Nahisi kuna mchawi anamroga raisi wetu.
Kuanzia ameingia madarakani mauzauza yamekuwa yakimuandama kuliko raisi mwingine yeyoyote aliyemtangulia.
Mara rais wetu aanguke jukwaani, mara watu wamvae...
Shija Felician, Kahama
BUNDI mbaya wa tatizo la kudanganya umri sasa ameng'ang'ania kwenye tawi la vijana ndani ya CCM baada ya mwenyekiti wa jumuiya hiyo wilayani Kahama kutakiwa ajiuzulu kwa...
Yesu sasa akawaagiza wale watu kumi na mbili ambao walikuwa wamesikiliza azimio lake kuhusu ufalme kupiga magoti kumzunguka. Akaweka mikono yake juu ya kichwa cha kila mtume,kuanzia Judas Iscariot...
A group of young University of Dar-es-laam students have a developed an application that is yet to take the world by storm.The application which is run a by a web portal can search and help...
Maaskofu wakataa uchaguzi Jumapili
Wednesday, 26 May 2010 04:31
*Ni wa madehebu yote ya kikristo
*Waunda Jukwaa kupata sauti moja
Na Job Ndomba
MAASKOFU wa Madhehebu ya Kikristu...
Kweli huu ni mwaka wa uchaguzi mkubwa humuamkia mdogo "shikamooo kijana" au ndio mkulu unajihami kwa wananchi ili wakupe kura oktoba maana wafanyakazi ni wazi kuwa kura zetu umezikosa...
Tangu Raisi kikwete alipokuwa katika harakati zake za kugombea uraisi kulikuwa na matukio ya hapa na pale kuhusiana na ulinzi wake kwa ujumla. Wengi tunakumbuka tukio la kikwete kuvamiwa jukwaani...
Jamani hebu nisaidieni...
Mwenzenu leo asubuhi wakati niko njiani nikaona hii gari ikiwa mbele yangu, niliipenda jinsi ilivyo, rangi na graphic zake, lakini kilichonishtua zaidi ni kumuona...
Rais Jakaya Kikwete, akiwasili katika eneo la mradi wa Mpango wa Huduma ya Maji na usafi wa Mazingira kwa Jamii Mrosso Mburahati katika ziara yake jijini Dar es Salaam kuangalia hali ya...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Tamisemi), Celina Kombani.
Ofisi ya Waziri Mkuu, imemhamisha Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Shinyanga, Jane...
Shirika la Umeme nchini (Tanesco)
Shirika la Umeme nchini (Tanesco), limetangaza kuzima umeme katika sehemu nyingi za jiji la Dar es Salaam kwa saa nne mfululizo, katika siku za Jumapili...
WWW.ICTPUB.BLOGSPOT.COM
Miaka michache iliyopita kulikuwa na kitu kimoja ambacho vijana wengi sana walipenda kufanya nacho ni kutafuta marafiki kwa njia ya mtandao wengi wao wakiwa mbele ya...
Baada ya kusikika habari kuwa kuna mwanamke aliuwawa kule mwanza kwa kosa la kuiba simu, kweli nilisikitika kuwa pengine alikuwa ameonewa sana. Lakini sasa nimepata kujua kuwa kuuwawa kwake ni...
From the Guardian News Paper
The dubiousness of the Tanzania Railways Limited (TRL) contract caused by recklessness within the government's negotiating team may cost the tax payers a whopping...
I am increasingly feel uneasy with plenty of sentiments towards minority groups, the culture our country is fast embracing nowadays through our media that is specifically left unguided and has all...
*katibu mkuu atangaza mpango kabambe kudhibiti wanaoghushi
Hakimu Mwafongo, Iringa na Ramadhan Semtawa, Dar
KUBAINIKA kwa Hamad Yusuph Masauni kwamba ameghushi umri wa kuzaliwa kumeanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.