Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Inasikitisha pale mkulima anapotumia nguvu zake kwa kulima mazao laakini anakosa soko / kiwanda cha kuuzia mazao yatokanayo na kilimo. Mfano mdogo ni kilimo cha matunda kama Machungwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tumekuwa na mengi ya kujadili na kutolea maoni kuhusu suala Tata la Mgodi wa North Mara haswa Suala la Mto Tigithe mambo haya kwa namna moja ua nyingine yametokea kufaidisha wale ambao walitoa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Johannesburg ¨C A churchman in Cape Town has angered Christians in his community by preaching that Jesus Christ was HIV-positive, South Africa's Mail & Guardiann ewspaper reported on Friday...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimesoma habari moja umu ndani nikafurahi hasa pale aliposema ansafisha nyota nakurudisha nyota zilizopotea!!!Mtu wamungu anaongelea nyota zilizopotea???wakati hakutakiwa kujihusisha na imani za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wito wangu kwa vijana na wananchi wote kwa ujumla ni kwamba tujitahidi tuhakikishe tunapiga kura hapo october 31.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mi bado najiuliza takukuru je mkono wa sheria unafika kote jamni au la? Kwani kuna kampeni za kutoa rushwa nje nje mfano mzuri kwenye misiba huwezi amini hata kidogo ukihuidhuria misiba hivi sasa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Zifuatazo ni picha za Helikopta itakayokuwa ikitumika katika shughuli za usafiri ikitua katika Hotel ya Holiday Inn. Nderemo na vifijo vilitawala siku ya Ijumaa tarehe 3/9/2010 ambapo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
2-year-old Indonesian chain-smoker kicks habit. Kwa wale walobahatika kuiona video yake ama hata kupata habari zake huyu dogo,vitu vyake ilikuwa ni balaaa. check video clip katika MSN news...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jf, nimesikia kutoka radio clouds kuwa mtoto aliyetaka kwenda uk ameangukiwa na mbao pale dar airport. Mwenye taarifa zaidi atujulishe.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Rais wa zamani wa Nigeria, Olesegun Obasanjo amesema maisha ya wakulima hayana mvuto kama ilivyo ya wanasoka au watangazaji maarufu wa televisheni hali ambayo inachangia kwa kiasi kikubwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika kuishi kwangu, kuzaliwa kukulia nakusoma NA KUFANYA KAZI katika jiji la DAR,nnaweza kusema ilikuwa jambo la bahati sana, manake kuna watanzania wengi hawajawahi kufika DSM. Lakini mtazamo...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Wana ndugu hebu wekeni mezani elimu ya makamba maana napata taabu kwelikweli kutambua makamba kasomea nini au ana elimu kiwango gani?
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kampuni za simu nilizotaja hapo juu zinagawana wingi wa wateja ktk soko la mitandao ya simu nchini. Ili kuwamotisha wateja kampuni hizi zimekuwa zinaandaa na kuendesha bahati na sibu mbali mbali...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
By Daily Mail Reporter Last updated at 9:49 AM on 3rd September 2010 A boy of 15 who has never been to school has become the youngest student for more than 200 years to win a place at Cambridge...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hallow wanajamii hamjambo jamani na wakubwa heshima zenu I m just joining today hope we will be together as long as JF exists
0 Reactions
2 Replies
984 Views
'Brain haemorrhage' SMS causes panic in Kenya A text message being sent around claims 27 people have died after picking up calls from numbers listed in the SMS Kenya's telecommunications...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Akiwa anaelekea katika shughuli zake za kila siku katikati ya jiji majira ya asubuhi jana, na amelazwa MOI. Amevunjika mguu mara 2 wa kulia mkono wa kulia pamoja na maeneo ya kichwa yamepata...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom