Na Richard Bukos
Ndoa iliyokuwa ifungwe kati ya Bwanaharusi, Joseph Kibarabara na mkewe mtarajiwa, Warda Halfa, imetibuka kufuatia Bibiharusi huyo kutekwa na kufungiwa chumbani na mwanaume...
Arguing, as I define, is presenting arguments to support your case. Now I know here at JF we argue a lot and as you can see, we use logic every time. For example when you tell somebody "you are...
Nimeipata hii sasa hivi. Ni breaking news!
Imethibitika kwamba mojawapo ya magari yaliyokuwa kwenye msafara wa Rais, akielekea nyumbani kwake Bagamoyo kwa mapumziko mafupi, imepata pancha eneo la...
Serikali ya Nigeria imetishia kuishtaki Iran kwenye umoja wa mataifa endapo haitatoa maelezo ya kina juu ya makontena 13 yenye silaha yaliyokamatwa mjini Lagos juzi yakiwa yametokea Iran kuelekea...
Ni makala uliyoiandika mwaka 2005 kuelekea uchaguzi. Ilizungumzia Sheria na Taratibu mbovu katika kusimamia taratibu za kupatika wagombea na matumizi ya fedha zisizo na kikomo wala maelezo...
Uchaguzi umepita sasa utendaji na uozo wa miaka nenda rudi umeanza kuonekana.Ukweli ni kuwa kabla ya uchaguzi mgao wa maji na umeme ulikuepo!tuulize ubungo kibangu lini walipata maji?8% ya...
Wakubwa naomba msaada kidogo. Yani kila ninapofungua subforum ya mambo ya kikubwa inagona na kuniambia i have no permission. Anyone who knows how i can solve it please help me.
TUJADIRI
HIZI NI BAADHI YA HASARA ZAKE
1.) VURUGU
2.) UTUMIAJI MBOVU WA FEDHA
3.) UZINIFU
4.) AJILI
5.) INAKUTENGA NA MUNGU
6.) MAGONJWA eg Kama ya figo na mapafu pia moyo
7.) HUARIBU UTU
9.)...
13th November 2010
He kept it rather precariously on top of a bookcase in the living room an elegant Chinese vase with a fish motif on the front and gold banding that glistened occasionally in...
Real inanipa wakati mgumu kuona wamama wajawazito wanakufa ktk hosp kubwa wakati wakujifungua.sijui wenzangu mnalo la kuchangia ili kupunguza hili tatizo?
ZAMANI TULIKUWA TUNA WAANDISHI MAHIRI WA VITABU VYA KUSISIMUA.
WALIKUWEPO KINA BEN R MTOBWA, MSIBA, NA WENGINE WENGI.
KWA MARA YA MWISHO KUSOMA KITABU CHENYE KUSISIMUA ILIKUWA MIAKA MITATU NYUMA...
Hivi karibuni miongoni mwa dada zetu imezuka tabia ya akinadada wengi kuvaa nguo ambazo zinaonesha sehemu kubwa ya matiti yao, ikibaki kuwa wazi. Takriban asilimia 60 hubaki kuwa wazi, na wengi...
Habari za weekend wanajamii.
Mimi nina mdogo wangu amegraduate mwaka huu. Degree yake ni ya Business Administaration in accounting. Naomba msaada wa kujua at least website zinazotangaza kazi...
Jamani kwa wale mnaotaka viwanja kwa bei rahisi msisite kunipigia simu hapa 0786 046484. Viwanja vinapatikana eneo la vikawe mbele ya bunju maeneo ya tegeta.
China builds 15-story hotel in 6 days
A soundproofed, thermal-insulated building is constructed in a remarkable feat of speed. See time-lapse video
Source: Chinese workers build...
Hellow guys! natafuta mke wa kuoa... naona muda wangu umefika...
'
sifa
Awe mweupe soft color au black beauty.
Asiwe anakunywa pombe, wala kuvuta sigara
aswe changudoa,
Awe amemaliza form four na...
Nimejitahidi ku-google habari zaidi kuhusu gharama za ku"publish" jarida au gazeti nchini mwetu lakini sikufanikiwa. Kama kuna yeyote anayejua kuhusiana na gharama hizi tafadhali naomba anijuze na...
Jamii forum ni sehemu mzuri ya kujua uelewa wa watanzania wengi, jaribu kupitia hoja mbalimbali na uangalie comment za watu.
Hii sehemu kila mtu anahaki ya kutoa mawazo yake lakini mawazo yetu...
Kwa watanzania wengi madaraka yamekuwa ulevi, mtu akipata madaraka basi kazi yake ni kujiona yuko juuuuuuuu juuuuuuuuu kabisaaa kuliko wengine matokeo yake ni kuwanyanyasa wengine, mfano ni pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.