WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema kama Watanzania wote wangekuwa wacha Mungu na watenda wema, mafisadi na watenda maovu ndani ya Taifa wasingekuwapo, hivyo akawaomba viongozi wa dini nchini...
Habari wana JF.
Naomba misaada ya informations, nilikuwa niko bizzi kutafuta informations zifuatazo:
#Katiba ya chama cha Wananchi CUF....(ya CCM ninayo tayari, kama unaitaka sema tuu...
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameitaka Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi kuhakikisha kuwa hadi kesho ugawaji wa samaki waliovuliwa kwa njia haramu katika fukwe za bahari eneo la Tanzania uwe...
Date::1/16/2010
CCM Zanzibar sasa washiriki maandamano ya CUF
Maelfu ya wafuasi wa chama cha CUF na CCM Zanzibar wakijumuika katika maandamano ya kuunga mkono kauli ya katibu mkuu wa CUF Maalim...
Opposition party supporters at a past demonstration in Dar es Salaam. Picture: File
Written by The EastAfrican
Sunday, January 17 2010
Tanzanian political parties that eye the October 2010...
matatizo ya wananchi yatatuliwa na wannanchi. usanii wa kuwa na raisi na wabunge hapa kwangu ni historia. dunia inasubiri sisi ili wao wajue wafanyaje hiki ni kipindi cha kugawana majukumu
Wakuu hii imekaaje?
WHO yatoa msaada wa magari 25 (Toyota Land Cruiser Mpya) yaliyogharimu fedha za kitanzania zaidi ya shilingi milioni 986 kusaidia mpango wa Afya ya mama na mtoto nchini, na...
Jeetu Patel, Manji wawatikisa wabunge
Na Ramadhan Semtawa
Mwananchi
16/Jan/2010
VITA ya kibiashara kati wafanyabiashara maarufu nchini, Yusuph Manji na Jayantkumar Chandubhai Patel, maarufu...
By Kennedy Ihewuokwu
Please dont crucify me yet, read and get my point. I am not evil or an atheist. I so much believe in God and as a catholic, I believe in His presence in the Blessed...
Jukwaa huru ambalo kila mtu anaweza kulitumia kwa faida zake au na wengine bila kutozwa gharama zozote na uongozi wake.Pia Viongozi wake wana moyo wa kujitolea kufanyakazi bila malipo yoyote ili...
Call to act against Loliondo human rights culprits
By Edwin Agola
16th January 2010
Loliondo area
Human rights activists have called on the government to take action regarding inhuman...
Nisaidieni wanajf, ninaambiwa namwonea wivu Diwani kwa kuwa anatembea na mwanamke fulani ambaye niliwahi kuhusishwa naye kimapenzi mwaka 1999 japo haikuwa kweli.
Diwani wetu hajawahi kutembelea...
Wakati wowote yanapotokea majanga, aidha ndani ya nchi zao u hata nje ya nchi zao raia wa nchi zilizoendelea wamekuwa na haraka ya kusaidia na kutoa misaada kwa haraka zaidi. Ninauliza hili...
Je umewahi kujiuliza ni kwa jinsi gani kiswahili chetu kitamu cha Tanzania kinavyochangia kudumaza au kurudisha nyuma maendeleo au harakati za kuondoa uovu katika jamii?
Hebu angalia mifano...
Tukubali baadhi ya Watanzania hasa wanaoshika madaraka na wafanyabishara ,lazima wafike miji hii ,kwa maana watafanikiwa!!!!
Namfahamu mfanyabiashara mmoja asili ya K'njaro,ambaye anaisha wilaya...
Mtoto huyo ambae yupo nchini India, Twinkle Dwivedi, mwenye umri wa miaka 14,hutoka damu hiyo kwenye ngozi bila hata kukatwa.Mtoto huyu anatoa damu machoni,puani,shingoni,na kwenye ngozi amewaacha...
Nakumbuka sana enzi za Headmaster Banyenza ambaye yupo Ihungo kwa sasa, ilikuwa ni Speak english kila kona. Ilikuwa ni balaa ukiongea Kiswahili ukaangukia mikononi mwa Mwl. Ngeni ama mulokozi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.