Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Ni kweli kwamba Jamii forums, inaandika mambo mengi tena kwa uwazi.Pongezi kubwa sana. Lakini je, ni wangapi wanasoma? Ni wangapi wana uwezo wa kuingia internet? Wale wanaoingia, mbali na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WanaJamii, Naomba mnijuze, kuna watu waliopata kusoma sekondari (O-Level) pale Forodhani au Tambaza, afu wakapitia High School pale Mkwawa. Wengi wenu nadhani mpo katika hii JamiiForum. Sasa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
A 25-year old student, Evance Rwelamila, from Ibaraizibu village, in Bukoba Rural District, has allegedly committed suicide after failing Form Four examinations in three consecutive attempts...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimesoma gazeti moja la leo na ilikuwepo picha ya Mh Pinda na Lowassa na Chenge. Gazeti limeandka "WAZIRI MKUU PINDA NA WAZIRI MKUU MSTAAFU LOWASSA........." swali ni je lowassa ni mstaafu au...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
IMEELEZWA kwamba asilimia 30 ya Watanzania hawajui kusoma wala kuandika, hali ambayo husababisha kupungua kwa kasi ya maendeleo nchini. Hayo yamebainishwa bungeni na Naibu Waziri wa Elimu na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naenjoy napoangalia vipindi kama : -Face The Nation -Meet the Press -State Of the Union -This Week siku ja jumapili huko states. Najiuliza kwa nini Tanzania,kama kweli tuna demokrasia,na sasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mamia ya wapiganaji wa Somalia wanaotii kundi la kiislamu la al-Shabab wamemiminika mjini Mogadishu, huku walioshuhudia wakisema kuna matarajio ya kuwepo mapigano mazito. Walioshuhudia wameripoti...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WANANCHI wakazi wa Mkimbizi katika Manispaa ya Iringa wanaodaiwa kuwa na hasira kali wamemuua kijana mmoja ambaye jila lake halijafahamika kwa tuhuma za wizi. Wakielezea undani wa tukio hilo...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mbaya wa Jerry Muro matatani na Mwandishi Wetu HATIMAYE mlalamikaji aliyemwekea mtego mwanahabari wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC1), Jerry Muro, na wenzake wawili, Michael Wage Karoli...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
AJUZA wa miaka 80, mkazi wa kitongoji cha Kiwangwa wilayani Bagamoyo amebakwa na kijana mwenye umri wa miaka 35 na kusababishiwa majeraha makali katika sehemu zake za siri. Tukio hilo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Umasikini Tanzania unasababishwa na nini ikiwa vitu vyote vinavyoweza kufanya nchi ijitosheleze tunavyo!!Tuna kila kitu kinachotakiwa Duniani lakini sisi bado ni masikini kwa miaka zaidi ya 45 ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sometimes iko ngumu kama big g mpya, some times soft kama Big g iliyoliwa hadi kuisha utamu. Ukiikubali inakupa raha ikikuvamia inakuumiza, hii kitu ni tamu hadi watu wanajiua kwa kuona imeenda...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
hey guyz.najua mtu unapokua kazini au ktk mihangaiko yako ya kila siku kuna mahala fulani unakwenda kupata lunch.sasa swali langu ni kwamba je hapo mahali unapokula lunch yako ni kitu/vitu gani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hey guyz.najua mtu unapokua kazini au ktk mihangaiko yako ya kila siku kuna mahala fulani unakwenda kupata lunch.sasa swali langu ni kwamba je hapo mahali unapokula lunch yako ni kitu/vitu gani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
A Magnitude 4.3 earthquake Hits Northern Iillinois this morning...Oh yes i felt it@ 3.59AM (Just before my alarm went off so i can pray)....it was wierd feeling and i thought of people of Haiti...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
By email of: Oct 22, 2009[/B] President Jakaya Kikwete placing the National flag to Mr Ashis Thakkar, Uganda-based businessman who is on course to travel to outerspace on board the Virgin...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mpayukaji wa Msemahovyo WIKI jana ilikuwa tuandike barua kwa Jack Zumaa kumfahamisha kuwa hatupendi matendo yake. Kipigo na mauaji ya jamaa yetu yalitufanya tusifanye hivyo. Hata hivyo nina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Kweli sisi nchi zisizoendelea. Yaani mshahara wa mwezi mmoja wa Drogba unaweza kulipa Maprofesa zaidi ya 320!!!! kila mwezi hapa nchini kwa wastani wa shilingi milioni 3.0 kwa kila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo nilipokuwa nafanya mazoezi asubuhi nikamuona nyoka kwenye mtaro. Alikuwa na unene wa nchi mbili na urefu wa kama mita moja. Kwa ajili ya kupigwa na baridi alikuwa amezubaa zubaa, nikatafuta...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu, Naomba mnisaidie kujua ni maamuzi yapi mazito ambayo Rais ameyafanya mwaka uliopita (2009) ambayo tunaweza kujivunia kama taifa.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom