i. Katika Siasa
......Katika zama zetu hizi za hadaa, muonekano ndio ukweli na wanaofanya mambo yanayoendana na mantiki na wakaruhusiwa kuendelea kuwa katika nafasi zao ni wachache. Rahisi...
Is this the world's first Twitter murder? Man blasted to death with a shotgun after online argument with friend
Last updated at 10:12 PM on 11th January 2010
Police in the U.S. are...
Just been talking to a TZ friend of mine this afty and she has told me something quite interesting. I quote her,"We TZ girls, right after our first period, we are taken to the bush and taught...
Si mda mrefu nilikuwa bongo katika tembea tembea,nikawa nakutana na washkaji wamenin'giza flashcard shingoni.Nilipomuuliza jamaa yangu akaniambia kuwa ukitembea na nayo ndio watu wanajua kuwa wewe...
LUANDA, Angola
WENYEJI wa fainali za Mataifa ya Afrika, Angola, usiku wa kuamkia leo, walishindwa kuutumia vizuri uwanja wao wa nyumbani baada ya kutoka sare ya mabao 4-4 na Mali.
Mechi hiyo ya...
Hamjambo wana jf, naomba mnijuze kama kuna anayejua forum nyingine tamu au inayofanana na jf, kama mnavyojua kila siku mboga hiyo hiyo inachosha, ukilala jf..ukiamka jf. na ndio maana hata ukiwa...
Mie napenda kuuliza, kama ni sawa kusherehekea mauaji ya wazanzibari yaliyofanyika mwaka 64.Wengi watakuja na hoja zao yameleta ukombozi na porojo jengine, jee ni sawa kusherehekea mauaji ya 1972...
Wadau,kwa miaka mitatu UDSM imekuwa ikitoa degree tatu kupitia Taasisi ya Habari na Mawasiliano ya Umma sasa SJMC ambazo ni Mass Communication,Public Relations and Advertising na...
Sasa hivi ninapoandika mambo haya wanafunzi wa vyuo vya Taasisi za Afya Shiriki Muhimbili, ambao ndio uti wa mgongo wa shughuli za maabara, uuguzi na baadhi ya tiba katika hospitali ya Taifa...
Limewakaa kooni miaka miwili
Safari hii ni ama wao au serikali
Wabunge wakiwa kwenye kikao chao mjini Dodoma (Picha kutoka makataba)
Wiki hii inaanza kwa kamati za Bunge kujadili...
Nimekutana na hii huku hewani a.k.a internet nikaona niwaonyeshe na nyie, dhumuni kubwa ni kuwaonyesha hawa dadazetu wanaojiita 'mamodo' kuwa hatukubaliani na aina hii ya utangazaji wa biashara...
Luninga jana usiku na magazeti ya leo yametoa picha za Polisi walioua majambazi pale magomeni majuzi wakipongezwa hadharani.
Suala zima la kupongeza hao Polisi sio baya lakini nahofia pale jambo...
Let me take this opportunity to congratulate Mr President J.K Kikwete and all Tanzanians for a big task towards development and toward improving life of each and everybody in our Country. Still we...
Nadhani tatizo la maendeleo nchini linasababishwa na mgawanyo wa madaraka, hasa ya kisiasa. Mfano kuna huyu mkuu wa mkoa wa kilimanjaro-monica mbega. Pia ni mbunge huko iringa. No wonder wanataka...
Nimekuwa nikiguswa kama sio kukereka na kuongezeka kwa kasi kwa idadi ya ombaomba katikati ya jiji la Dar es salaam. Jumamosi hii nimetoka CRDB pale PPF Tower nikapokelewa na kundi la watoto wenye...
Nyamayao
Salaam.
Kwa mara ya mwisho ulipita Arusha 23/12/09 ukiwa unaenda zako MOSHI na hatimaye UUNGANISHE kwenda Mwanza Vekesheni(mkiwa na mzee)
Nakumbuka uliwaleta na kuwaacha watoto...
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe aelezea chama hicho kilipotoka, kilipo na kinapopaswa kwenda. Hotuba yake yake hii hapa-http://www.chadema.or.tz/hotuba/hotuba.php?id=10&pg=11
Asha
Sisqo is reported to have fathered a child with a 14-year-old girl more than ten years ago, a Swiss court has heard.
The News of the World reports that the court decided the RnB star is the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.