Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Mtoto wa kigogo ahusishwa tukio la ubakaji hoteli ya KNCU Daniel Mjema,Moshi: Date::1/16/2010 MTOTO wa mfanyabiashara mashuhuri wa mjini Moshi (jina tunalo), ametiwa mbaroni na polisi kwa...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
FARAJA MGWABATI, 19th January 2010 @ 11:01, Daily News THE Parliamentary Public Organisations Accounts Committee (POAC), has summoned the Minister for Labour, Employment and Youth Development...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kweli jamani hivi ripoti mnayo maana mimi binafsi sijapata fulsa kuiona au sikuwa na bahati mwaka sasa unakaribia kweli siamini kama inawezekana katika zama hizi. Mwenye ripoti hiyo naomba...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ukiangalia mfumo wa kuendesha nchi yetu na hata vikao vya wabunge na vile vya madiwani ambao kimsingi wanaweza kuwa ni wabunge kwenye ngazi ya Halimashauri ,utaona kuna tofauti kubwa sana haswa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Serikali ya DRC imetangaza msaada wa dola za Marekani 2.5mil ili kuweza kusaidia wahanga wa tetemeko la ardhi lililogharimu maisha ya watu zaidi ya laki mbili. Hata hivyo hatua hii ya Congo imezua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nisaidieni katika hili kwani linanitatiza sana,Hivi ni kweli kwamba siasa ni ajira inayoendana na ukoo?Kwani mara nyingi naona kina Kennedys,Bushs,Kenyattas,Kikwetes,Kabilas...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
WADAU KUNA MJADALA UNAENDELEA KUHUSU SHERIA MPYA ZA MAWASILIANO YA SIMU NA POSTA...KAMA KUNA MDAU MWENYE DETAILS ZA MUSWAADA ATUPATIE....NIMEPATA VIPENGELE VIWILI AMBAVYO VIMEKUWA MOTO KATIKA...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu, Kati ya shughuli ninazozipenda sana ni kupanda miti. Mwaka huu wa 2010 nina lengo la kupanda miti ya kivuli na matunda (hasa miembe ya asili) isiyopungua 100. Kama Wana JF naomba...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
haijulikani kama ni kweli au uongo kuwa ukiwa nyumbani mkojo haukubani ila ukitoka tu nje ya nyumba yako hazipiti dakika kumi utausikia. mkiwa mmeongozana marafiki, mmoja akianza kukojoa, wengine...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Huu ndio wimbo nlioamka nao leo. Maneno yake ni mazuri sana na yanaleta tumaini sana. Huu wimbo ni dedication kwa wale wote tunaokutana nao kijiweni kwetu pale darajani.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kondoo Azaliwa Akiwa na Sura ya Binadamu Kondoo aliyezaliwa akiwa na sura ya binadamuMonday, January 18, 2010 7:57 PM Kondoo aliyezaliwa nchini Uturuki akiwa na sura ya binadamu amewashangaza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
serikali ya libya yajitokeza kusaidia athari za mafuriko kilosa Kuwajengea Nyumba 200 Nyumba Waathirika Na Jovina Bujulu, Maelezo. Jamhuri ya watu wa Libya imetoa msaada wa vifaa mbalimbali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
by Joseph Mihangwa HABARI kwamba mnajimu Sheikh Yahya Hussein ametabiri ya kuwa mwana-CCM yeyote atakayejitokeza kuchukua fomu kugombea Urais kumpinga Rais aliye madarakani, Jakaya Kikwete...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu, Sioti, ila naiona siku muhimu sana katika taifa letu yaja ambapo kila shule yetu ya msingi na sekondari itakuwa na umeme (pamoja na wa Jua) na televisheni katika kila darasa ambapo watoto...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa hisani ya Wavuti blog, na mtaarishaji na mpiga picha hiyo Dr Robert K, Naomba tujiulize nani wa kulaumiwa?? Wanasiasa wa Chama tawala na serekali yao, Wanasiasa wote, Watumishi na watendaji...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu, Jana nilitembelewa na jirani yangu mmoja na akanieleza kuwa watoto wake wawili wamefaulu mtihani wa darasa la saba na wamechaguliwa kujiunga na shule ya sekondari ya Zinga iliyoko wilayani...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
For more details on how to ease anger, download the attached book in PDF. Today, the world is in a period of vengeance. World peace is fading away, tension is building up which could lead to...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba mnisaidie. Ni mafanikio yapi tumeyapata toka kwa Maprofesa wetu kwa mwaka uliopita wa 2009?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
MIKATABA mibovu ya ukodishwaji wa mashamba makubwa ya kahawa wilayani Hai kati ya bodi za vyama vya msingi vya ushirika na wawekezaji imeonekana kuwanufaisha zaidi wawekezaji na kuviacha vyama...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna habari za kurindima kwa risasi mjini Mwanza ambapo watu 10 wameuwawa na majambazi, 17 Wajeruhiwa, Majambazi 6 nayo yauwawa na wananchi wenye hasira. habari hizi ni kwa mijibu wa 7:00 pm news...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Back
Top Bottom