Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wana bodi, Yule mwana mpotevu kwa jina la 'KULIKONI', (Gazeti), amerejea rasmi nyumbani asubuhi ya leo, kwa kumkuta amejibanza tena kwenye meza za magazeti, hivyo kuufuta ile dhana kuwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
tunampa hongera!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Na Hidaya Kivatwa Mkazi wa Kimara Abduswamadu Shabani (25), mwalimu wa shule ya kiislwamu (madrasa) ya king'ong'o amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi wilayani Kinondoni kwa tuhuma za...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hivi nyie akina dada mimi siwaelewi na mitindo yenu ninani anawashika masikio?? Mfano naanza na pochi walikuwa navipochi vinaitwa kipima joto vidogo!sikuhizi unakuta mwanamke anapochi yakubeba...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Mwana Jamii Forum mwenzetu anayejulikana kwa jina la Azikiwe, jana asubuhi alinusurika kifo baada ya kukumbwa na ajali mbaya. Alikuwa akiendesha pikipiki ndipo alipogongwa na gari na...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Dawa za serikali huibiwa barani Afrika Wagonjwa wa Malaria Wagonjwa wa Malaria Matokeo ya utafiti umethibitisha kuwa dawa za kutibu ugonjwa wa Malaria, zinazotolewa kwa nchi kadhaa barani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
source:raiamwema Kagame: Wa nje hawataki kuamini maendeleo ya Rwanda Mwandishi Wetu Septemba 1, 2010 Rais Paul Kagame wa Rwanda hivi karibuni alipata ushindi mkubwa katika uchaguzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
"Mambo ya SERIKALI hayo.....hehehe inafurahisha sana! kumbe hela tunazo eeh" Na Boniface Meena Kampuni nne za miradi ya kuchimba madini zimefanikiwa kupata mkopo kutoka SERIKALINI kupitia...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba niweke maona ya ya mtoa hoja kama nilivyoyapata. TANZANIA: A COUNTRY ON THE BRINK OF DISASTER BIASHARA DENIS’S PERSPECTIVE One of the reasons why on 1st of August I caught a...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Angalizo: Fungeni CCTV kwenye parking lot and common areas. Wizi kama huu hapo chini kwenye picha inaharibu dhana nzima ya kuwa na 'malls'. Wapeni wateja wenu imani ya usalama kwani mteja ni...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Shule hiyo kongwe ya wasichana iliyoko Bukoba imeungua tena usiku wa kuamkia leo chanzo ni mfumo wa umeme kuwa wa zamani wanafunzi 7 wameungua vibaya wamelazwa hospitali ya mkoa Kagera hii...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajamii Poleni sana na mishe mishe za kila siku, Ninachowaomba waungwana hapa ni aina gani ya rangi ambayo naweza kupaka ndani ya nyumba ikawa na mvuto ( decent color) maana ninavyojua ni kwamba...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mkate wa muhogo Na Rashid Kejo KWA wakulima wa zao la muhogo wa mikoa ya kusini hususan Mtwara, wanaelewa fika habari ya matumizi mbalimbali ya zao hilo ukiacha kuchemsha, kutafuna au...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Mfano wa madini aina ya Rubi Sadick Mtulya WAKATI Wizara ya Nishati na Madini, ikiwa imetoa leseni ya uchimbaji madini ya rubi, eneo la Mtakanini Winza, wilayani Mpwapwa mkoani Dodoma, uhalali...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, imeteketea kabisa kwa moto, jana usiku wa manane, na asubuhi hii, pamebakia kuta tupu na bango linaloonyesha hapa ndipo zilipokuwepo ofisi hizo!. Taarifa hii ni...
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Shalom Waungwana. Tafadhali sana naomba kwa yeyote mwenye email za watu hawa anisaidie: James Mbatia - Mgombea Ubunge Jimbo la Kawe. Mustafa Sabodo - Mfanyabiashara. Mohamed Dewji - Mbunge wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
http://www.youtube.com/watch?v=lntC9bHmguc
0 Reactions
14 Replies
2K Views
ndugu zangu wana JF, naombeni mnifahamishe nini natakiwa kufanya ili niweze kupata mtaalamu wa kuandika michanganuo ya biashara, lengo langu ni kuweza kupata mkopo mkubwa niweze kufungua biashara...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
matangazo haya maarufu kwenye tv yanayodhaminiwa na "watu wa amerika" , sasa yanatangazwa magazetini kwa njia ya picha za wahusika wale wale wanaotumika kwenye tv na kuandika maneno...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hawa watu wa zain wametutangazia offer kubwa kwenye kipindi hiki cha mfungo kwamba sms,kupiga simu na internet ni bure kuanzia saa 6 usiku hadi 11.59 alfajir...kwangu mi ni huku kwenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom