinyi a.k.a Mr 2 anashikiliwa na Polisi akihojiwa kwa kosa la kufanya mkutano huko Nzovwe bila ya kuwa na kibari cha Polisi...
JF imekuwa na members wengi wasioipenda CCM. Siku za karibuni zimeibuka kejeli mbaya dhidi ya chama hiki kinachoongoza dola na members wengi wa JF wametumbukia kwenye kejeli hii ambayo mimi naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.