Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wapenzi naombeni kujua maeneo ya kujidai/mtoko katika mkoa wa dodoma. Napenda sehemu tulivu ambazo hazina makelele. Nataka niwe najipa mtoko angalau weekend katika kipindi chote nitakachokuwa...
0 Reactions
80 Replies
20K Views
Mfano wa idd amin alivyowateka wajeruman hvyo walipokuja kuokolewa waliongea kijeruman hvyo wale wasiojua kijeruman waliuwawa je hapo lugha asil au wanaita lugha mama inaumuhimu wa kuijua
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jeshi la Wananchi wa Tannzania(JWTZ)litafungua Chuo Maalum CHA ulinzi wa Taifa kitakachotoa mafunzo maalum ya uzamili na stratejia ya ulinzi na usalama kwa muda wa mwaka mmoja kwanzia tarehe...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kuna ukweli kuwa pesa mpya ya BOT imeibiwa Airport je kuna mwenye ukweli huu??
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Mimi binafsi kuanzia January 2011, nitachangia JF kiasi cha Tshs.10,000/= kila mwezi na sina haja ya kukumbushwa bali kwa uaminifu na uadilifu mkubwa nitahakikisha mchango wangu unafika kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Na Maggid Mjengwa, UKITAKA kumjua Mwafrika, basi, mwangalie siku anapohama. Ndivyo tulivyo. Hata kwenye uongozi, ni hivyo hivyo. Mwangalie kiongozi wa Afrika anapoingia na anapotoka kwenye...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Mwanamke mmoja wa nchini Marekani ambaye alitaka kuingia mwaka 2011 akiwa mrembo zaidi na mwenye makalio makubwa amefariki dunia masaa matatu baada ya kufanyiwa operesheni ya kuongeza makalio...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Yaani kero juu ya kero! Sijamalizana na TANESCO kwa jinsi wanavyotufanya mabahau kulipia gharama walizofisadi wao na wakubwa zao huko Serikalini bila kutushirikisha, huku wakitulaza gizani na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi binafsi kuanzia January 2011, nitachangia JF kiasi cha Tshs.10,000/= kila mwezi na sina haja ya kukumbushwa bali kwa uaminifu na uadilifu mkubwa nitahakikisha mchango wangu unafika kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JOTO la kisiasa mkoani Arusha limezidi kupanda kiasi cha kumlazimu Naibu Meya wa Jiji la Arusha, Michael Kivuyo wa Chama cha Tanzania Labour (TLP) aliyechaguliwa na madiwani wote wa CCM, kutangaza...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tanzanian President Jakaya Kikwete has expressed deep regret over recent violence in the country’s northern town of Arusha where four people were killed by police fire during an opposition rally...
0 Reactions
1 Replies
978 Views
Watanzania waliotekwa waendelea kusota melini Send to a friend Friday, 07 January 2011 20:15 0diggsdigg Geofrey Nyang’oro HATIMA ya watu 28 wakiwemo Watanzania 14 waliomo kwenye Meli ya MV...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Some interesting New Year resolutions, from Dr. Olomi Nimekuwa nafuatilia jinsi desturi ya kuchangia na kufanya sherehe kubwa inavyozidi kushika kasi, ikipelekea ule wigo wa kuomba michango...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hivi huduma za kuangalia camera Bank ni za kulipia?kuna ndugu yangu kaibiwa 1.2 M alikuwa anaandika baada ya kumaliza kujaza amount and all, that bahasha ya pesa ilikuwa pembeni sasa achukue ile...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Wadau, Naomba mwenye taarifa yoyote(uzuri/ubaya) juu ya hii digital camera, anijuze. Kuna mtu anaiuza, amepatwa na shida na kama mjuavyo kimfaacho mtu chake. Nawakilisha.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
jamani naomba kwa yeyote mwenye wimbo huu audio auweke hapa au anitumie kwa e mail adress kilimasera@gmail.com nitashukuru sana nimetafuta sana naupata wa video tu mimi nataka audio ambayo...
0 Reactions
2 Replies
9K Views
KIJANA mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Baraka Mathias Chale (37), mkazi wa Segerea Njia Panda wilayani Ilala, amekutwa amekufa kwa kujilipua kwa umeme. Kwa mujibu wa Kamanda wa Mkoa wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi `Sugu’ amewaonya askari Mgambo wa Halmashauri ya Jiji la Mbeya wanaotumia mabavu kunyang’anya bidhaa za wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Wamachinga...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna wakati Serikali ilitoa agizo Bus zote ziwe na milango ya emergency na ikatoa muda wa kufanya marekekibisho hayo, baada ya muda huo ambao wangekuwa hawajatekeleza augizo hilo magari yao...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
The magnetic north pole is currently hovering over the North Sea and moving toward Siberia. This means two Florida airports are renumbering their runways. Odd as this connection may appear on the...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom